FAMILIA YA MAREHEMU MWESIGWA BLANDESI YATOA SHUKRANI
![](http://1.bp.blogspot.com/-kfnBwFdjuFM/U9dF4qKxUQI/AAAAAAAF7g4/kopoBv-9OUQ/s72-c/unnamed.png)
Wapendwa Jamaa, marafiki na Watanzania wenzetu kwa ujumla,
Familia ya Marehemu Mwesigwa Blandesi kwa pamoja na familia ya Byorwango hapa California,Tunapenda kutoa shukrani za dhati naza kipekee kwa wote mlioshiriki kikamilifu katika njia zote za mwanzoni mpaka mwishoni mwa maisha ya marehemu Blandesi Mwesigwa aliyefariki May 26 2014.
Tunashukuru mengi, kuanzia, mchango ya matibabu, ushirikiano wa kuuguza, sala, mawazo, na kuwa pamoja na kwa ukaribu katika shughuli zote za msiba mojawapo...
Michuzi
Habari Zinazoendana
11 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-bS464blpbe8/U4bL2wLDcDI/AAAAAAAFmBI/WXThY9CfFoc/s72-c/unnamed.png)
MISA YA KUMUOMBEA MAREHEMU MWESIGWA BLANDESI
![](http://2.bp.blogspot.com/-bS464blpbe8/U4bL2wLDcDI/AAAAAAAFmBI/WXThY9CfFoc/s1600/unnamed.png)
Baada ya misa kutakuwa na mkusanyiko wa ndugu jamaa na marafiki wote kwenye ukumbi wa "Resurrection Lutheran Church" katika kusheherekea maisha na kumbukumbu ya...
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com/files/-nMzymXXjMJ5CgPscjZefT8*-zlHFPmOe0OYFfD3wfJsKO0tX*us3lF0HR5yLa975rQcdOFkilFJ7gYpsJ7hWocXQOmJDVA7/somazaidi.gif)
11 years ago
GPL![](http://dewjiblog.com/wp-content/uploads/2014/03/DSC_0496.jpg)
FAMILIA YA MAREHEMU MZEE ARNOLD KAMBONAPANI NKHOMA YAENDESHA MISA MAALUM YA SHUKRANI JIJINI DAR
9 years ago
Michuzi10 Sep
SHUKRANI FAMILIA YA MCHECHU
![New Picture](https://ci6.googleusercontent.com/proxy/YYos_2bxhyhoMYeNvWhKZvdgVClOuVdurBKUJfwxmA1RreWq1SwCVtQkzVgPJC1tV3T0SgUGDw2eLWTOmZgG002sYO6AR4iKS94rk88VwRnlsE1rB8uNNAVr9JpGeVAqTBxzi0hIyvyf57zIExxhc3gOoHQhRoOV9OHI8VC_CPTHql_F0--NHoF-kgr16hZHDgJtL6AXO_sHqSzLcY31eNSAnYlKmvr96QsltM8XpSLnmgjX10e5yBr19QpeA_U8Qnh7lk0q_Je-ZF7LyNhIAuqLE66EQ7ncNPXvKc07awQ-YUs7jzBy8LO2dg=s0-d-e1-ft#https://images-blogger-opensocial.googleusercontent.com/gadgets/proxy?url=http%3A%2F%2Fwww.fullshangweblog.com%2Fwp-content%2Fuploads%2F2015%2F09%2FNew-Picture.png&container=blogger&gadget=a&rewriteMime=image%2F*)
10 years ago
Vijimambo03 Aug
Shukrani toka kwa familia ya Francisca Mwaluli
Benedict Mwaluli wanapenda kutoa shukrani zao za pekee kwenu ndugu na jamaa wote wa New England kwa kuwa pamoja nae kwa hali
na mali katika maombolezo ya msiba wa mpendwa mwanawe
Kevin Linus Kaenga, kwani ni kipindi kigumu kinachowakabili.
Hana cha kuwalipa zaidi ya kuomba Mwenyezi Mungu azidishe baraka zake kwenu kwa yote mnayotamani. anawashukuruni sana na muzidi kuwa na ushirikiano katika kila jambo.Ahsanteni...
11 years ago
Habarileo04 May
Familia ya marehemu yapagawa mtuhumiwa kutofikishwa kortini
FAMILIA ya marehemu Chacha Silas (59), mkazi wa kitongoji cha Bumangi, kijiji cha Wegero, wilaya ya Butiama, mkoani Mara, wamelalamikia kitendo cha jeshi la polisi wilayani humo, kutomfikisha mahakamani mtuhumiwa wa mauaji ya ndugu yao kwa kutumia rungu, wakiwa kwa mwanamke waliyekuwa wanamchukua kimapenzi wote wawili.
11 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-BAkA4-b7wlI/Uvk12TCc6aI/AAAAAAAFMQI/tCI7yBZPbXo/s72-c/Nape-Nnauye.jpg)
CCM YATOA SHUKRANI KWA WANANCHI KUIMWAGA CHADEMA KATIKA UCHAGUZI MDOGO WA UDIWANI ULIOFANYIKA JANA
![](http://1.bp.blogspot.com/-BAkA4-b7wlI/Uvk12TCc6aI/AAAAAAAFMQI/tCI7yBZPbXo/s1600/Nape-Nnauye.jpg)
Akitoa shukrani hizo, Katibu wa NEC, Itikadi na Uenezi, Nape Nnauye amesema leo kwamba siri ya CCM kuimwaga CHADEMA ni uadilifu katika kuwatumikia wananchi na kwamba, kushindwa kwa chama hicho ni ushahidi kwamba hakikubaliki na Watanzania wamewathibitishia kwamba hawajazoea vurugu. Nape alisema CCM...
10 years ago
Vijimambo![](http://img.youtube.com/vi/SFZzv1I3PRI/default.jpg)
RAIS KIKWETE AIFARIJI FAMILIA YA MAREHEMU JOHN KOMBA