Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


TASWIRA NYUMBANI KWA VICKY MT VERNON WAKATI YA MISA YA KUMUOMBEA KAKA YAKE ALIEFARIKI HUKO TANZANIA MWEZI ULIOPITA

 Mchungaji akiongoza misa ya kumuombea marehemu kaka yake na Vicky, aliefariki huko Tanzania mwezi uliopita. Hii ni kawaida ya Watanzania ukutana nyumbani kwa mfiwa kwa maomba na kutoa pole. Misa hii ilifanya nyumbani kwa Vicky huko Mt Vernon New York siku ya jumapili jioni.  Ndugu na marafiki wakiwa wamesimama wakati mchungaji akiongoza misa.Dada yake Vicky  kutoka DC akitoa shukrani mbele ya watu waliojitokeza kwenye misa hiyo kwa picha zaidi jitiririshe chini.
 
PICHA KWA HISANI YA...

Vijimambo

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Vijimambo

TASWIRA YA MISA YA KUMUOMBEA MZEE LUANGISA ILIYOFANYIKA NEW YORK

Maura Mwingira, Charge d' affaires a.i wa Uwakilishi wa Kudumu wa Tanzania katika Umoja wa Mataifa, akitoa pole kwa watoto wa Mzee Luangisa kwa niaba ya balozi alipata nafasi ya kuongea machache mbele ya Watanzania waliojitokeza kwenye misa hiyo ya kumuombea marehemu mzee Luangisa pamoja na kuaga mwili wake tayari kwa safari ya kwenda nyumbani Bukoba Tanzania kwa mazishi.Mtoto wa marehem Kwame akitoa wasifu wa mzee Luangisa wasifu huo uliwatoa machozi watu kutokana jinsi mzee Luagisa...

 

9 years ago

Vijimambo

WATANZANIA WAJITOKEZA NYUMBANI KWA NY EBRA BROOKLYN. NEW YORK KUMPA POLE KWA KUFIWA NA DADA YAKE HUKO TANZANIA


Jumuiya ya Watanzania New York New Jersey,Connecticut na Pennsylvania inasikitika kuungana na Ebra Nyagaly wa Vijimambo New York kutangaza msiba wa dada yake Mpenzi Asha Nyagaly kilichotokea Dar es Salaam, Tanzania. Dada amekutwa na mauti nyumbani baada ya kuzidiwa  ghafla akitokea hospitali alipokwenda kupata matibabuKwa sasa unaweza kumpigia simu Ebra NY na kumpa pole simu 347 475 4313
Msiba utakuwa nyumbani kwaEbra702 E 37th St,Brooklyn, NY
Mwenye Enzi Mungu amsameh Marehemu makosa yake na...

 

11 years ago

Michuzi

polite reminder: MISA YA KUMUOMBEA MAJOR SAMUEL ISAAC CHEKINGO - ARUSHA (TANZANIA) & CHICAGO (USA)

Samson Chekingo wa CHICAGO – IL na Brenda Chekingo-Masha wa Kijenge – Arusha wanapenda kuwataarifu Misa ya kumuombea Mpendwa Marehemu Baba yao Major Samuel Isaac Chekingo (pichani), Itakayofanyika (Misa zitafanyika sehemu mbili tofauti Tanzania na USA) 1-       (Kwa wa USA)-Jumamosi March 8, th 2014 Kuanzia Saa 9 Jioni (3PM) hadi 1 Usiku (7 PM) katika kanisa la Augustana Lutheran of Hyde Park Anuwani ya Kanisani:

AUGUSTANA LUTHERAN CHURCH OF HYDE PARK
AND LUTHERAN CAMPUS MINISTRY
5500 SOUTH...

 

10 years ago

Vijimambo

TAARIFA YA MSIBA NEW YORK NA TANZANIA, LEO NI SIKU YA MWISHO MWILI WA MAREHEMU UNAPUMZISHWA KWENYE NYUMBA YA MILELE HUKO TANZANIA, WATANZANI TUTAKUTANA NYUMBANI KWA DR TEMBA

FLAVIAN IS FLAVIAN TEMBA:   1950 -2015

Alizaliwa Uru Shimbwe na alikuwa Mwalimu  Lyamungu Secondary School, Moshi Kilimamjaro Tanzania.
 Jumuiya ya Watanzania New York,New Jersey,Connecticut na Pennsylvania kwa Masikitiko makubwa tunaungana na Mweka na Mweka Hazina wetu Dr.Temba kutangaza kifo cha Kaka yake mpenzi Mzee Flavian Temba kilichotokea ghafla usiku wa  June 10,2015 katika Hospitali ya Mawenzi Moshi Kilimanjaro, Tanzania. Kama ilivyo desturi yetu wanajumuiya tuungane na Dr.Temba...

 

10 years ago

Vijimambo

TASWIRA YA BABY SHOWER YA NURU SIKU YA JUMAMOSI MT VERNON NEW YORK.

Picha ya Nuru ambayo wapendwa wake walikuwa wanaandika maneno ya pongezi kwa mama kijacho siku ya baby shower yake.Mama kijacho Nuru jinsi alivyo pendeza akiwa amepozi kwenye kiti cha kujidai siku ya baby shower yake iliyofanya New York siku ya jumamosi, jitiririshe kwa picha na matukio ya siku hiyo kwa kuingia soma zaidi kiroho safi.

 

11 years ago

Michuzi

MISA YA KUMUOMBEA MAREHEMU MWESIGWA BLANDESI

Familia ya Mwesigwa inapenda kuwataarifu kuwa kutakuwa na misa ya kumuaga mpendwa wao Mwesigwa Blandesi itakayofanyika siku ya Jumamosi May 31,2014 kuanzia saa Nane na nusu mchana mpaka saa kumi na moja na nusu jioni(2:30-5:30pm) katika Kanisa la "Resurrection Lutheran Church", 397 Euclid Avenue, Oakland California 94610.
Baada ya misa kutakuwa na mkusanyiko wa ndugu jamaa na marafiki wote kwenye ukumbi wa "Resurrection Lutheran Church"  katika kusheherekea maisha na kumbukumbu ya...

 

10 years ago

Vijimambo

KISOMO KILICHOSOMWA MARYLAND USA KUMUOMBEA BABA MPENDWA WA KAKA YETU ALI MUSSA MIKIDADI

Kisomo cha kumuombea dua marehemu Mussa Mikidadi baba wa ndugu yetu Ali Mussa Mikidadi kilifanyika jana jumamosi Hyattsville MarylamAli Mussa akiwa katika kisomo cha mpendwa baba yake kikiendelea kusomwa na ustadh ambae hayupo pichani Ustadh Ibrahim akiongoza kisomo siku ya jana jumamosi kumuombea baba yetu mpendwa pamoja na watu wengine walioshiriki katika kisomo hichoAli Mussa akiwa mmoja walioongoza kisomo cha kumumbea dua marehemu baba yakekilichofanyika jana JumamosiAger road...

 

11 years ago

Tanzania Daima

Asakwa kwa kumuua kaka yake

WATU wawili wamefariki dunia mkoani Morogoro katika matukio mawili tofauti likiwemo la kijana kumuua kaka yake. Kamanda wa Polisi mkoani hapa, Faustine Shilogile, alisema tukio hilo limetokea juzi, saa 6...

 

9 years ago

GPL

TASWIRA ZA MSIBA NYUMBANI KWA MTIKILA

Sehemu maalum iliyoaandaliwa kwa ajili ya wageni kuandikisha majina yao. Rafiki wa karibu wa marehemu Mch. Christoppher Mtikila, Anyambilile Mwakatole akizungumza na wanahabari msibani hapo.…

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani