Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


OMARY KIMBAU “Jembe”: Jimbo la Mafia 2015 ni la UKAWA kwa maendeleo ya Wanamafia

 

 

DSC_2369.jpgssssssssssssssss

DSC_2368

Moja ya Bango kubwa la “JEMBE” la Mgombea Ubunge wa jimbo la Mafia kwa tiketi ya UKAWA, Ndugu Omary Kimbau maalufu kama JEMBE akiwa pamoja na Madiwani wake katika Kata nane za Jimbo hilo la Mafia katika Wilaya ya Mafia ndani ya Kisiwa cha Mafia.

Na Mwandishi Wetu,

[MAFIA-PWANI] Wananchi wa jimbo la Mafia, jimbo lililopo katika Wilaya ya Mafia ndani ya kisiwa hicho cha Mafia, Mkoa wa Pwani chenye jumla ya Kata Nane, wameombwa kujitokeza kwa wingi Oktoba 25, mwaka huu  wampigie kura kwa...

Dewji Blog

Read more


Habari Zinazoendana

9 years ago

Michuzi

RAIS KIKWETE ASHIRIKI MAZISHI YA KIMBAU MAFIA

 Baadhi ya wanajeshi wakiwa wamebeba jeneza la Marehemu Kanali Mstaafu Ayub Kimbau aliyewahi kuwa mbunge wa Mafia wakati wa Mazishi yake huko Kilwa leo jioni. Rais Dkt.Jakaya Mrisho Kikwete akiweka udongo katika kaburi la aliyewahi kuwa Mbunge wa Mafia Kanali Mstaafu Marehemu Ayub Kimbau huko Mafia leo jioni.Rais Dkt.Jakaya Mrisho Kikwete,mkuu wa Mkoa wa Pwani Evarist Ndikilo na watoto wa marehemu Kanali Mstaafu Marehemu Ayub Kimbau wakiomba dua wakati wa mazishi ya Mbunge huyo wa Zamani wa...

 

5 years ago

CCM Blog

TAARIFA YA UTEKELEZAJI WA MFUKO WA KUCHOCHEA MAENDELEO YA JIMBO (CDCF) KWA MWAKA 2015/16 — 2018/19

Mfuko ulianzishwa kwa sheria namba 16 ya mwaka 2009 iliyotungwa na bunge na kupitishwa tarehe 21 Agost 2009. Mfuko utaitwa Mfuko wa Kuchochea Maendeleo ya Jimbo - Constituencies Development Catalyst Fund (CDCF).Lengo la mfuko huu ni miradi ya maendeleo kwenye kila jimbo la Uchaguzi, kwa hiyo itapokea fedha na kuchangia kwenye miradi ya maendeleo inayotekelezwa kwenye Jimbo  kwa ajili ya kuchochea maendeleo ya miradi hiyo.Fedha ya mfuko inatolewa na serikali kuu kila mwaka wa fedha kulingana...

 

10 years ago

Michuzi

KINANA AKAGUA MIRADI YA MAENDELEO MAFIA, ASAFIRI KWA BOTI PAMOJA NA WANANCHI

 Katibu Mkuu wa CCM, Abdulrahman Kinana akipanda kwenye boti katika Bandari ya Mafia kwenda Bandari ya Nyamisati, wilayani Rufiji baada kufanya ziara ya kuimarisha uhai wa chama na kukagua miradi ya maendeleo inayotekelezwa kwa kufuata Ilani ya Chama pamoja na kusikiliza kero za wananchi na kuzitafutia ufumbuzi. PICHA ZOTE NA RICHARD MWAIKENDA WA KAMANDA WA MATUKIO BLOG
 Kinana akikata utepe kuashiria uzinduzi wa jengo la ofisi ya CCM Wilaya ya Rufiji. Kushoto ni Mbunge wa Jimbo la...

 

9 years ago

Mtanzania

Kimbau atua rasmi Ukawa

Na Elizabeth Hombo, Dar es Salaam

KADA wa Chama Cha Mapinduzi (CCM), Omari Kimbau,  ametangaza kukihama chama hicho na kujiunga na Chama cha Wananchi (CUF).

Akizungumza Dar es Salaam jana, Kimbau alisema ameamua kujiunga na CUF baada ya kuchoshwa na ubakaji wa demokrasia ndani ya CCM.

Kimbau ambaye ni mtoto wa aliyekuwa mbunge wa muda mrefu wa Mafia, Kanali Shomari Kimbau, alisema haki ya wananchi wa Mafia imetekwa na watu wachache wenye fedha.

“Mimi na familia yangu, rafiki zangu tumeamua...

 

9 years ago

Dewji Blog

TAARIFA KWA UMMA:Wananchi jimbo la Mafia wafungua kesi Mahakama kuu kupinga ushindi wa Mbaraka Dau!!

wamafia

TAARIFA KWA UMMA:  “Watanzania wenzangu na kipekee kabisa wana Mafia wenzangu sasa ni takriban siku 40, Tangu kumalizika kwa uchaguzi mkuu na kutangazwa washindi..kama
Mtakumbuka uchaguzi wa jimbo la Mafia uligubikwa na mizengwe ya hali ya juu na ulitawaliwa na mambo mbali mbali ya ukiukwaji wa taratibu na hatimaye ukafanyika na msimamizi wa uchaguzi kumtangaza mshindi BATILI wa CCM bwana Mbaraka Dau kuwa mshindi kwa tofauti ya kura chache dhidi ya mgombea wa CUF Omary Ayoub Kimbau ambaye...

 

11 years ago

Dewji Blog

Jimbo la Dewji latumia 2.9 Bilioni kwa miradi ya Maendeleo

DSC00269

Mwenyekiti wa halmashauri ya wilaya ya Singida, Idd Mnyampanda akifungua kikao cha kawaida cha baraza la madiwani kilichofanyika  mjini Singida.Kulia ni Mkurugenzi Mtendaji wa halmashauri hiyo Mwendaharaka Maganga, na kushoto ni Makamu Mwenyekiti, Saidi  Mumbee.

DSC00272

Mkurugenzi mtendaji wa halmashauri ya wilaya ya Singida, Mwendaharaka Maganga, akitoa taarifa yake ya utendaji mbele ya kikao cha baraza la madiwani kilichofanyika  mjini Singida.

DSC00266

Baadhi ya madiwani wa halmashauri ya wilaya ya...

 

11 years ago

Dewji Blog

Jimbo la Dewji latumia 2.9 Bilioi kwa miradi ya Maendeleo

DSC00269

Mwenyekiti wa halmashauri ya wilaya ya Singida, Idd Mnyampanda akifungua kikao cha kawaida cha baraza la madiwani kilichofanyika  mjini Singida.Kulia ni Mkurugenzi Mtendaji wa halmashauri hiyo Mwendaharaka Maganga, na kushoto ni Makamu Mwenyekiti, Saidi  Mumbee.

DSC00272

Mkurugenzi mtendaji wa halmashauri ya wilaya ya Singida, Mwendaharaka Maganga, akitoa taarifa yake ya utendaji mbele ya kikao cha baraza la madiwani kilichofanyika  mjini Singida.

DSC00266

Baadhi ya madiwani wa halmashauri ya wilaya ya...

 

9 years ago

Michuzi

NICHAGUENI KESHO KUTWA KWA KURA NYINGI NIWALETEE MAENDELEO JIMBO LA MBAGALA


Soud Rajab.Na Dotto MwaibaleMGOMBEA ubunge Jimbo la Mbagala kupitia Chama cha ACT-Wazalendo, Soud Rajab (pichani kushoto), amewaomba wananchi wa Jimbo la Mbagala wamchague ili aweze kuwaletea maendeleo waliyoyakosa kwa muda mrefu.


Rajab alitoa maombi hayo kwa wananchi hao Dar es Salaam jana wakati akizungumza na wananchi katika mkutano wake wa kampeni wa lala salama kuelekea uchaguzi mkuu utakaofanyika nchi nzima kesho.


"Ndugu wananchi nawaombeni sana msifanye makosa ambayo mtakuja kuyajutia...

 

9 years ago

Vijimambo

MGOMBEA UBUNGE JIMBO LA CHUMBUNI KWA TIKETI YA CCM AWATAKA WANANCHI KUJIANDAA NA MAENDELEO



Aliyekuwa Mbunge wa Jimbo la Chumbuni Perera Ame Silima akizungumza na Wananchi wa Jimbo la Chumbuni wakati wa mkutano wa Kampeni wa jimbo hilon uliofanyika katika viwanja vya mpira Bamata Kwamtipura Unguja akimuombea Kura Mbunge wa Jimbo hilo Ussi Salum Pondeza AMJADI na Mwakilishi Miraji Kwaza kwa Wananchi wa Chumbuni. Viongozi wa CCM Wilaya ya Amani Unguja wakimsikiliza aliyekuwa Mbunge wa Jimbo hilo Mhe Perera Ame Silima akiwahutubia wananchi wa Jimbo la Chumbuni katika mkutano wa...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani