Hizi ndizo ndoto za waowania urais za kuiondoa nchi kwenye umaskini
Oktoba mwaka huu Watanzania wanatarajia kumpokea rais mpya wa awamu ya tano kwa imani kuwa atakata kiu kubwa ya watu wanaopenda kuona wanawekewa mazingira mazuri ya kuondokana na umaskini.
Mwananchi
Habari Zinazoendana
10 years ago
Vijimambo![](http://1.bp.blogspot.com/-kDCHfRO1NbY/VR5nLPmMSHI/AAAAAAAAdeg/34NBmlnVWxo/s72-c/1-94df6d17ab.jpg)
9 years ago
Vijimambo29 Oct
HIZI NDIZO SABABU YA KWANINI MATOKEO YA URAIS WA JAMHURI YA MUUNGANO KURA ZILIZOPIGWA ZANZIBAR HAYAKUATHIRI KURA ZA NEC
![](https://zanzibarislamicnews.files.wordpress.com/2010/08/tume.jpg?w=570)
Katika uchaguzi wa Zanzibar, utaratibu ni kwamba Watanzania Zanzibar wanapiga kura 5, yaani Rais wa Zanz, Mwakilishi na diwani. Pia wanapiga kura ya Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania na Mbunge.
Kwenye kituo cha kupigia kura kuna meza 2. Moja ni ya tume ya uchaguzi Zanzibar (ZEC) na nyingine ni ya Tume ya Taifa ya Uchaguzi (NEC).
Meza ya NEC ina watumishi wake na Meza ya ZEC ina watumishi wake.
Watumishi wa NEC wanaripoti moja kwa moja kwa NEC na watumishi wa ZEC wanaripoti moja kwa moja...
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/eGJdezr2p4XW-Es953cXqfrbjFWvzA0sSSSlaqB4UpYxl1eTyZ9XiKNlwSvGUvu6AS71fuUG1L7emIesexBCvLN6lrBUbKVV/HY23FREEMASONRY01_1495459f.jpg?width=650)
HIZI NDIZO TABIA ZA FREEMASONS
10 years ago
Mwananchi09 Sep
Hizi ndizo sifa za mwalimu bora- 2
10 years ago
Mwananchi02 Sep
Hizi ndizo sifa za mwalimu bora- 1
10 years ago
Raia Tanzania10 Jul
Hizi ndizo hisia tata za mapenzi ya kweli
KATIKA suala la uhusiano wa kimapenzi, hapana shaka mpenzi mwenye kumpenda mpendwa wake kwa dhati hisia zake za kimapenzi huwa tofauti sana na yule mwenye mapenzi ya ulaghai.
Mpenzi mwenye mapenzi ya kweli hisia zake hugusa kutoka ndani ya moyo wake, ambapo wakati mwingine si rahisi hata pale mmoja anapojaribu kumshauri au kumshawishi kuhusu jambo fulani baya juu ya ampendaye akaweza kuelewa.
Mpenzi wa namna hii huwa kama mjinga ambaye ukimtishia nyau au bastola ya watoto atoe pesa...
11 years ago
Mwananchi11 Jan
Mr Chuz: Hizi ndizo kanuni 10 za maisha yangu ya kila siku
9 years ago
Bongo Movies07 Oct
Hizi ndizo sababu za Bonge la Nyau Kudatishwa na Irene Paul
Urembo na uchapakazi wa mwanadada anayefanya vizuri katika tasnia ya filamu, Irene Paul umemdatisha msanii wa muziki, Bonge La Nyau aka Nyauloso.
Nyauloso ameiambia Nje ya Box ya kipindi cha Planet Bongo cha EATV, kuwa anatadishwa mno na miondoko ya mwanadada huyo.
“Irene Paul kwanza ukiachana na mambo yote mimi ni shabiki yake,” alisema rapper huyo.
“Ni mtu ambaye nakuwa naangalia sana kazi zake. Lakini ni mtu ambaye mimi mwenyewe nikimuona najihisi kuna kitu. Unajua yule ni mzuri, ni...