MR & MRS GADNER G. HABASH KATIKA POZI
![](http://api.ning.com:80/files/Gp85O2XzVxiXXLe55Ndia875v7hAIbo651EoFHY6n4t09KjeQB2yGpY4WoBT04ctx9HcckyAdptj*1LwpjtTjxJKE5HjOuY3/5d3a8c6481de11e3af0b0ebe130bc6a6_8.jpg?width=550)
GPL
Habari Zinazoendana
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/Y7WxhNqXbMZCWGotcClOOk0W4k-vvzS5-FkKkFvIwf5VDrTTNRfYpa18pr6jITppEfjzC8aVIfEz9eJUo2mnUHmV*PlbVA5i/GardnernaJide_full1.jpg)
GADNER. G. HABASH ATUA RASMI EFM
Mtangazaji mahiri Gardner.G. Habash. Mtangazaji mahiri Gardner.G. Habash,amejiunga na kituo cha Radio kinachokuja kwa kasi hivi sasa EFM 93.7 cha jijini Dsm ili kuongeza nguvu katika kikosi chao. Akizungumza leo na waandishi wa habari afisa habari wa EFM Kanky Mwaigomole amesema wameamua kumchukua Gardner kwasababu ni miongoni mwa watangazaji hodari nchini mwenye kipaji cha hali ya juu hivyo kuongeza chachu ya...
10 years ago
Vijimambo![](http://img.youtube.com/vi/9ojQY4a4MGU/default.jpg)
10 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-rhCYkdJHntc/VFNVQ1PJ_KI/AAAAAAAGuW4/DbtYYYCNJHg/s72-c/DSC_0002.jpg)
news alert: Gadner G. Habash atinga EFM, kuanza kusikika hewani Jumatatu saa tisa alasiri
Na Sultani KipingoMtanganzaji mahiri nchini Gadner G. Habash amejiunga na kituo cha redio kinachiokuja kasi sana nchini cha EFM 93.7, Globu ya Jamii inaweza kuthibitisha. Gadner, ambaye alikuwa akipiga jalamba katika kituo cha Time FM baada ya kuondoka Clouds FM, pia hupasha-pasha mambo katika Michuzi TV, kwenye makala zake za kusisimua za "NAJUA WAJUA". "Ni kweli kaka. Sikiliza mambo kuanzia Jumatatu saa 9 alasiri hadi usiku. Kipindi kitaitwa 'Ubaoni". Gadner kaiambia Globu ya Jamii...
9 years ago
Michuzi09 Sep
SHUKRANI TOKA KWA MR. & MRS. NEHEMIAH MCHECHU
![New Picture](http://www.fullshangweblog.com/wp-content/uploads/2015/09/New-Picture.png)
Familia ya marehemu Dr. John Edward Mchechu wa Ukonga Dar es salaam wanapenda kutoa shukrani zao za dhati kwa ndugu, jamaa na marafiki walioshirikiana nao na kuwafariji kwa hali na mali katika kumuuguza na mpaka kumlaza katika nyumba ya milele mpendwa baba yao Dr. John Edward Mchechu aliyefariki tarehe 21/07/2015 nyumbani kwake Ukonga na kuzikwa tarehe 26/07/2015 Muheza, Tanga.Shukrani za pekee zimfikie Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dk. JakayaMrishoKikwete,MakamuwaRais,Dk. Mohamed...
11 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-eBFURGU5c8A/Uv3jvmxImaI/AAAAAAAFNI0/nC9dBcgZitw/s72-c/b.jpg)
Happy 5th Anniversary "Mr & Mrs Bahati Singh"
![](http://2.bp.blogspot.com/-eBFURGU5c8A/Uv3jvmxImaI/AAAAAAAFNI0/nC9dBcgZitw/s1600/b.jpg)
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/jzsUW*22gf1OIhoZVRiVzeWpxpeuSpox9TwYgwErbQ0LUvnNy2Dd9pYST*Mo7kJ0l*w6FMLWIV929wcUxYmNV2lt6LE9ysRU/KAJALA1.jpg)
10 years ago
GPLOMMY DIMPOZ 'POZI KWA POZI' NAYE ATUA GLOBAL TV ONLINE LEO
Ommy Dimpoz akipoza kiu ndani ya studio za Global TV Online leo wakati akifanyiwa mahojiano. Dimpoz katika pozi murua ndani ya studio za Global TV Online leo.…
Top 10
Tanzania Today
Today Breaking News,Tanzania World News
13-February-2025 in Tanzania