Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


MAOMBI MAALUM YA KUMUOMBEA DKT MAGUFULI UINGEREZA


Michuzi

Read more


Habari Zinazoendana

9 years ago

Dewji Blog

Maombi maalum ya kumuombea Rais Magufuli kufanyika leo nchini Uingereza!!

5756a1ac-4bb3-4135-b626-84003aa2fca3

Naibu Balozi wa Tanzania nchini Uingereza, Balozi Msafiri Marwa anatarajiwa kuwa mgeni rsmi katika maombi maalum ya kumuombea Rais wa Tanzania, Dk. John Pombe Magufuli maombi yanayotarajiwa kufanyika leo nchini Uingereza. Maombi hayo yataendeshwa na Bishop Francis Sarpong, Pastor Mkuu wa Swahili Bob Baraka na wengineo.

 

9 years ago

Michuzi

Ibada maalum ya kumuombea Dkt. Rais John Pombe Joseph Magufuli yafanyika jijini London

 Askofu Mkuu wa kanisa la CCBC Dr Sarpong (kushoto) kutoka Ghana na Pastor Bob kutoka Kenya wakiongoza Ibada maalum ya kumuombea Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. John Pombe Joseph Magufuli jijini London usiku wa kuamkia leo. Naibu Balozi wa Tanzania nchini Uingereza Mhe. Msafiri Marwa akitoa neno la Shukurani wakati wa ibada hiyo jijini London.Wanakwaya wa kanisa la CCBC wakiimba kwenye Ibada hiyo jijini London Naibu Balozi wa Tanzania nchini Uingereza Mhe. Msafiri Marwa akipata...

 

9 years ago

Global Publishers

Ibaada ya Kumuombea Rais Magufuli yafanyika London, Uingereza

Magufuli aombewa london (1)Picha maalumu ya rais Magufuli (chini) ni sehemu ya wanakwaya.
Magufuli aombewa london (2)Askofu mkuu wa kanisa la CCBC, Dk. Sarpong kutoka Ghana na Pastor Bob kutoka Kenya wakiongoza Ibada hiyo.
Magufuli aombewa london (3)Mgeni rasmi Naibu Balozi , Msafiri Marwa akitoa neno la Shukurani kwa waandaaji na wahudhuriaji.Magufuli aombewa london (4)Baadhi ya Watanzania, wahamasishaji wakiwa na bendela ya Tanzania.Magufuli aombewa london (8)Magufuli aombewa london (7)Sehemu ya wahudhuriaji.

HAPA KAZI TU! Waafrika waishio jijini London, Uingereza, Desemba,  28 mwaka huu walifanya maombi maalumu ya kumuombea Rais wa Awamu ya Tano wa...

 

9 years ago

StarTV

Waumini wa Kiislamu Singida wafanya dua maalum kumuombea Magufuli.

Waumini wa dini ya Kiislamu mkoani Singida wamefanya dua maalum ya kumuombea Rais John Pombe Magufuli ili Mungu ampe afya njema, nguvu na ujasiri wa kuendelea kupambana na wezi wa mali za umma, ubadhirifu, matumizi mabaya ya madaraka pamoja na vitendo vya ufisadi nchini.

Lengo ni kuhakikisha kuwa Rais Magufuli anajenga uaminifu na uadilifu miongoni mwa watumishi wa umma kwa kutumia kauli mbiu yake ya kutumbua majipu ili kurejesha imani zaidi kwa wananchi.

Katika Msikiti wa Mhajirina uliopo...

 

10 years ago

Dewji Blog

Dkt. Bilal ahudhuria misa maalum ya kumuombea marehemu Evodius Walingozi kanisa la Mtakatifu Joseph Dar

01

Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt. Mohammed Gharib Bilal, akisalimiana na Askofu Eusebius Nzigilwa, wakati wa Misa maalum ya kumuombea Marehemu Evodius Walingozi, iliyofanyika leo Feb 14 kwenye Kanisa la Mtakatifu Joseph jijini Dar es Salaam. (Picha na OMR).

1

Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt. Mohammed Gharib Bilal, akijumuika na baadhi ya waumini wa dini ya Kikristu wakati wa Misa maalum ya kumuombea Marehemu Evodius Walingozi, iliyofanyika leo...

 

10 years ago

Michuzi

MAKAMU WA RAIS DKT. BILAL AHUDHURIA MISA MAALUM YA KUMUOMBEA MAREHEMU EVODIUS WALINGOZI KANISA LA MTAKATIFU JOSEPH DAR

Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt. Mohammed Gharib Bilal, akisaliamia na Askofu Msaidizi wa Kanisa Katoliki Jimbo Kuu la Dar es Salaam, Eusebius Nzigilwa wakati wa Misa maalum ya kumuombea Marehemu Evodius Walingozi, iliyofanyika leo Feb 14 kwenye Kanisa la Mtakatifu Joseph jijini Dar es Salaam. Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt. Mohammed Gharib Bilal, akijumuika na baadhi ya waumini wa dini ya Kikristu wakati wa Misa maalum ya kumuombea Marehemu...

 

5 years ago

CCM Blog

DIWANI AMUOMBEA DUA NJEMA NA KUMUOMBEA KURA RAIS DKT. MAGUFULI

 Diwani wa Kata ya Kigamboni, Dotto Msawa, akizungumza na wananchi wa kata hiyo wakati akiwashukuru na kuwaaga baada ya kuwatumikia kwa miaka mitano katika uongozi wake katika Uwanja wa Swala uliopo Tuamoyo Dar es Salaam. (Picha zote na Jumanne Gude).

TUSIMAME kwa dakika moja kumuombea Dua njema Rais wetu Dk. John Magufuli, pia wananchi tumpe tena kura nyingi katika uchaguzi unaokuja maana ametuongoza vizuri” alisema Diwani wa Kata ya Kigamboni Dotto Msawa.

Ombi hilo alilitoa Juni 9, 2020....

 

9 years ago

Dewji Blog

News On: Dkt. John Pombe Magufuli arudisha fomu, awaomba waendelee kumuombea

2Dk Magufuli pichani, ambapo mapema majira ya saa tano ya leo Agosti 21.2015, amerejesha fomu za kugombea Urais katika tume ya uchaguzi NEC. (Picha ya Maktaba).

Na Andrew Chale, modewjiblog

(Ilala-Dar es Salaam)  Waziri wa Ujenzi ambaye pia ni Mbunge wa Chato, Mheshimiwa Dkt. John Pombe Magufuli mapema leo Agosti 21, amerejesha fomu ya Kuomba kugombea nafasi ya Urais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania kupitia Chama Cha Mapinduzi CCM  katika tume ya Taifa ya Uchaguzi NEC’, zilizopo Ilala,...

 

11 years ago

Michuzi

Rais Dkt. Shein aelekea nchini Uingereza kwa safari maalum

Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dkt. Ali Mohamed Shein (kushoto) akizungumza na Makamo wa Pili wa Rais Balozi Seif Ali Iddi, katika ukumbi wa Mapumziko ya Viongozi VIP uwanja wa Ndege wa Kimataifa wa Abeid Amani Karumre Zanzibar,kabla ya kuondoka nchini kuelekea nchini Uingereza kwa safari maalum. Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dkt. Ali Mohamed Shein na Mkewe Mama Mwanamwema Shein wakiagana na Vingozi mbali mbali na wazee wa Chama katika...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani