NEC:UTAPIGA KURA KWA KALAMU YOYOTE UTAKAYOITAKA
Mwenyekiti wa NEC, Jaji Mstaafu Damian Lubuva
Ili kuondoa shaka miongoni mwa wananchi kutokana na tetesi zinazosambazwa juu ya ubora wa kalamu za Tume ya Taifa ya Uchaguzi (NEC), Mwenyekiti wa NEC, Jaji Mstaafu Damian Lubuva amesema kila mtu anaruhusiwa kuja na kalamu yake kupigia kura Oktoba 25, mwaka huu.Kauli hiyo imetolewa leo na NEC wakati ilipofanya mkutano wake na wahariri wa vyombo vya habari nchini ikiwa ni siku ya tatu ya kukamilisha utaratibu wa kuzungumza na wadau wa uchaguzi...
Michuzi
Habari Zinazoendana
9 years ago
Mwananchi01 Oct
NEC: Kalamu yoyote inaruhusiwa kupigia kura
9 years ago
Mwananchi05 Oct
NEC yasambaza karatasi za kura kwa uhakiki
10 years ago
Dewji Blog27 Jun
10 years ago
Vijimambo![](http://2.bp.blogspot.com/-zF0ErWmukzY/VY12uK-6GeI/AAAAAAABiUM/fpp9ymNB35U/s72-c/20150626085239.jpg)
10 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-MlgNPcUiO1E/VWjJRNi6iUI/AAAAAAAHau4/OrxSqmH1LUA/s72-c/unnamed%2B%252831%2529.jpg)
NEC YAKAMILISHA MAANDALIZI UBORESHWAJI DAFTARI LA WAPIGA KURA KWA MIKOA 4
![](http://4.bp.blogspot.com/-MlgNPcUiO1E/VWjJRNi6iUI/AAAAAAAHau4/OrxSqmH1LUA/s640/unnamed%2B%252831%2529.jpg)
![](http://1.bp.blogspot.com/-00aZWO7P7A8/VWjJRf2HPWI/AAAAAAAHau8/RN7uAPxt9rc/s640/unnamed%2B%252832%2529.jpg)
10 years ago
Dewji Blog30 May
NEC yakamilisha maandalizi uboreshwaji wa daftari la wapiga kura kwa mikoa 4
Maandalizi ugawaji wa mashine kwa ajili ya kuandikisha wanchi katika daftari la wapiga kura kwa Kanda ya 5 Tano kati ya Sita yamekamilika leo Mei 29, 2015 zaidi ya Biometric Voter Registration (BVR) zipatazo 1492 zinaanza kusambazwa na Tume ya Taifa ya Uchaguzi (NEC) Kuanzia mapema Alfajiri Kanda ya Tano ni Mikoa ya Mara, Arusha, Manyara na Kilimanjaro.
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-gRI3cSK2_GI/XpcibL5rqWI/AAAAAAALnFk/Mq0hDYp9I2QUWMrxlMnMaLVvuCamitMbQCLcBGAsYHQ/s72-c/index.png)
NEC yatoa mafunzo ya uboreshaji wa daftari la kudumu la Wapiga kura kwa mikoa 12
![](https://1.bp.blogspot.com/-gRI3cSK2_GI/XpcibL5rqWI/AAAAAAALnFk/Mq0hDYp9I2QUWMrxlMnMaLVvuCamitMbQCLcBGAsYHQ/s320/index.png)
Shughuli ya utoaji wa mafunzo imefanyika kwa mikoa 12 nchini,na itakwenda sambamba na zoezi la uwekaji wazi wa daftari la kudumu la wapiga kura awamu ya kwanza na uboreshaji wa daftari la kudumu la wapiga kura awumu ya pili.
Akizungumza na waandishi wa habari jijini Arusha, wakati...
11 years ago
Dewji Blog25 Jun
NEC yaanza uboreshaji wa Daftari la kudumu la wapiga kura kwa mfumo mpya wa (BVR)
Mwenyekiti wa Tume ya Taifa ya Uchaguzi (NEC) hapa nchini Jaji Mstaafu Damian Lubuva (katikati) akizungumza na waandishi wa habari jana, kulia ni Katibu Tawala wa Mkoa wa Singida, Liana Hassan na kushoto ni Mkurugenzi wa Manispaa ya Singida Joseph Mchina.(PICHA ZOTE NA HILLARAY SHOO Mo Blog, SINGIDA).
Na Hillary Shoo, SINGIDA.
TUME ya Taifa ya Uchaguzi imeanza mchakato wa uboreshaji wa daftari la kudumu la wapiga kura,kwa kuwashirikisha kwa karibu waandishi wa habari hapa nchini.
Lengo la...
9 years ago
Vijimambo29 Oct
HIZI NDIZO SABABU YA KWANINI MATOKEO YA URAIS WA JAMHURI YA MUUNGANO KURA ZILIZOPIGWA ZANZIBAR HAYAKUATHIRI KURA ZA NEC
![](https://zanzibarislamicnews.files.wordpress.com/2010/08/tume.jpg?w=570)
Katika uchaguzi wa Zanzibar, utaratibu ni kwamba Watanzania Zanzibar wanapiga kura 5, yaani Rais wa Zanz, Mwakilishi na diwani. Pia wanapiga kura ya Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania na Mbunge.
Kwenye kituo cha kupigia kura kuna meza 2. Moja ni ya tume ya uchaguzi Zanzibar (ZEC) na nyingine ni ya Tume ya Taifa ya Uchaguzi (NEC).
Meza ya NEC ina watumishi wake na Meza ya ZEC ina watumishi wake.
Watumishi wa NEC wanaripoti moja kwa moja kwa NEC na watumishi wa ZEC wanaripoti moja kwa moja...