Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


JB Atanzaga Kununua ‘Script’ Nzuri kwa Bei Yoyote

Staa wa Bongo Movies ambae ni mwigizaji na mwogozaji wa filamu,Jacob Stephen ‘JB’ amesema ukosefu wa wandishi wazuri wa script kuwa ni moja kati ya matatizo yanayoikambili tasnia ya filamu hapa Bongo, akitolea mfano wa wewe kutafuta script kwa muda sasa bila mafanikio.

“Moja ya matatizo makubwa tuliyonayo kwenye tasnia ya filam ni waandishi wa script, hatuna waandishi wa kutosha, jamani mbona wasomi wa fani hii wapo, nina miezi mitano natafuta script sijapata, ukiletewa ni vituko...

Bongo Movies

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Bongo Movies

JB Atangaza Kununua ‘Script’ Nzuri kwa Bei Yoyote

Staa wa Bongo Movies ambae ni mwigizaji na mwogozaji wa filamu,Jacob Stephen ‘JB’ amesema ukosefu wa wandishi wazuri wa script kuwa ni moja kati ya matatizo yanayoikambili tasnia ya filamu hapa Bongo, akitolea mfano wa wewe kutafuta script kwa muda sasa bila mafanikio.

“Moja ya matatizo makubwa tuliyonayo kwenye tasnia ya filam ni waandishi wa script, hatuna waandishi wa kutosha, jamani mbona wasomi wa fani hii wapo, nina miezi mitano natafuta script sijapata, ukiletewa ni vituko...

 

9 years ago

Bongo Movies

Mko Wapi Waandishi wa ‘Script’, Nitanunua kwa Bei Yoyote-JB

Tasnia yetu ya filam inakabiliwa na changa moto mbalibali lakini kwangu mimi changa moto kubwa kuliko zote inayo ninyima usingizi ni waandishi wa miswaada(script).

Hili kwangu ndio tatizo kubwa kuliko yote, mfano natarajia kufanya filam yangu na King Majuto, tangu mwaka jana mwezi wa 8 mpaka leo kati ya script 10 nilizoletewa hakuna inayo faa.

Mko wapi waandishi? niko tayari kununua kwa bei yoyote.Lakini ukiniletea kituko tarajia ngumi kama malipo ya usumbufu, ndiyo maana tangu nitoe mzee...

 

10 years ago

Vijimambo

SUZUKI ESCUDO INAUZWA BEI NZURI...IPO KWENYE HALI NZURI KABISA

Upande wa Kushoto unavyoonekanaUpande wa Kulia UnavyoonekanaTAARIFA KUHUSU GARI HII NI..........REGISTRATION NUMBER: T 746 AAT
MAKE: SUZUKI
MODEL: ESCUDO
MODEL NUMBER: TDIIW
BODY TYPE: STATION WAGON
COLOR: BLUE METALLIC


Year Of Manufacture:1995
ENGINE CAPACITY: 1998 cc
FUEL USED: PETROL
HALAFU NI 4WD 

TRANSIMISSION: AUTOMATIC.

GARI HII IPO KWENYE HALI NZURI KABISABEI NI MIL 6.5 Tsh.
KWA MAWASILIANO ZAIDI PIGA NAMBA HII 0712 390 200kwa picha zaidi bofya soma zaidi
 Kwa ndani inaonyoonekana

 

10 years ago

Michuzi

WATEJA WA DUKA LA WOOLWORTHS KUNUNUA KWA NUSU BEI PASAKA

Meneja Masoko wa maduka ya Woolworths Tanzania,Edwina Barongo akisisitiza jambo kwa wateja waliofika katika Uzinduzi wa punguzo la bei ya bidhaa zote zinazouzwa katika Maduka yote ya Woolworths yaliyopo Arusha na Dar es Salaam, Punguzo hilo litadumu kwa muda wa wiki Nne ikiwa ni sehemu ya kusherehekea sikukuu ya Pasaka.Hafla hiyo ilifanyika jijini Dar es Salaam jana.Mgeni rasmi (Loyal Customer) Manfred Ngantunga (kulia) akizindua duka la Woolworths lililopo mtaa wa Ohio jengo la...

 

5 years ago

Michuzi

RC MALIMA ATAKA WAKULIMA WAUZE KAHAWA YAO KWA BEI NZURI AUNGA MKONO WANUNUZI BINAFSI

Mkuu wa Mkoa wa Mara Mhe Adam Malima akisisitiza jambo wakati akizungumza Kwenye kikao kazi na Kaimu Mkurugenzi Mkuu wa Bodi ya Kahawa Prof Jamali Adam ofisini kwake Mjini Musoma leo tarehe 2 Juni 2020. (Picha Na Mathias Canal, Wizara ya Kilimo)

Mkuu wa Mkoa wa Mara Mhe Adam Malima akisisitiza jambo wakati akizungumza Kwenye kikao kazi na Kaimu Mkurugenzi Mkuu wa Bodi ya Kahawa Prof Jamali Adam ofisini kwake Mjini Musoma leo tarehe 2 Juni 2020.Mkuu wa Mkoa wa Mara Mhe Adam Malima akisisitiza...

 

9 years ago

Habarileo

CUF yaahidi bei nzuri ya mwani

CHAMA cha Wananchi (CUF) kimewahakikishia wakulima wa mwani bei nzuri ya zao hilo iwapo wananchi watakipa ridhaa ya kuingia madarakani katika Uchaguzi Mkuu.

 

9 years ago

Dewji Blog

Toyota Brevis inauzwa Bei nzuri kabisa

Toyota Brevis Inauzwa

Ipo Kwenye hali Nzuri sana.

Maker: Toyota

Model: Brevis

YoM:  2001

CC: 2500

Color: Silver

Registration: Yes

Reg #:  T 740 CUG

Bei: Milioni 10

Ipo kwenye Hali Nzuri kabisa na Imeshalipiwa kila kitu

Kwa mawasiliano piga namba hii 0688 94 94 54

 

10 years ago

Tanzania Daima

Utaifa utatetewa kwa gharama yoyote.

HARAKATI za kupigania huru ndani ya Tanganyika, zilianza tangu wakati wa uvamizi wakoloni wa Kijerumani uliofanyika kuanzia robo ya mwaka ya karne ya 19  hadi mwanzoni mwa karne ya 20. Viongozi...

 

10 years ago

Habarileo

Tutalinda wanyamapori kwa gharama yoyote- Nyalandu

WAZIRI wa Maliasili na Utalii, Lazaro Nyalandu amesema Serikali iko tayari kulinda rasilimali za wanyamapori katika hifadhi zake za taifa kwa gharama yoyote ile na kwamba haina mchezo katika hilo.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani