Kimbau atua rasmi Ukawa
Na Elizabeth Hombo, Dar es Salaam
KADA wa Chama Cha Mapinduzi (CCM), Omari Kimbau, ametangaza kukihama chama hicho na kujiunga na Chama cha Wananchi (CUF).
Akizungumza Dar es Salaam jana, Kimbau alisema ameamua kujiunga na CUF baada ya kuchoshwa na ubakaji wa demokrasia ndani ya CCM.
Kimbau ambaye ni mtoto wa aliyekuwa mbunge wa muda mrefu wa Mafia, Kanali Shomari Kimbau, alisema haki ya wananchi wa Mafia imetekwa na watu wachache wenye fedha.
“Mimi na familia yangu, rafiki zangu tumeamua...
Mtanzania
Habari Zinazoendana
9 years ago
Dewji Blog04 Oct
OMARY KIMBAU “Jembe”: Jimbo la Mafia 2015 ni la UKAWA kwa maendeleo ya Wanamafia
Moja ya Bango kubwa la “JEMBE” la Mgombea Ubunge wa jimbo la Mafia kwa tiketi ya UKAWA, Ndugu Omary Kimbau maalufu kama JEMBE akiwa pamoja na Madiwani wake katika Kata nane za Jimbo hilo la Mafia katika Wilaya ya Mafia ndani ya Kisiwa cha Mafia.
Na Mwandishi Wetu,
[MAFIA-PWANI] Wananchi wa jimbo la Mafia, jimbo lililopo katika Wilaya ya Mafia ndani ya kisiwa hicho cha Mafia, Mkoa wa Pwani chenye jumla ya Kata Nane, wameombwa kujitokeza kwa wingi Oktoba 25, mwaka huu wampigie kura kwa...
10 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-NzDUNNjpKqY/VbeGAw9myPI/AAAAAAAHsPs/9QD2Sc7U3w8/s72-c/MMGL0364.jpg)
LOWASSA AJIUNGA RASMI NA UKAWA,AKABIDHIWA KADI RASMI YA UANACHAMA CHADEMA.
![](http://4.bp.blogspot.com/-NzDUNNjpKqY/VbeGAw9myPI/AAAAAAAHsPs/9QD2Sc7U3w8/s640/MMGL0364.jpg)
![](http://2.bp.blogspot.com/-HGeeL3rFur8/VbeGAAXFM8I/AAAAAAAHsPo/64cudQzmg4Q/s640/MMGL0367.jpg)
![](http://1.bp.blogspot.com/-bt3gbl_fezs/VbeGCDcfo-I/AAAAAAAHsQA/fXpkbv2ToMo/s640/MMGL0450.jpg)
10 years ago
BBCSwahili07 Jul
Kiiza atua rasmi Simba
10 years ago
Africanjam.Com![](http://4.bp.blogspot.com/-AhMNR_2acic/VZQOb_IyxLI/AAAAAAAACXQ/_Yq7SqMk1As/s72-c/Radamel-Falcao-Atletico-Madrid-Primera-Liga_2835116.jpg)
FALCAO ATUA RASMI CHELSEA
![](http://4.bp.blogspot.com/-AhMNR_2acic/VZQOb_IyxLI/AAAAAAAACXQ/_Yq7SqMk1As/s400/Radamel-Falcao-Atletico-Madrid-Primera-Liga_2835116.jpg)
Radamel Falcao amesaini mkataba wa kujiunga na klabu ya Chelsea na ataungana na timu yake mpya kwenye ziara ya kujiandaa na msimu ujao (pre-season) huko bara la America ya Kaskazini hii ni kwa muji wa ripoti.Mjomba pamoja na baba yake Falcao wamethibitisha kwamba, mkataba umeshasainiwa kati ya mshambuliaji huyo na klabu ya Chelsea.
Kwa mujibu wa gazeti la The Guardian, Chelsea wamekubaliana na Monaco kumsajili Falcao kwa mkopo wa mwaka mmoja lakini mkataba huo unakipengele cha kumsajili moja...
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/Y7WxhNqXbMZCWGotcClOOk0W4k-vvzS5-FkKkFvIwf5VDrTTNRfYpa18pr6jITppEfjzC8aVIfEz9eJUo2mnUHmV*PlbVA5i/GardnernaJide_full1.jpg)
GADNER. G. HABASH ATUA RASMI EFM
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/v6wcuBb1nvsY*NzdpX3PpIAr8BHFkeoE98wR0LzG0vzn3You91v*Y4PUsEzSzD1XjfEtjv4lhk6F39XWsnNhZSHTIX8-ftDs/CHARLESHIRARY.jpg)
CHARLES HILLARY ATUA RASMI AZAM TV
10 years ago
GPLCHICHARITO ATUA RASMI REAL MADRID
10 years ago
GPLMAULID KITENGE ATUA RADIO EFM RASMI
10 years ago
Africanjam.Com![](http://2.bp.blogspot.com/-rKqeNTqr8Lo/VXr4YJUj3HI/AAAAAAAACB8/QVjKYMi4Qs0/s72-c/CHTvNPFWsAAqhj0.jpg)
MEMPHIS DEPAY ATUA RASMI MANCHESTER UNITED
![](http://2.bp.blogspot.com/-rKqeNTqr8Lo/VXr4YJUj3HI/AAAAAAAACB8/QVjKYMi4Qs0/s400/CHTvNPFWsAAqhj0.jpg)