Ibaada ya Kumuombea Rais Magufuli yafanyika London, Uingereza
Picha maalumu ya rais Magufuli (chini) ni sehemu ya wanakwaya.
Askofu mkuu wa kanisa la CCBC, Dk. Sarpong kutoka Ghana na Pastor Bob kutoka Kenya wakiongoza Ibada hiyo.
Mgeni rasmi Naibu Balozi , Msafiri Marwa akitoa neno la Shukurani kwa waandaaji na wahudhuriaji.
Baadhi ya Watanzania, wahamasishaji wakiwa na bendela ya Tanzania.
Sehemu ya wahudhuriaji.
HAPA KAZI TU! Waafrika waishio jijini London, Uingereza, Desemba, 28 mwaka huu walifanya maombi maalumu ya kumuombea Rais wa Awamu ya Tano wa...
Global Publishers
Habari Zinazoendana
9 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-5xsWOD1y7Y4/VoKf98eRqWI/AAAAAAAIPPI/N6PnHB07io0/s72-c/1c3ebb06-ce07-49b4-ba12-adac108b3533.jpg)
Ibada maalum ya kumuombea Dkt. Rais John Pombe Joseph Magufuli yafanyika jijini London
![](http://2.bp.blogspot.com/-5xsWOD1y7Y4/VoKf98eRqWI/AAAAAAAIPPI/N6PnHB07io0/s640/1c3ebb06-ce07-49b4-ba12-adac108b3533.jpg)
![](http://3.bp.blogspot.com/-LDdsxYglmTo/VoKf-lSSRuI/AAAAAAAIPPM/UzaXAgauK4k/s640/52344bfa-79bf-4c2c-bcd1-62d672551848.jpg)
![](http://4.bp.blogspot.com/-g32HsUAyi7A/VoKgHqGUogI/AAAAAAAIPPs/idRj1rN3bJY/s640/fa16f618-cdcb-4b34-b480-3235f9e6a7cd.jpg)
![](http://4.bp.blogspot.com/-YhuCsXUAp9U/VoKgRd0MkwI/AAAAAAAIPP4/_SFVJArNzP0/s640/36b95cdb-22ab-4bff-8633-9c1209814e95.jpg)
9 years ago
Dewji Blog28 Dec
Maombi maalum ya kumuombea Rais Magufuli kufanyika leo nchini Uingereza!!
Naibu Balozi wa Tanzania nchini Uingereza, Balozi Msafiri Marwa anatarajiwa kuwa mgeni rsmi katika maombi maalum ya kumuombea Rais wa Tanzania, Dk. John Pombe Magufuli maombi yanayotarajiwa kufanyika leo nchini Uingereza. Maombi hayo yataendeshwa na Bishop Francis Sarpong, Pastor Mkuu wa Swahili Bob Baraka na wengineo.
9 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-BUQRic4a_3s/VoBPDtylgCI/AAAAAAAIO9Q/d1NSr4Z9_VQ/s72-c/5756a1ac-4bb3-4135-b626-84003aa2fca3.jpg)
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-3t14ZUbXA5U/XoyGgnAhxuI/AAAAAAALmYI/kIiOLZ-tk4UB5iN2PplcuaUX4NYck7DlwCLcBGAsYHQ/s72-c/PMO_0250-768x517.jpg)
WAZIRI MKUU AMUWAKILISHA RAIS MAGUFULI DUA YA KUMUOMBEA RAIS WA KWANZA WA ZANZIBAR MAREHEMU MZEE ABEID AMANI KARUME
![](https://1.bp.blogspot.com/-3t14ZUbXA5U/XoyGgnAhxuI/AAAAAAALmYI/kIiOLZ-tk4UB5iN2PplcuaUX4NYck7DlwCLcBGAsYHQ/s640/PMO_0250-768x517.jpg)
Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa, akisalimiana na Waziri wa Nchi Ofisi ya Makamu wa Pili wa Rais wa Zanzibar, Mihayo Juma Nhunga (kushoto), wakati akiwasili kwenye uwanja wa Abeid Amani Karume, kumwakilisha Rais Magufuli, kwenye dua ya kumuombea aliyekua Rais wa kwanza wa Zanzibar, Abeid Amani Karume, katika kumbukizi ya kifo chake, Zanzibar Aprili 7, 2020....
5 years ago
MichuziVIONGOZI WA DINI WILAYANI KARAGWE WAANDAMANA KUMSHUKURU RAIS MAGUFULI KWA KURUHUSU IBAADA DC AWAPOKEA KWA NIABA YAKE NA KUTOA NENO.
5 years ago
CCM Blog![](https://1.bp.blogspot.com/-ELGT25fvD80/XuCKGPpYlKI/AAAAAAAAnxI/w_OucKJfX4cu1BM0xlGs7bbNOG4KTPoKwCLcBGAsYHQ/s72-c/2b472a9d-b07a-4722-94c3-1a65ff4116d4.jpg)
DIWANI AMUOMBEA DUA NJEMA NA KUMUOMBEA KURA RAIS DKT. MAGUFULI
![](https://1.bp.blogspot.com/-ELGT25fvD80/XuCKGPpYlKI/AAAAAAAAnxI/w_OucKJfX4cu1BM0xlGs7bbNOG4KTPoKwCLcBGAsYHQ/s400/2b472a9d-b07a-4722-94c3-1a65ff4116d4.jpg)
TUSIMAME kwa dakika moja kumuombea Dua njema Rais wetu Dk. John Magufuli, pia wananchi tumpe tena kura nyingi katika uchaguzi unaokuja maana ametuongoza vizuri” alisema Diwani wa Kata ya Kigamboni Dotto Msawa.
Ombi hilo alilitoa Juni 9, 2020....
9 years ago
MichuziASKOFU CHARLES GADI AONGOZA UMOJA WA MAKANISA YA DODOMA KUMUOMBEA RAIS DK.JOHN MAGUFULI NA SERIKALI YA AWAMU YA TANO
9 years ago
Dewji Blog26 Dec
Waziri Nape Nnauye awataka Watanzania kuendelea kumuombea Rais Dk John Pombe Magufuli, kazi ya kutumbua majipu ni ngumu na ina vikwazo vingi
Waziri wa Habari, Utamaduni, Sanaa na Michezo Ndugu Nape Nnauye aliyekuwa mgeni rasmi akimuwakilisha Makamu wa Rais Mh. Mama Samia Suluhu Hassan akizindua rasmi albam mbili za kwaya ya Wakorintho wa Pili kwenye tamasha la Krismas lililofanyika kwenye ukumbi wa Diamond Jubilee jana, ambapo mwimbaji wa muziki wa injili kutoka nchini Afrika ya Kusini Rebecca Malope amefanya onesho kubwa lililovuta hisia za mashabiki wengi waliohudhuria katika tamasha hili akishirikiana na waimbaji mbalimbali...
10 years ago
BBCSwahili03 Nov
Misa ya wafu ya Sata yafanyika London