Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Lady Jaydee: Mko tayari kwa kitu kipya Nov. 28?

Ni single mpya na video mpya! Hilo ndio jibu la alilouliza Lady Jaydee kwa mashabiki wake kwenye ukurasa wa Facebook; Are you ready for something new?! How about November 28th?! Stay tuned.” Picha na Osse Sinare Akiongea na East Africa Radio hivi karibuni, Lady Jaydee aliutaja wimbo mpya atakaoutoa mwishoni mwa mwezi huu. “Mwezi wa […]

Bongo5

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Bongo5

Lady Jaydee kuzindua wimbo na video ya ‘Forever’ Nov 28

Lady Jaydee atafanya uzinduzi wa video ya wimbo wake mpya ‘Forever’ aliomshirikisha mdogo wake Dabo, November 28. Uzinduzi huo utafanyika M.O.G Bar & Restaurant (zamani Nyumbani Lounge), Kinondoni jijini Dar es Salaam.

 

10 years ago

Dewji Blog

Lady Jaydee New Single & Video Premier on Monday 24th, Nov 2014

launch Ad

Lady Jaydee anatarajia ku-release single mpya aliyomshirikisha Dabo inayoitwa “Forever’ hapo Jumatatu tarehe 24 Novemba. Hii ni baada ya Kimya cha muda mrefu kidogo na siku ya Ijumaa ndio itakuwa official launch day pale M.O.G bar & Restaurant ambapo video ya wimbo huu ita premier for the first time. Wimbo umetayarishwa na producer mahiri Man Water wa Combination Sounds, na video ya wimbo huo imefanywa na muongozaji mkongwe Adam Juma wa Next Level.

Follow them on Instragram: @jidejaydee...

 

10 years ago

BBCSwahili

Lady Jaydee na Atemi watoa kibao kipya

Msanii wa Kenya, Atemi na mwanamuziki wa Tanzania Lady Jaydee wametoa kibao kipya kwa jina 'MOYO'.

 

10 years ago

Bongo5

Lady Jaydee azitaja sifa za mwanaume amtakaye kwa sasa

Baada ya kutangaza kuwa kwa sasa yuko single, miongoni mwa maswali ambayo Lady Jaydee amekutana nayo ni kuhusu sifa za mwanaume ambaye anamtaka awe mpenzi wake kwa sasa. Kupitia Instagram Jide aliorodhesha sifa za mwanaume amtakaye kwa sasa, soma huenda ukawa nazo (kama wewe ni mwanaume mwenye ndoto za kuwa na staa huyo). Yapo maswali […]

 

9 years ago

Bongo5

Tazama alichokiandika Lady Jaydee kwa mama yake aliyetimiza miaka 70

Katika dunia ya sasa mtu akifikisha umri wa miaka 70, anakuwa mtu mwenye bahati sana. Mama yake na Lady Jaydee amesherehekea siku yake ya kuzaliwa weekend iliyomalizika na mwanae amesherehekea naye. Keki aliyoandaliwa mama yake na Lady Jaydee. Sherehe ya kumpongeza ilifanyika Serena Hotel jijini Dar es Salaam Kwenye ujumbe alioandika kumpongeza mama yake, Jide […]

 

10 years ago

Vijimambo

NEW YORK NA WASHINGTON. DC MKO TAYARI KUSELEBUKA NA YA MOTO BAND? ( LOCATION T.B.A )



YA MOTO BAND LIVE NEW YORK NA WASHINGTON DC. KWA UDHAMINI WA TEMBAPHOTO  & 0VIJIMAMBO. KWA TAARIFA ZAIDI YA UJIO HUU WA YA MOTO BAND ENDELEA KUFATILIA KUPITIA VIJIMAMBO NA WWW.TEMBAPHOTO.COM
http://tembaphoto.com/

 

9 years ago

Bongo5

Wema Sepetu apania kuiteka Bongo kwa kitu hiki kipya!

Wema Sepetu akionyesha Lipstick

Baada ya kuzindua lipstick zake, Kiss By Wema Sepetu, malkia huyo filamu nchini, amepanga kuingiza sokoni perfume yake pamoja na bidhaa zingine za urembo.

Wema Sepetu akionyesha Lipstick

Kupitia ukurasa wake wa Instagram, Wema apost picha yake na kuandika:

I think this should be my colour ya lipstick wen it comes to my brand Kiss. Naipenda coz it just makes me feel good nikiipaka…. For a very long time nimekuwa nikitaka sana kuwa na kitu kitacho carry jina langu la Wema Sepetu… I thought of perfume at first ila huko...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani