Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


MISA YA KUMUOMBEA MAREHEMU MWESIGWA BLANDESI

Familia ya Mwesigwa inapenda kuwataarifu kuwa kutakuwa na misa ya kumuaga mpendwa wao Mwesigwa Blandesi itakayofanyika siku ya Jumamosi May 31,2014 kuanzia saa Nane na nusu mchana mpaka saa kumi na moja na nusu jioni(2:30-5:30pm) katika Kanisa la "Resurrection Lutheran Church", 397 Euclid Avenue, Oakland California 94610.
Baada ya misa kutakuwa na mkusanyiko wa ndugu jamaa na marafiki wote kwenye ukumbi wa "Resurrection Lutheran Church"  katika kusheherekea maisha na kumbukumbu ya...

Michuzi

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

Michuzi

FAMILIA YA MAREHEMU MWESIGWA BLANDESI YATOA SHUKRANI


Wapendwa Jamaa, marafiki na Watanzania wenzetu kwa ujumla,

Familia ya Marehemu Mwesigwa Blandesi kwa pamoja na familia ya Byorwango hapa California,Tunapenda kutoa shukrani za dhati  naza kipekee kwa wote mlioshiriki kikamilifu katika njia zote za mwanzoni mpaka mwishoni mwa maisha ya marehemu Blandesi Mwesigwa aliyefariki May 26 2014.
Tunashukuru mengi, kuanzia, mchango ya matibabu, ushirikiano wa kuuguza, sala, mawazo, na kuwa pamoja na kwa ukaribu katika shughuli zote za msiba mojawapo...

 

10 years ago

Dewji Blog

Dkt. Bilal ahudhuria misa maalum ya kumuombea marehemu Evodius Walingozi kanisa la Mtakatifu Joseph Dar

01

Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt. Mohammed Gharib Bilal, akisalimiana na Askofu Eusebius Nzigilwa, wakati wa Misa maalum ya kumuombea Marehemu Evodius Walingozi, iliyofanyika leo Feb 14 kwenye Kanisa la Mtakatifu Joseph jijini Dar es Salaam. (Picha na OMR).

1

Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt. Mohammed Gharib Bilal, akijumuika na baadhi ya waumini wa dini ya Kikristu wakati wa Misa maalum ya kumuombea Marehemu Evodius Walingozi, iliyofanyika leo...

 

10 years ago

Michuzi

MAKAMU WA RAIS DKT. BILAL AHUDHURIA MISA MAALUM YA KUMUOMBEA MAREHEMU EVODIUS WALINGOZI KANISA LA MTAKATIFU JOSEPH DAR

Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt. Mohammed Gharib Bilal, akisaliamia na Askofu Msaidizi wa Kanisa Katoliki Jimbo Kuu la Dar es Salaam, Eusebius Nzigilwa wakati wa Misa maalum ya kumuombea Marehemu Evodius Walingozi, iliyofanyika leo Feb 14 kwenye Kanisa la Mtakatifu Joseph jijini Dar es Salaam. Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt. Mohammed Gharib Bilal, akijumuika na baadhi ya waumini wa dini ya Kikristu wakati wa Misa maalum ya kumuombea Marehemu...

 

10 years ago

Michuzi

DUA YA KUMUOMBEA MAREHEMU Marehemu Omar Ndege Mgori KUFANYIKA NOVEMBA 23, 2014

Marehemu Omar Ndege MgoriFamilia ya  Mzee Ndege inatoa shukurani nyingi kwa ndugu, jamaa marafiki ma majirani waliokuwa nao bega kwa bega tokea ndugu yao mpendwa Marehemu Omar Ndege Mgori kilichotokea mwezi wa jana huko  India  na hatimaye kuzikwa  siku ya jumatatu Oktoba 13, 2014 kwenye makaburi ya Kisutu jijini Dar es salaam. Familia inasema haina cha kuwalipa zaidi ya  AHSANTE SANA na kumuomba Mola awajazie pale palipopungua.
Dua maalumu ya kumuombea Marehemu Omar Ndege Mgori imepangwa...

 

10 years ago

Vijimambo

TASWIRA YA MISA YA KUMUOMBEA MZEE LUANGISA ILIYOFANYIKA NEW YORK

Maura Mwingira, Charge d' affaires a.i wa Uwakilishi wa Kudumu wa Tanzania katika Umoja wa Mataifa, akitoa pole kwa watoto wa Mzee Luangisa kwa niaba ya balozi alipata nafasi ya kuongea machache mbele ya Watanzania waliojitokeza kwenye misa hiyo ya kumuombea marehemu mzee Luangisa pamoja na kuaga mwili wake tayari kwa safari ya kwenda nyumbani Bukoba Tanzania kwa mazishi.Mtoto wa marehem Kwame akitoa wasifu wa mzee Luangisa wasifu huo uliwatoa machozi watu kutokana jinsi mzee Luagisa...

 

11 years ago

Michuzi

polite reminder: MISA YA KUMUOMBEA MAJOR SAMUEL ISAAC CHEKINGO - ARUSHA (TANZANIA) & CHICAGO (USA)

Samson Chekingo wa CHICAGO – IL na Brenda Chekingo-Masha wa Kijenge – Arusha wanapenda kuwataarifu Misa ya kumuombea Mpendwa Marehemu Baba yao Major Samuel Isaac Chekingo (pichani), Itakayofanyika (Misa zitafanyika sehemu mbili tofauti Tanzania na USA) 1-       (Kwa wa USA)-Jumamosi March 8, th 2014 Kuanzia Saa 9 Jioni (3PM) hadi 1 Usiku (7 PM) katika kanisa la Augustana Lutheran of Hyde Park Anuwani ya Kanisani:

AUGUSTANA LUTHERAN CHURCH OF HYDE PARK
AND LUTHERAN CAMPUS MINISTRY
5500 SOUTH...

 

10 years ago

Vijimambo

TASWIRA NYUMBANI KWA VICKY MT VERNON WAKATI YA MISA YA KUMUOMBEA KAKA YAKE ALIEFARIKI HUKO TANZANIA MWEZI ULIOPITA

 Mchungaji akiongoza misa ya kumuombea marehemu kaka yake na Vicky, aliefariki huko Tanzania mwezi uliopita. Hii ni kawaida ya Watanzania ukutana nyumbani kwa mfiwa kwa maomba na kutoa pole. Misa hii ilifanya nyumbani kwa Vicky huko Mt Vernon New York siku ya jumapili jioni.  Ndugu na marafiki wakiwa wamesimama wakati mchungaji akiongoza misa.Dada yake Vicky  kutoka DC akitoa shukrani mbele ya watu waliojitokeza kwenye misa hiyo kwa picha zaidi jitiririshe chini.
 
PICHA KWA HISANI YA...

 

10 years ago

Bongo Movies

Picha: Sala Maalum ya Kumuombea Marehemu Adam Kumbiana

Leo umetimia mwaka mmoja tangu aliekuwa staa wa Bongo Movies, Adam Phillips Kumbiana kufariki dunia. Ndugu jamaa na marafiki wakiwemo na baadhi mastaa wa Bongo movies wakiongozwa na mke wa marehemu Kumbiana ametembelea kwenye kaburi la marehemu (makaburi ya Kinondoni) na kufanya sala maalum ya kumuombea marehemu.

Hizi ni baahi ya picha za tukio zima.

Rest in peace Kumbiana.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani