SHUKRANI TOKA KWA MR. & MRS. NEHEMIAH MCHECHU
Familia ya marehemu Dr. John Edward Mchechu wa Ukonga Dar es salaam wanapenda kutoa shukrani zao za dhati kwa ndugu, jamaa na marafiki walioshirikiana nao na kuwafariji kwa hali na mali katika kumuuguza na mpaka kumlaza katika nyumba ya milele mpendwa baba yao Dr. John Edward Mchechu aliyefariki tarehe 21/07/2015 nyumbani kwake Ukonga na kuzikwa tarehe 26/07/2015 Muheza, Tanga.Shukrani za pekee zimfikie Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dk. JakayaMrishoKikwete,MakamuwaRais,Dk. Mohamed...
Michuzi
Habari Zinazoendana
10 years ago
Michuzi10 Sep
SHUKRANI FAMILIA YA MCHECHU

11 years ago
Michuzi28 Jul
MHE. OMAR MJENGA AFANYA KIKAO NA MKURUGENZI MKUU NHC BWN. NEHEMIAH MCHECHU NA MKURUGENZI MTENDAJI WA KAMPUNI YA UJENZI YA DAMAC, BWN.SONIL VOHOR

10 years ago
Vijimambo03 Aug
Shukrani toka kwa familia ya Francisca Mwaluli
Benedict Mwaluli wanapenda kutoa shukrani zao za pekee kwenu ndugu na jamaa wote wa New England kwa kuwa pamoja nae kwa hali
na mali katika maombolezo ya msiba wa mpendwa mwanawe
Kevin Linus Kaenga, kwani ni kipindi kigumu kinachowakabili.
Hana cha kuwalipa zaidi ya kuomba Mwenyezi Mungu azidishe baraka zake kwenu kwa yote mnayotamani. anawashukuruni sana na muzidi kuwa na ushirikiano katika kila jambo.Ahsanteni...
10 years ago
Michuzi
11 years ago
GPL
11 years ago
Michuzi
Happy 5th Anniversary "Mr & Mrs Bahati Singh"

10 years ago
Michuzi
Rais Kikwete amfariji Nehemia Mchechu kwa kufiwa na baba yake


10 years ago
Michuzi
Dawa mbalimbali za asili toka Neema Herbalist & Nutritional Foods Clinic

Dawa ni ya asili kabisa " Pure Herbal", haijachanganywa na kemikali yoyote na haina side effects kwa mtumiaji.
BEI YAKE NI SHILINGI ELFU HAMSINI TU ( Tshs.50,000/=)
Kwa wasio weza kufika ofisini kwetu tunawapelekea dawa moja kwa moja...
5 years ago
Michuzi
PROF. KABUDI ATOA SHUKRANI KWA WATANZANIA KWA NIABA YA RAIS


Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki Prof. Palamagamba John Kabudi (Mb) akitoa salamu za shukrani...