Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Gadner G Habash amzungumzia Diamond na tuhuma kutoka kwa Lady Jaydee

Vijimambo

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Bongo5

Exclusive: Gadner azijibu tuhuma za Lady Jaydee (Video)

Kwa mujibu wa Lady Jaydee, Gadner G Habash alikuwa ni mume aliyekuwa akimdhalilisha kwa kutongoza wanawake mbele yake. Jaydee aliyaanika hayo kwenye Instagram March 20. Hata hivyo hadi Ijumaa, Gadner alikuwa hajawahi kuzijibu tuhuma hizo. “Kwa sasa hivi kusema ukweli nimetajihidi na mara nyingi napendelea kutozungumza sana uhusiano wangu uliopita kwasababu nina hofu kwamba nitamnyima […]

 

10 years ago

Bongo5

Lady Jaydee ajibu tetesi za kuachana na Gadner kwa picha ya pete ya ndoa kidoleni

Wanasema picha huongea maneno 1,000. Baada ya kuendelea kwa uvumi kuwa ndoa ya Lady Jaydee na Gadner G Habash imevunjika, muimbaji huyo amepost picha akionesha pete ya ndoa kwenye kidole chake. Kupitia ukurasa wake wa Facebook wa Lady Jaydee ameandika ujumba tofauti na picha lakini mashabiki wake wameelewa kuwa ni ujumbe anaoutoa kufuatia tetesi hizo. […]

 

10 years ago

Mwananchi

Lady Jaydee afunguka, avunja ndoa na Gadner

Mwanamuziki nyota wa kike nchini, Lady Jaydee jana aliamua kuwaburudisha mashabiki wake kwa staili ya kipekee; kuzungumzia kuvunjika kwa ndoa yake na Gadner Habash

 

10 years ago

Bongo5

Gadner alitongoza na kuwashika makalio wanawake mbele yangu — Lady Jaydee

Wiki hii Lady Jaydee amewapa nafasi mashabiki wake kumuuliza maswali naye kuyajibu kupitia akaunti yake ya Instagram. Ameulizwa maswali mengi, na miongoni mwa maswali hayo ni la kuhusu ndoa yake na mtangazaji wa Radio E-FM Gadner G. Habash. Haya ni maswali na majibu kama alivyopost Instagram. “Tunasikia umeachana na mume ni kweli au uzushi? JIBU […]

 

10 years ago

GPL

GADNER. G. HABASH ATUA RASMI EFM

Mtangazaji  mahiri Gardner.G. Habash. Mtangazaji  mahiri Gardner.G. Habash,amejiunga  na kituo cha Radio kinachokuja kwa kasi hivi sasa EFM 93.7  cha jijini Dsm ili kuongeza nguvu katika kikosi chao. Akizungumza leo na waandishi wa habari afisa habari wa EFM Kanky Mwaigomole amesema wameamua kumchukua Gardner kwasababu ni miongoni mwa watangazaji hodari nchini mwenye kipaji cha hali ya juu hivyo kuongeza chachu ya...

 

11 years ago

Mtanzania

Diamond, Lady Jaydee wanyakua tuzo za kimataifa

Lady Jaydee

Mwanamuziki Lady Jaydee

NA ZAINAB IDDY, DAR ES SALAAM

MSANII wa muziki wa kizazi kipya nchini anayetamba na wimbo wake wa Mdogomdogo, Nasseb Abdul ‘Diamond Platinumz’,  juzi ametwaa tuzo mbili katika tuzo za Afrika Music Magazine Award ‘AFRIMMA 2014’ kupitia kipengele cha mwanamuziki bora wa kiume Afrika Mashariki zilizofanyika Eisemann Center Richardson, Texas, Marekani.

Mkali huyo wa wimbo wa My Number One, alishinda tuzo hizo ikiwemo ya Msanii bora wa Afrika Mashariki na ile ya Wimbo bora...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani