OMARY KIMBAU “Jembe”: Jimbo la Mafia 2015 ni la UKAWA kwa maendeleo ya Wanamafia
Moja ya Bango kubwa la “JEMBE” la Mgombea Ubunge wa jimbo la Mafia kwa tiketi ya UKAWA, Ndugu Omary Kimbau maalufu kama JEMBE akiwa pamoja na Madiwani wake katika Kata nane za Jimbo hilo la Mafia katika Wilaya ya Mafia ndani ya Kisiwa cha Mafia.
Na Mwandishi Wetu,
[MAFIA-PWANI] Wananchi wa jimbo la Mafia, jimbo lililopo katika Wilaya ya Mafia ndani ya kisiwa hicho cha Mafia, Mkoa wa Pwani chenye jumla ya Kata Nane, wameombwa kujitokeza kwa wingi Oktoba 25, mwaka huu wampigie kura kwa...
Dewji Blog
Habari Zinazoendana
9 years ago
MichuziRAIS KIKWETE ASHIRIKI MAZISHI YA KIMBAU MAFIA
5 years ago
CCM Blog![](https://1.bp.blogspot.com/-fRFAaK37ZSk/Xu8JWdfu1KI/AAAAAAACOBY/JswjfWeSrBQJi7EAXve1EnickZMGE6z0ACLcBGAsYHQ/s72-c/Screenshot_2020-06-21_095057%255B1%255D.jpg)
TAARIFA YA UTEKELEZAJI WA MFUKO WA KUCHOCHEA MAENDELEO YA JIMBO (CDCF) KWA MWAKA 2015/16 — 2018/19
10 years ago
MichuziKINANA AKAGUA MIRADI YA MAENDELEO MAFIA, ASAFIRI KWA BOTI PAMOJA NA WANANCHI
9 years ago
Mtanzania17 Aug
Kimbau atua rasmi Ukawa
Na Elizabeth Hombo, Dar es Salaam
KADA wa Chama Cha Mapinduzi (CCM), Omari Kimbau, ametangaza kukihama chama hicho na kujiunga na Chama cha Wananchi (CUF).
Akizungumza Dar es Salaam jana, Kimbau alisema ameamua kujiunga na CUF baada ya kuchoshwa na ubakaji wa demokrasia ndani ya CCM.
Kimbau ambaye ni mtoto wa aliyekuwa mbunge wa muda mrefu wa Mafia, Kanali Shomari Kimbau, alisema haki ya wananchi wa Mafia imetekwa na watu wachache wenye fedha.
“Mimi na familia yangu, rafiki zangu tumeamua...
9 years ago
Dewji Blog03 Dec
TAARIFA KWA UMMA:Wananchi jimbo la Mafia wafungua kesi Mahakama kuu kupinga ushindi wa Mbaraka Dau!!
TAARIFA KWA UMMA: “Watanzania wenzangu na kipekee kabisa wana Mafia wenzangu sasa ni takriban siku 40, Tangu kumalizika kwa uchaguzi mkuu na kutangazwa washindi..kama
Mtakumbuka uchaguzi wa jimbo la Mafia uligubikwa na mizengwe ya hali ya juu na ulitawaliwa na mambo mbali mbali ya ukiukwaji wa taratibu na hatimaye ukafanyika na msimamizi wa uchaguzi kumtangaza mshindi BATILI wa CCM bwana Mbaraka Dau kuwa mshindi kwa tofauti ya kura chache dhidi ya mgombea wa CUF Omary Ayoub Kimbau ambaye...
11 years ago
Dewji Blog29 Jul
Jimbo la Dewji latumia 2.9 Bilioni kwa miradi ya Maendeleo
Mwenyekiti wa halmashauri ya wilaya ya Singida, Idd Mnyampanda akifungua kikao cha kawaida cha baraza la madiwani kilichofanyika mjini Singida.Kulia ni Mkurugenzi Mtendaji wa halmashauri hiyo Mwendaharaka Maganga, na kushoto ni Makamu Mwenyekiti, Saidi Mumbee.
Mkurugenzi mtendaji wa halmashauri ya wilaya ya Singida, Mwendaharaka Maganga, akitoa taarifa yake ya utendaji mbele ya kikao cha baraza la madiwani kilichofanyika mjini Singida.
Baadhi ya madiwani wa halmashauri ya wilaya ya...
11 years ago
Dewji Blog29 Jul
Jimbo la Dewji latumia 2.9 Bilioi kwa miradi ya Maendeleo
Mwenyekiti wa halmashauri ya wilaya ya Singida, Idd Mnyampanda akifungua kikao cha kawaida cha baraza la madiwani kilichofanyika mjini Singida.Kulia ni Mkurugenzi Mtendaji wa halmashauri hiyo Mwendaharaka Maganga, na kushoto ni Makamu Mwenyekiti, Saidi Mumbee.
Mkurugenzi mtendaji wa halmashauri ya wilaya ya Singida, Mwendaharaka Maganga, akitoa taarifa yake ya utendaji mbele ya kikao cha baraza la madiwani kilichofanyika mjini Singida.
Baadhi ya madiwani wa halmashauri ya wilaya ya...
9 years ago
MichuziNICHAGUENI KESHO KUTWA KWA KURA NYINGI NIWALETEE MAENDELEO JIMBO LA MBAGALA
Rajab alitoa maombi hayo kwa wananchi hao Dar es Salaam jana wakati akizungumza na wananchi katika mkutano wake wa kampeni wa lala salama kuelekea uchaguzi mkuu utakaofanyika nchi nzima kesho.
"Ndugu wananchi nawaombeni sana msifanye makosa ambayo mtakuja kuyajutia...
9 years ago
Vijimambo![](http://1.bp.blogspot.com/-QYwI0YCaWKs/Vh-L6aW_IsI/AAAAAAACBvs/OocNPv2tjhI/s72-c/AMJADI.jpg)
MGOMBEA UBUNGE JIMBO LA CHUMBUNI KWA TIKETI YA CCM AWATAKA WANANCHI KUJIANDAA NA MAENDELEO
![](http://1.bp.blogspot.com/-QYwI0YCaWKs/Vh-L6aW_IsI/AAAAAAACBvs/OocNPv2tjhI/s640/AMJADI.jpg)