Utaifa utatetewa kwa gharama yoyote.
HARAKATI za kupigania huru ndani ya Tanganyika, zilianza tangu wakati wa uvamizi wakoloni wa Kijerumani uliofanyika kuanzia robo ya mwaka ya karne ya 19 hadi mwanzoni mwa karne ya 20. Viongozi...
Tanzania daima
Habari Zinazoendana
10 years ago
Habarileo24 Nov
Tutalinda wanyamapori kwa gharama yoyote- Nyalandu
WAZIRI wa Maliasili na Utalii, Lazaro Nyalandu amesema Serikali iko tayari kulinda rasilimali za wanyamapori katika hifadhi zake za taifa kwa gharama yoyote ile na kwamba haina mchezo katika hilo.
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/eOkD9SMZvVrXYvejWx2BHlV2hbEIBzX7BWc9S8IJpZQ6-6pg4OyIHljg2D2C*DQP0ojrl-Zn92pZzymHVpacQib7v8bOikUI/mwami.jpg)
MKONGO WA WOLPER, HUSNA: NAMTAKA LULU KWA GHARAMA YOYOTE!
10 years ago
Bongo Movies15 Mar
JB Atanzaga Kununua ‘Script’ Nzuri kwa Bei Yoyote
Staa wa Bongo Movies ambae ni mwigizaji na mwogozaji wa filamu,Jacob Stephen ‘JB’ amesema ukosefu wa wandishi wazuri wa script kuwa ni moja kati ya matatizo yanayoikambili tasnia ya filamu hapa Bongo, akitolea mfano wa wewe kutafuta script kwa muda sasa bila mafanikio.
“Moja ya matatizo makubwa tuliyonayo kwenye tasnia ya filam ni waandishi wa script, hatuna waandishi wa kutosha, jamani mbona wasomi wa fani hii wapo, nina miezi mitano natafuta script sijapata, ukiletewa ni vituko...
9 years ago
Michuzi01 Oct
NEC:UTAPIGA KURA KWA KALAMU YOYOTE UTAKAYOITAKA
![](https://ci3.googleusercontent.com/proxy/yJKJgwTu_J9GWFI4qYtnEMDj9kAPpP4qItDJhBRHRs-AhHUVcsj8jvk3-rzSBzkBKQONLvRu-VPIgT7NE89FTZ09v2sjVGLOMZoahawIDVw3HpvEl7nkW_HQnMWJDRJne1JwSrIZu1RCS-ToQ1WVqm0R7n4zmHJuI4IB4Htj43M4bvSmI3I=s0-d-e1-ft#http://mobile.mwananchi.co.tz/image/view/-/2893876/medRes/1135067/-/qvrwpbz/-/Jaji+LUBUVA+PHOTO.jpg?format=xhtml)
Ili kuondoa shaka miongoni mwa wananchi kutokana na tetesi zinazosambazwa juu ya ubora wa kalamu za Tume ya Taifa ya Uchaguzi (NEC), Mwenyekiti wa NEC, Jaji Mstaafu Damian Lubuva amesema kila mtu anaruhusiwa kuja na kalamu yake kupigia kura Oktoba 25, mwaka huu.Kauli hiyo imetolewa leo na NEC wakati ilipofanya mkutano wake na wahariri wa vyombo vya habari nchini ikiwa ni siku ya tatu ya kukamilisha utaratibu wa kuzungumza na wadau wa uchaguzi...
10 years ago
Bongo Movies15 Mar
JB Atangaza Kununua ‘Script’ Nzuri kwa Bei Yoyote
Staa wa Bongo Movies ambae ni mwigizaji na mwogozaji wa filamu,Jacob Stephen ‘JB’ amesema ukosefu wa wandishi wazuri wa script kuwa ni moja kati ya matatizo yanayoikambili tasnia ya filamu hapa Bongo, akitolea mfano wa wewe kutafuta script kwa muda sasa bila mafanikio.
“Moja ya matatizo makubwa tuliyonayo kwenye tasnia ya filam ni waandishi wa script, hatuna waandishi wa kutosha, jamani mbona wasomi wa fani hii wapo, nina miezi mitano natafuta script sijapata, ukiletewa ni vituko...
9 years ago
Bongo Movies21 Nov
Mko Wapi Waandishi wa ‘Script’, Nitanunua kwa Bei Yoyote-JB
Tasnia yetu ya filam inakabiliwa na changa moto mbalibali lakini kwangu mimi changa moto kubwa kuliko zote inayo ninyima usingizi ni waandishi wa miswaada(script).
Hili kwangu ndio tatizo kubwa kuliko yote, mfano natarajia kufanya filam yangu na King Majuto, tangu mwaka jana mwezi wa 8 mpaka leo kati ya script 10 nilizoletewa hakuna inayo faa.
Mko wapi waandishi? niko tayari kununua kwa bei yoyote.Lakini ukiniletea kituko tarajia ngumi kama malipo ya usumbufu, ndiyo maana tangu nitoe mzee...
9 years ago
MichuziTASOI YAZINDUA KAMPENI YA SARATANI KWA KUTUMIA TEKNOLOJIA YA MAWASILIANO BILA MALIPO YOYOTE
5 years ago
BBCSwahili18 May
Joshna Maharaj: Mpishi maarifu atoboa siri kuwa hakuwa na uwezo wa kunusa harufu yoyote kwa miaka mitano
10 years ago
BBCSwahili10 Sep
Ebola yatishia utaifa wa Liberia