Picha: Sala Maalum ya Kumuombea Marehemu Adam Kumbiana
Leo umetimia mwaka mmoja tangu aliekuwa staa wa Bongo Movies, Adam Phillips Kumbiana kufariki dunia. Ndugu jamaa na marafiki wakiwemo na baadhi mastaa wa Bongo movies wakiongozwa na mke wa marehemu Kumbiana ametembelea kwenye kaburi la marehemu (makaburi ya Kinondoni) na kufanya sala maalum ya kumuombea marehemu.
Hizi ni baahi ya picha za tukio zima.
Rest in peace Kumbiana.
Bongo Movies
Habari Zinazoendana
10 years ago
Dewji Blog14 Feb
Dkt. Bilal ahudhuria misa maalum ya kumuombea marehemu Evodius Walingozi kanisa la Mtakatifu Joseph Dar
Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt. Mohammed Gharib Bilal, akisalimiana na Askofu Eusebius Nzigilwa, wakati wa Misa maalum ya kumuombea Marehemu Evodius Walingozi, iliyofanyika leo Feb 14 kwenye Kanisa la Mtakatifu Joseph jijini Dar es Salaam. (Picha na OMR).
Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt. Mohammed Gharib Bilal, akijumuika na baadhi ya waumini wa dini ya Kikristu wakati wa Misa maalum ya kumuombea Marehemu Evodius Walingozi, iliyofanyika leo...
10 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-J0BorKjwCZg/VN8majwVYiI/AAAAAAAHDtI/uQzKafvbTm4/s72-c/01.jpg)
MAKAMU WA RAIS DKT. BILAL AHUDHURIA MISA MAALUM YA KUMUOMBEA MAREHEMU EVODIUS WALINGOZI KANISA LA MTAKATIFU JOSEPH DAR
![](http://2.bp.blogspot.com/-J0BorKjwCZg/VN8majwVYiI/AAAAAAAHDtI/uQzKafvbTm4/s1600/01.jpg)
![](http://1.bp.blogspot.com/-H19e48LhcxM/VN8ma1FuosI/AAAAAAAHDtQ/ZhZs4Uv-1LM/s1600/1.jpg)
11 years ago
Bongo Movies17 Jun
PICHA: Safari ya mwisho ya marehemu Adam kuambiana ilivyokuwa leo viwanja vya leaders Dar es salaam
Pumzika kwa Amani Adam Kuambiana.
10 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-1gc__G5h4C4/VGphi6iDBfI/AAAAAAAGx-I/GquKptm9IKE/s72-c/unnamed%2B(8).jpg)
DUA YA KUMUOMBEA MAREHEMU Marehemu Omar Ndege Mgori KUFANYIKA NOVEMBA 23, 2014
![](http://4.bp.blogspot.com/-1gc__G5h4C4/VGphi6iDBfI/AAAAAAAGx-I/GquKptm9IKE/s1600/unnamed%2B(8).jpg)
Dua maalumu ya kumuombea Marehemu Omar Ndege Mgori imepangwa...
11 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-bS464blpbe8/U4bL2wLDcDI/AAAAAAAFmBI/WXThY9CfFoc/s72-c/unnamed.png)
MISA YA KUMUOMBEA MAREHEMU MWESIGWA BLANDESI
![](http://2.bp.blogspot.com/-bS464blpbe8/U4bL2wLDcDI/AAAAAAAFmBI/WXThY9CfFoc/s1600/unnamed.png)
Baada ya misa kutakuwa na mkusanyiko wa ndugu jamaa na marafiki wote kwenye ukumbi wa "Resurrection Lutheran Church" katika kusheherekea maisha na kumbukumbu ya...
9 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-BUQRic4a_3s/VoBPDtylgCI/AAAAAAAIO9Q/d1NSr4Z9_VQ/s72-c/5756a1ac-4bb3-4135-b626-84003aa2fca3.jpg)
11 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-h0-Z5-rrir4/U4wz-73kW8I/AAAAAAAFnJU/MfBKjrpha10/s72-c/unnamed+(1).jpg)
Semi- finished houses for SALE at Kunduchi Sala Sala, Dar es salaam
![](http://1.bp.blogspot.com/-h0-Z5-rrir4/U4wz-73kW8I/AAAAAAAFnJU/MfBKjrpha10/s1600/unnamed+(1).jpg)
9 years ago
StarTV29 Dec
Waumini wa Kiislamu Singida wafanya dua maalum kumuombea Magufuli.
Waumini wa dini ya Kiislamu mkoani Singida wamefanya dua maalum ya kumuombea Rais John Pombe Magufuli ili Mungu ampe afya njema, nguvu na ujasiri wa kuendelea kupambana na wezi wa mali za umma, ubadhirifu, matumizi mabaya ya madaraka pamoja na vitendo vya ufisadi nchini.
Lengo ni kuhakikisha kuwa Rais Magufuli anajenga uaminifu na uadilifu miongoni mwa watumishi wa umma kwa kutumia kauli mbiu yake ya kutumbua majipu ili kurejesha imani zaidi kwa wananchi.
Katika Msikiti wa Mhajirina uliopo...
10 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-BNOrBLxuC-s/VGy3SWgHzhI/AAAAAAAGySs/0VPH6H0NW0Q/s72-c/Bismill2.jpg)
Umoja wa misikiti ya Ilala kumuombea Dua maalum Rais Kikwete
![](http://4.bp.blogspot.com/-BNOrBLxuC-s/VGy3SWgHzhI/AAAAAAAGySs/0VPH6H0NW0Q/s1600/Bismill2.jpg)
Dua itafanyika masjid TAQWA Ilala-Bungoni. Nyote mnakaribishwa. Imetolewa na Sheikh Abdul Wakati- Mwenyekiti wa umoja wa misikiti ILALA.
![](http://1.bp.blogspot.com/-9FfCO4I0FBw/VGy4YMGnzeI/AAAAAAAGyS4/HZx7UoXc1oE/s1600/KIKWETE.jpg)