Lady Jaydee: Mko tayari kwa kitu kipya Nov. 28?
Ni single mpya na video mpya! Hilo ndio jibu la alilouliza Lady Jaydee kwa mashabiki wake kwenye ukurasa wa Facebook; Are you ready for something new?! How about November 28th?! Stay tuned.” Picha na Osse Sinare Akiongea na East Africa Radio hivi karibuni, Lady Jaydee aliutaja wimbo mpya atakaoutoa mwishoni mwa mwezi huu. “Mwezi wa […]
Bongo5
Habari Zinazoendana
10 years ago
Bongo517 Nov
Lady Jaydee kuzindua wimbo na video ya ‘Forever’ Nov 28
10 years ago
Dewji Blog21 Nov
Lady Jaydee New Single & Video Premier on Monday 24th, Nov 2014
Lady Jaydee anatarajia ku-release single mpya aliyomshirikisha Dabo inayoitwa “Forever’ hapo Jumatatu tarehe 24 Novemba. Hii ni baada ya Kimya cha muda mrefu kidogo na siku ya Ijumaa ndio itakuwa official launch day pale M.O.G bar & Restaurant ambapo video ya wimbo huu ita premier for the first time. Wimbo umetayarishwa na producer mahiri Man Water wa Combination Sounds, na video ya wimbo huo imefanywa na muongozaji mkongwe Adam Juma wa Next Level.
Follow them on Instragram: @jidejaydee...
10 years ago
BBCSwahili03 Apr
Lady Jaydee na Atemi watoa kibao kipya
10 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-FZxXckcwoMY/VDvIKkZSoYI/AAAAAAADFbg/kgqOsIDvjnE/s72-c/IMG-20141013-WA001.jpg)
10 years ago
Bongo516 Feb
Lady Jaydee azitaja sifa za mwanaume amtakaye kwa sasa
9 years ago
Bongo505 Oct
Tazama alichokiandika Lady Jaydee kwa mama yake aliyetimiza miaka 70
10 years ago
Vijimambo![](http://img.youtube.com/vi/9ojQY4a4MGU/default.jpg)
10 years ago
Vijimambo![](http://img.youtube.com/vi/aEXo2lUruHY/default.jpg)
NEW YORK NA WASHINGTON. DC MKO TAYARI KUSELEBUKA NA YA MOTO BAND? ( LOCATION T.B.A )
![](http://4.bp.blogspot.com/--jScWuVXCQM/VPY46xkJ6eI/AAAAAAADbaU/h2ZOP7Z5fHU/s1600/vijimamboMedia.png)
![](http://1.bp.blogspot.com/-VO81iPwgxFQ/VPY6mBptvRI/AAAAAAADbaw/xU-PwI4UKkA/s1600/54d0c9281b69ab1ff5f57939e7596370.jpg)
http://tembaphoto.com/
9 years ago
Bongo508 Dec
Wema Sepetu apania kuiteka Bongo kwa kitu hiki kipya!
![Wema Sepetu akionyesha Lipstick](http://www.bongo5.com/wp-content/uploads/2015/12/Wema-Sepetu-akionyesha-Lipstick-300x194.jpg)
Baada ya kuzindua lipstick zake, Kiss By Wema Sepetu, malkia huyo filamu nchini, amepanga kuingiza sokoni perfume yake pamoja na bidhaa zingine za urembo.
Kupitia ukurasa wake wa Instagram, Wema apost picha yake na kuandika:
I think this should be my colour ya lipstick wen it comes to my brand Kiss. Naipenda coz it just makes me feel good nikiipaka…. For a very long time nimekuwa nikitaka sana kuwa na kitu kitacho carry jina langu la Wema Sepetu… I thought of perfume at first ila huko...