MAULID KITENGE ATUA RADIO EFM RASMI
Mtangazaji mahiri wa habari za michezo, Maulidi Baraka Kitenge akisaini mkataba wa kazi na kituo cha radio kiitwacho EFM 93.7 kilichopo Kawe jijini Dar es salaam. Kushoto ni Mkurugenzi wa vipindi wa Radio EFM, Dickson Ponela.…
GPL
Habari Zinazoendana
10 years ago
MichuziExclusive: Maulid Kitenge wa Radio One ahamia Radio EFM
Mtangazaji mahiri wa habari za michezo wa siku nyingi Maulidi Baraka Kitenge amejiunga na kituo cha radio kiitwacho EFM 93.7 kilichopo Kawe jijini Dar Es salaam leo.
Kutokana na tafiti ya ipsos ya mwaka 2013,inasemekana kuwa mtangazaji huyo wa zamani wa kituo cha redio one,ndie mtangazaji bora wa michezo nchini Tanzania.
Mkurugenzi wa vipindi wa Radio EFM,Dickson Ponela,ameeleza kufurahishwa kwake kwa mtangazaji huyo kinara kuhamia katika kituo hicho.
“Mpaka sasa Maulidi Kitenge...
Kutokana na tafiti ya ipsos ya mwaka 2013,inasemekana kuwa mtangazaji huyo wa zamani wa kituo cha redio one,ndie mtangazaji bora wa michezo nchini Tanzania.
Mkurugenzi wa vipindi wa Radio EFM,Dickson Ponela,ameeleza kufurahishwa kwake kwa mtangazaji huyo kinara kuhamia katika kituo hicho.
“Mpaka sasa Maulidi Kitenge...
10 years ago
Bongo518 Aug
Picha: Maulid Kitenge aacha kazi Radio One na kujiunga na EFM
Mtangazaji mkongwe wa michezo kwenye kituo cha redio cha Radio One Stereo, Maulid Kitenge ameacha kazi na kwenye kituo hicho na kujiunga na kituo kipya cha redio, EFM. Kitenge akisaini mkatana wa kujiunga na EFM, kushoto ni Mkurugenzi wa Vipindi, Dickson ‘Dizzo’ Ponela Katika barua yake ya kujiuzulu, Kitenge ambaye amefanya kazi kwenye kituo hicho […]
10 years ago
Bongo521 Aug
EFM yavunja ngome ya kipindi cha michezo cha Radio One, yawachukua Maulid Kitenge na Omary Katanga
Kipindi cha michezo cha Radio One ‘Spoti Leo’ kimepata pigo kali baada ya watangazaji wake mahiri, Maulid Kitenge na Omary Katanga kuhamia EFM 93.7 ya Dar es Salaam. Maulid Kitenge na Omary Katanga enzi wakiwa Radio One Kuondoka ghafla kwa watangazaji hao waliokifanya kipindi cha ‘Spoti Leo’ kuwa kipindi bora zaidi cha michezo nchini kutokana […]
10 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-MjLgVgTbo3c/U_IdytVjrKI/AAAAAAAGAhw/724GtuFNhyM/s72-c/kitenge%2Bmau.jpg)
Maulid Kitenge abwaga manyanga ITV na Radio one leo
![](http://4.bp.blogspot.com/-MjLgVgTbo3c/U_IdytVjrKI/AAAAAAAGAhw/724GtuFNhyM/s1600/kitenge%2Bmau.jpg)
10 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-4tVVZIywkLs/VRALu-lD4QI/AAAAAAAHMag/BAFPsYg4ZaA/s72-c/unnamed%2B(32).jpg)
LEO NI HEPI BESDEI YA KUZALIWA MPIGANAJI MAULID BARAKA WAA KITENGE WA EFM
![](http://2.bp.blogspot.com/-4tVVZIywkLs/VRALu-lD4QI/AAAAAAAHMag/BAFPsYg4ZaA/s1600/unnamed%2B(32).jpg)
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/Y7WxhNqXbMZCWGotcClOOk0W4k-vvzS5-FkKkFvIwf5VDrTTNRfYpa18pr6jITppEfjzC8aVIfEz9eJUo2mnUHmV*PlbVA5i/GardnernaJide_full1.jpg)
GADNER. G. HABASH ATUA RASMI EFM
Mtangazaji mahiri Gardner.G. Habash. Mtangazaji mahiri Gardner.G. Habash,amejiunga na kituo cha Radio kinachokuja kwa kasi hivi sasa EFM 93.7 cha jijini Dsm ili kuongeza nguvu katika kikosi chao. Akizungumza leo na waandishi wa habari afisa habari wa EFM Kanky Mwaigomole amesema wameamua kumchukua Gardner kwasababu ni miongoni mwa watangazaji hodari nchini mwenye kipaji cha hali ya juu hivyo kuongeza chachu ya...
11 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-ByIwnMOPSgU/U1wq0NP2mvI/AAAAAAAFdOk/j8qxqxVd13Y/s72-c/unnamed+(28).jpg)
Mpiganaji maulid wa kitenge ndani ya old trafford
![](http://3.bp.blogspot.com/-ByIwnMOPSgU/U1wq0NP2mvI/AAAAAAAFdOk/j8qxqxVd13Y/s1600/unnamed+(28).jpg)
![](http://1.bp.blogspot.com/-mdnE0OI9uwU/U1wq0fPcvfI/AAAAAAAFdOo/P-8Inzi8GzU/s1600/unnamed+(30).jpg)
11 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/--hjV0Q2BStE/U15VEFxvrOI/AAAAAAAFdtQ/dWyr7IjHTcw/s72-c/unnamed+(21).jpg)
Maulid Kitenge ndani ya BBC London
![](http://3.bp.blogspot.com/--hjV0Q2BStE/U15VEFxvrOI/AAAAAAAFdtQ/dWyr7IjHTcw/s1600/unnamed+(21).jpg)
![](http://4.bp.blogspot.com/-_o3nePcpm7c/U15VER2H4bI/AAAAAAAFdtY/pxfj8bQ1ITo/s1600/unnamed+(22).jpg)
![](http://2.bp.blogspot.com/-yQ5S8x5So3Y/U15VEW28SyI/AAAAAAAFdtU/HeIQfPmsKMQ/s1600/unnamed+(23).jpg)
10 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-2QKYvlCQ33k/VQ-ceDsgToI/AAAAAAAHMTw/FgTGZzoj3Dc/s72-c/unnamed%2B(15).jpg)
HEPI BESDEI YA KUZALIWA MDAU MAULID BARAKA WA KITENGE
![](http://2.bp.blogspot.com/-2QKYvlCQ33k/VQ-ceDsgToI/AAAAAAAHMTw/FgTGZzoj3Dc/s1600/unnamed%2B(15).jpg)
Top 10
Tanzania Today
Today Breaking News,Tanzania World News
13-February-2025 in Tanzania