ABIRIA WATESEKA ZAIDI YA SAA 6 BILA MSAADA KIBAMBA, DAR
![](http://1.bp.blogspot.com/-pSvVibmA0CY/U-8xdb0-0pI/AAAAAAAAVnU/EJBE8PKbOBE/s1600/IMG-20140816-WA0009.jpg)
 Abiria waliokuwa wanaelekea mkoani Mwanza kutoka Dar na gari la Princes Shabaha jana walikwama kwa saa sita baada ya basi hilo lenye namba za usajili T105 AVX kuharibika maeneo ya Kibamba jijini Dar es Salam na kusababisha usumbufu miongoni mwa abiria hao.…
GPL
Habari Zinazoendana
10 years ago
Dewji Blog17 Aug
SUMATRA mko wapi? Abiria hawa wameteseka zaidi ya masaa 6 bila msaada
![](http://1.bp.blogspot.com/-pSvVibmA0CY/U-8xdb0-0pI/AAAAAAAAVnU/EJBE8PKbOBE/s1600/IMG-20140816-WA0009.jpg)
Abiria wakwama njiani zaidi ya masaa 6 abiria ambao walikuwa wanaelekea Mwanza na basi la Princes shabaha wamezidi teseka huku hawajui hatima yao ya safari
Gari hilo lenyenamba za usajili T102 AVX Wamekwama maeneo ya Kibamba jiji Dar es Salaam huku kina mama na watoto wakizidi teseka,
![](http://2.bp.blogspot.com/-a4fQwhTIxjA/U-8xdk-zF1I/AAAAAAAAVng/7fUE0v-X_g8/s1600/IMG-20140816-WA0011.jpg)
Mama huyu akiteseka na mtoto mdogo.
![](http://4.bp.blogspot.com/-kyn7XenJyvg/U-8xducZ7II/AAAAAAAAVnY/nECKYq76ZDA/s1600/IMG-20140816-WA0012.jpg)
Abiria wakiwa nje ya basi
![](http://1.bp.blogspot.com/-XSLyKgaMrBk/U-8xeqEKYWI/AAAAAAAAVnk/1uX5lTP2XX8/s1600/IMG-20140816-WA0013.jpg)
Baadhi ya abiria wakijadiliana nini cha kufanya ili wapate usafiri mwingine.
![](http://4.bp.blogspot.com/-JnDq9BgVkDc/U-8xfoHnvhI/AAAAAAAAVoI/59AIi7WFNl4/s1600/IMG-20140816-WA0015.jpg)
Hizi ndio namba za basi hilo.
![](http://2.bp.blogspot.com/--1_HY1p7qXs/U-8xguIrxFI/AAAAAAAAVn4/12ngLYftJTE/s1600/IMG-20140816-WA0017.jpg)
![](http://4.bp.blogspot.com/-_UyD7oB4Mw8/U-8xg5tIugI/AAAAAAAAVoA/YxnvryOEWXk/s1600/IMG-20140816-WA0018.jpg)
11 years ago
GPL![](http://dewjiblog.com/wp-content/uploads/2014/05/DSC_00251.jpg)
MOHAMMED DEWJI (MO) AMWAGA MSAADA WA ZAIDI YA SHILINGI MILIONI 127 KWENYE TAASISI ZA DINI ZAIDI YA 80 JIMBONI KWAKE
11 years ago
Habarileo14 Apr
Mvua yatesa abiria saa 12
MVUA iliyoanza kunyesha mwishoni mwa wiki, imeendelea kuleta kizaazaa katika maeneo mbalimbali nchini, ikiwemo kusababisha maelfu ya abiria kukwama kusafiri kati ya Dar es Salaam na mikoa mingine kupitia Barabara ya Morogoro.
9 years ago
GPL![](http://4.bp.blogspot.com/-5uF7oHUYKs4/VdsgPhEGgmI/AAAAAAAAYLw/g5nGhl871Qo/s640/magodoro1.jpg)
PSPF YATOA MSAADA WA MAGODORO CHUO KIKUU CHA DAR ES SALAAM
9 years ago
BBCSwahili19 Nov
Abiria wakwama barabarani kwa saa 48 Kenya
5 years ago
MichuziSHIRIKA LA CHILDBIRTH SURVIVAL INTERNATIONAL WATOA MSAADA WA VYAKULA KWA KAYA ZAIDI YA 50 JIJINI DAR
Mkurugenzi wa Shirika la Childbirth Survival International (CSI),nchini Tanzania Stella Mpanda(katikati) akitoa msaada wa vyakula kwa moja ya wakazi wa Kata ya Mazizini jijini Dar es Salaam leo Mei 2 mwaka 2020.Msaada huo ni kwa ajili ya kuziwezesha kaya za watu wasiojiweza katika kipindi hiki cha janga la Corona.Kushoto ni Mwenyekiti wa Serikali ya Mtaa Mazizini Mussa Komba.
Mwenyekiti wa Serikali ya Mtaa Mazizini Mussa Komba akikabidhi msaada wa vyakula kwa mwaanchi wa Kata ya Mazizini...
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/eGJdezr2p4XoSJR01ryMNS6tZg7QJUY74wi8xo-5ttSq5oQQnjfmGjgWX0ZF8BrR7UhqqlRypIBPbyDWfkKuezyWIY4Re1cO/001.MLIMANI.jpg?width=650)
SHULE YA MSINGI MLIMANI JIJINI DAR YAFAIDIKA NA MSAADA WA KOMPYUTA 20 TOKA VODACOM FOUNDATION
10 years ago
GPL![](http://2.bp.blogspot.com/-PSU1arLuEZM/VWBI4MgnFLI/AAAAAAABgdk/JNB7MU0fde4/s640/IMG_1003.jpg)
KIPINDI CHA MBONI SHOW CHAAZIMISHA MIAKA MITATU KWA KUTOA MSAADA HOSPITALI YA TAIFA YA MUHIMBILI, DAR
11 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-EpMKUx7-Q3c/U-pjIhNqySI/AAAAAAAF_CE/Ax6718MSuGk/s72-c/unnamed%2B(1).jpg)
MAGUFULI AKAGUA MIZANI YA KISASA YA VIGWAZA MKOANI PWANI PAMOJA NA UJENZI WA BARABARA YA KIBAMBA-KWEMBE-MAKONDEKO (17KM) ITAKAYOPITA KATIKA CHUO KIKUU CHA MUHIMBILI, MLOGANZILA, KIBAMBA
![](http://2.bp.blogspot.com/-EpMKUx7-Q3c/U-pjIhNqySI/AAAAAAAF_CE/Ax6718MSuGk/s1600/unnamed%2B(1).jpg)
![](http://1.bp.blogspot.com/-lBlRrWVh83k/U-pjJ9lCBqI/AAAAAAAF_CM/gF9e39XJUYY/s1600/unnamed%2B(4).jpg)