HIZI NDIZO SABABU YA KWANINI MATOKEO YA URAIS WA JAMHURI YA MUUNGANO KURA ZILIZOPIGWA ZANZIBAR HAYAKUATHIRI KURA ZA NEC
Katika uchaguzi wa Zanzibar, utaratibu ni kwamba Watanzania Zanzibar wanapiga kura 5, yaani Rais wa Zanz, Mwakilishi na diwani. Pia wanapiga kura ya Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania na Mbunge.
Kwenye kituo cha kupigia kura kuna meza 2. Moja ni ya tume ya uchaguzi Zanzibar (ZEC) na nyingine ni ya Tume ya Taifa ya Uchaguzi (NEC).
Meza ya NEC ina watumishi wake na Meza ya ZEC ina watumishi wake.
Watumishi wa NEC wanaripoti moja kwa moja kwa NEC na watumishi wa ZEC wanaripoti moja kwa moja...
Vijimambo
Habari Zinazoendana
9 years ago
Mwananchi19 Sep
NEC: Matokeo kura za urais kubandikwa vituoni
9 years ago
VijimamboViongozi wa Vyama vya Siasa Zanzibar Wakiwa katika Ukumbi wa Salama Bwawani Zanzibar Wakisubiri Matokeo ya Kura ya Urais wa Zanzibar
11 years ago
Tanzania Daima29 Apr
NEC yataja sababu wananchi kutopiga kura
TUME ya Taifa ya Uchaguzi (NEC) imetaja sababu zinazochangia wananchi kushindwa kujitokeza kupiga kura katika chaguzi mbalimbali nchini. Sababu hizo zimetajwa mjini Bagamoyo jana na Mwenyekiti wa NEC, Jaji Damian...
9 years ago
Vijimambo11 Sep
KURA ZA USHINDI WA URAIS HIZI HAPA
![](http://www.ippmedia.com/media/picture/large/ML-11Sept2015.jpg)
Uchunguzi uliofanywa na Nipashe umebaini kuwa mikoa hiyo tisa, ikiwamo yenye majiji...
9 years ago
Bongo Movies07 Oct
Hizi ndizo sababu za Bonge la Nyau Kudatishwa na Irene Paul
Urembo na uchapakazi wa mwanadada anayefanya vizuri katika tasnia ya filamu, Irene Paul umemdatisha msanii wa muziki, Bonge La Nyau aka Nyauloso.
Nyauloso ameiambia Nje ya Box ya kipindi cha Planet Bongo cha EATV, kuwa anatadishwa mno na miondoko ya mwanadada huyo.
“Irene Paul kwanza ukiachana na mambo yote mimi ni shabiki yake,” alisema rapper huyo.
“Ni mtu ambaye nakuwa naangalia sana kazi zake. Lakini ni mtu ambaye mimi mwenyewe nikimuona najihisi kuna kitu. Unajua yule ni mzuri, ni...
10 years ago
Mwananchi18 Jun
Hizi ndizo ndoto za waowania urais za kuiondoa nchi kwenye umaskini
9 years ago
Mzalendo Zanzibar30 Sep
Ni Marufuku Kusafirisha Masanduku ya Kura……Tume Yasisitiza Matokeo Yatatangazwa Vituoni, Fomu za Urais Kuskaniwa Jimboni na Kutangazwa LIVE
Wednesday, September 30, 2015 MWENYEKITI wa Tume ya Taifa ya Uchaguzi (NEC), Jaji Mstaafu Damian Lubuva, amesema kura zote za urais, ubunge na udiwani, zitahesabiwa katika vituo vya kupigia kura na matokeo yote kutangazwa hapo hapo […]
The post Ni Marufuku Kusafirisha Masanduku ya Kura……Tume Yasisitiza Matokeo Yatatangazwa Vituoni, Fomu za Urais Kuskaniwa Jimboni na Kutangazwa LIVE appeared first on Mzalendo.net.
5 years ago
CCM BlogWAPIGA KURA WAFIKIA MIL. 30 UBORESHAJI DAFTARI LA WAPIGA KURA NEC
5 years ago
MichuziWAPIGA KURA WAFIKIA MIL. 30 UBORESHAJI DAFTARI WAPIGA KURA NEC