Shukrani toka kwa familia ya Francisca Mwaluli
Kwa niaba ya Francisca Mwaluli na Kwa niaba ya Famila ya Mzee
Benedict Mwaluli wanapenda kutoa shukrani zao za pekee kwenu ndugu na jamaa wote wa New England kwa kuwa pamoja nae kwa hali
na mali katika maombolezo ya msiba wa mpendwa mwanawe
Kevin Linus Kaenga, kwani ni kipindi kigumu kinachowakabili.
Hana cha kuwalipa zaidi ya kuomba Mwenyezi Mungu azidishe baraka zake kwenu kwa yote mnayotamani. anawashukuruni sana na muzidi kuwa na ushirikiano katika kila jambo.Ahsanteni...
Vijimambo
Habari Zinazoendana
9 years ago
Michuzi09 Sep
SHUKRANI TOKA KWA MR. & MRS. NEHEMIAH MCHECHU
![New Picture](http://www.fullshangweblog.com/wp-content/uploads/2015/09/New-Picture.png)
Familia ya marehemu Dr. John Edward Mchechu wa Ukonga Dar es salaam wanapenda kutoa shukrani zao za dhati kwa ndugu, jamaa na marafiki walioshirikiana nao na kuwafariji kwa hali na mali katika kumuuguza na mpaka kumlaza katika nyumba ya milele mpendwa baba yao Dr. John Edward Mchechu aliyefariki tarehe 21/07/2015 nyumbani kwake Ukonga na kuzikwa tarehe 26/07/2015 Muheza, Tanga.Shukrani za pekee zimfikie Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dk. JakayaMrishoKikwete,MakamuwaRais,Dk. Mohamed...
11 years ago
GPL![](http://4.bp.blogspot.com/-8--S5Tm77ck/UsGGbOnJFqI/AAAAAAAFD_0/LqMDeBvFQjw/s640/unnamed+(2).jpg?width=650)
SHUKURANI TOKA KWA FAMILIA YA MRUMA
Familia ya Mruma ya Dar es Salaam na Ugweno, Mwanga inatoa shukurani nyingi
kwa ndugu,jamaa,marafiki, majirani na Watanzania wote waliojitokeza kuwa
nao kwa njia tofauti katika kipindi cha msiba wa mtoto wao mpendwa Jerry
ambaye alifariki dunia Nairobi tarehe 17 Novemba na kuzikwa Dar es Salaam
tarehe 26 Novemba 2013.


Ni vigumu kutoa shukurani hizi kwa majina. Kwa njia ya kipekee,...
9 years ago
Michuzi10 Sep
SHUKRANI FAMILIA YA MCHECHU
![New Picture](https://ci6.googleusercontent.com/proxy/YYos_2bxhyhoMYeNvWhKZvdgVClOuVdurBKUJfwxmA1RreWq1SwCVtQkzVgPJC1tV3T0SgUGDw2eLWTOmZgG002sYO6AR4iKS94rk88VwRnlsE1rB8uNNAVr9JpGeVAqTBxzi0hIyvyf57zIExxhc3gOoHQhRoOV9OHI8VC_CPTHql_F0--NHoF-kgr16hZHDgJtL6AXO_sHqSzLcY31eNSAnYlKmvr96QsltM8XpSLnmgjX10e5yBr19QpeA_U8Qnh7lk0q_Je-ZF7LyNhIAuqLE66EQ7ncNPXvKc07awQ-YUs7jzBy8LO2dg=s0-d-e1-ft#https://images-blogger-opensocial.googleusercontent.com/gadgets/proxy?url=http%3A%2F%2Fwww.fullshangweblog.com%2Fwp-content%2Fuploads%2F2015%2F09%2FNew-Picture.png&container=blogger&gadget=a&rewriteMime=image%2F*)
10 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-CtJOb8TvtoI/VVmigEJni8I/AAAAAAAC4oI/4fuSm8CxpyE/s72-c/certificate%2Bof%2Bappreciation.jpg)
11 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-kfnBwFdjuFM/U9dF4qKxUQI/AAAAAAAF7g4/kopoBv-9OUQ/s72-c/unnamed.png)
FAMILIA YA MAREHEMU MWESIGWA BLANDESI YATOA SHUKRANI
![](http://1.bp.blogspot.com/-kfnBwFdjuFM/U9dF4qKxUQI/AAAAAAAF7g4/kopoBv-9OUQ/s1600/unnamed.png)
Wapendwa Jamaa, marafiki na Watanzania wenzetu kwa ujumla,
Familia ya Marehemu Mwesigwa Blandesi kwa pamoja na familia ya Byorwango hapa California,Tunapenda kutoa shukrani za dhati naza kipekee kwa wote mlioshiriki kikamilifu katika njia zote za mwanzoni mpaka mwishoni mwa maisha ya marehemu Blandesi Mwesigwa aliyefariki May 26 2014.
Tunashukuru mengi, kuanzia, mchango ya matibabu, ushirikiano wa kuuguza, sala, mawazo, na kuwa pamoja na kwa ukaribu katika shughuli zote za msiba mojawapo...
11 years ago
GPL![](http://dewjiblog.com/wp-content/uploads/2014/03/DSC_0496.jpg)
FAMILIA YA MAREHEMU MZEE ARNOLD KAMBONAPANI NKHOMA YAENDESHA MISA MAALUM YA SHUKRANI JIJINI DAR
Mchungaji John Muhina wa kanisa Anglikana la Mtakatifu Andrea la Magomeni Mwembechai, akiendesha Ibada bya Misa maalum ya Shukrani kufuatia kifo cha Marehemu Mzee Arnold Kambonapani Nkhoma (100), aliyeaga dunia Ijumaa ya tarehe 17 January,2014 katika hospitali ya Mount Ukombozi na kupumzishwa katika nyumba yake ya milele tarehe 19 January, 2014 katika makaburi ya Kinondoni jijini Dar. Familia ya Mzee Arnold Kambonapani...
10 years ago
MichuziSHUKURANI TOKA FAMILIA YA GONDWE
10 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-XjVtFzsAcjI/VFnx58qeNvI/AAAAAAAGvjw/ILQTBZyakPo/s72-c/unnamed.jpg)
SHUKURANI TOKA FAMILIA YA MAREHEMU MZEE ANGULILE MWASUMBWE WA TUKUYU
Kwa niaba ya familia ya mzee Angulile Mwasumbwe wa Kanyelele Tukuyu Mbeya, tunawashukuru ndugu, marafiki na jamaa zetu wote walioungana nasi kwa hali na mali katika msiba wa baba yetu uliotokea 23/09/2014. Mungu hatawapungukia wala kuwaacha. Tunamtukuza Bwana awezaye kutufanyia mambo ya ajabu kuliko vile tuwazavyo na tuombavyo (Efeso 3:20); tunamtukuza Mungu kwa kumtwaa Baba yetu katika uzee mwema - Marehemu ameishi miaka 100 kamili (1914 - 2014)Mbarikiwe Mungu aliye Juu na jina la Bwana...
Top 10
Tanzania Today
Today Breaking News,Tanzania World News
13-February-2025 in Tanzania