GADNER. G. HABASH ATUA RASMI EFM
![](http://api.ning.com:80/files/Y7WxhNqXbMZCWGotcClOOk0W4k-vvzS5-FkKkFvIwf5VDrTTNRfYpa18pr6jITppEfjzC8aVIfEz9eJUo2mnUHmV*PlbVA5i/GardnernaJide_full1.jpg)
Mtangazaji mahiri Gardner.G. Habash. Mtangazaji mahiri Gardner.G. Habash,amejiunga na kituo cha Radio kinachokuja kwa kasi hivi sasa EFM 93.7 cha jijini Dsm ili kuongeza nguvu katika kikosi chao. Akizungumza leo na waandishi wa habari afisa habari wa EFM Kanky Mwaigomole amesema wameamua kumchukua Gardner kwasababu ni miongoni mwa watangazaji hodari nchini mwenye kipaji cha hali ya juu hivyo kuongeza chachu ya...
GPL
Habari Zinazoendana
10 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-rhCYkdJHntc/VFNVQ1PJ_KI/AAAAAAAGuW4/DbtYYYCNJHg/s72-c/DSC_0002.jpg)
news alert: Gadner G. Habash atinga EFM, kuanza kusikika hewani Jumatatu saa tisa alasiri
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/Gp85O2XzVxiXXLe55Ndia875v7hAIbo651EoFHY6n4t09KjeQB2yGpY4WoBT04ctx9HcckyAdptj*1LwpjtTjxJKE5HjOuY3/5d3a8c6481de11e3af0b0ebe130bc6a6_8.jpg?width=550)
10 years ago
GPLMAULID KITENGE ATUA RADIO EFM RASMI
10 years ago
Vijimambo![](http://img.youtube.com/vi/9ojQY4a4MGU/default.jpg)
9 years ago
Mtanzania17 Aug
Kimbau atua rasmi Ukawa
Na Elizabeth Hombo, Dar es Salaam
KADA wa Chama Cha Mapinduzi (CCM), Omari Kimbau, ametangaza kukihama chama hicho na kujiunga na Chama cha Wananchi (CUF).
Akizungumza Dar es Salaam jana, Kimbau alisema ameamua kujiunga na CUF baada ya kuchoshwa na ubakaji wa demokrasia ndani ya CCM.
Kimbau ambaye ni mtoto wa aliyekuwa mbunge wa muda mrefu wa Mafia, Kanali Shomari Kimbau, alisema haki ya wananchi wa Mafia imetekwa na watu wachache wenye fedha.
“Mimi na familia yangu, rafiki zangu tumeamua...
10 years ago
Africanjam.Com![](http://4.bp.blogspot.com/-AhMNR_2acic/VZQOb_IyxLI/AAAAAAAACXQ/_Yq7SqMk1As/s72-c/Radamel-Falcao-Atletico-Madrid-Primera-Liga_2835116.jpg)
FALCAO ATUA RASMI CHELSEA
![](http://4.bp.blogspot.com/-AhMNR_2acic/VZQOb_IyxLI/AAAAAAAACXQ/_Yq7SqMk1As/s400/Radamel-Falcao-Atletico-Madrid-Primera-Liga_2835116.jpg)
Radamel Falcao amesaini mkataba wa kujiunga na klabu ya Chelsea na ataungana na timu yake mpya kwenye ziara ya kujiandaa na msimu ujao (pre-season) huko bara la America ya Kaskazini hii ni kwa muji wa ripoti.Mjomba pamoja na baba yake Falcao wamethibitisha kwamba, mkataba umeshasainiwa kati ya mshambuliaji huyo na klabu ya Chelsea.
Kwa mujibu wa gazeti la The Guardian, Chelsea wamekubaliana na Monaco kumsajili Falcao kwa mkopo wa mwaka mmoja lakini mkataba huo unakipengele cha kumsajili moja...
10 years ago
BBCSwahili07 Jul
Kiiza atua rasmi Simba