Umoja wa misikiti ya Ilala kumuombea Dua maalum Rais Kikwete
![](http://4.bp.blogspot.com/-BNOrBLxuC-s/VGy3SWgHzhI/AAAAAAAGySs/0VPH6H0NW0Q/s72-c/Bismill2.jpg)
Bismillah Rahman Rahim. Umoja wa misikiti ya Ilala unawaomba/unawaalika kushiriki katika Dua maalum ya kumuombea Mh. Rais Alhaji Jakaya Mrisho Kikwete,ili aweze kupona maradhi yake, siku ya Alhamis tarehe 20/11/2014 saa mbili usiku ( baada ya swalatul isha'a).
Dua itafanyika masjid TAQWA Ilala-Bungoni. Nyote mnakaribishwa. Imetolewa na Sheikh Abdul Wakati- Mwenyekiti wa umoja wa misikiti ILALA.Rais Kikwete akiendelea na kazi ndogo ndogo,wakati akiwa kwenye matibabu,nchini...
Michuzi
Habari Zinazoendana
9 years ago
StarTV29 Dec
Waumini wa Kiislamu Singida wafanya dua maalum kumuombea Magufuli.
Waumini wa dini ya Kiislamu mkoani Singida wamefanya dua maalum ya kumuombea Rais John Pombe Magufuli ili Mungu ampe afya njema, nguvu na ujasiri wa kuendelea kupambana na wezi wa mali za umma, ubadhirifu, matumizi mabaya ya madaraka pamoja na vitendo vya ufisadi nchini.
Lengo ni kuhakikisha kuwa Rais Magufuli anajenga uaminifu na uadilifu miongoni mwa watumishi wa umma kwa kutumia kauli mbiu yake ya kutumbua majipu ili kurejesha imani zaidi kwa wananchi.
Katika Msikiti wa Mhajirina uliopo...
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-3t14ZUbXA5U/XoyGgnAhxuI/AAAAAAALmYI/kIiOLZ-tk4UB5iN2PplcuaUX4NYck7DlwCLcBGAsYHQ/s72-c/PMO_0250-768x517.jpg)
WAZIRI MKUU AMUWAKILISHA RAIS MAGUFULI DUA YA KUMUOMBEA RAIS WA KWANZA WA ZANZIBAR MAREHEMU MZEE ABEID AMANI KARUME
![](https://1.bp.blogspot.com/-3t14ZUbXA5U/XoyGgnAhxuI/AAAAAAALmYI/kIiOLZ-tk4UB5iN2PplcuaUX4NYck7DlwCLcBGAsYHQ/s640/PMO_0250-768x517.jpg)
Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa, akisalimiana na Waziri wa Nchi Ofisi ya Makamu wa Pili wa Rais wa Zanzibar, Mihayo Juma Nhunga (kushoto), wakati akiwasili kwenye uwanja wa Abeid Amani Karume, kumwakilisha Rais Magufuli, kwenye dua ya kumuombea aliyekua Rais wa kwanza wa Zanzibar, Abeid Amani Karume, katika kumbukizi ya kifo chake, Zanzibar Aprili 7, 2020....
10 years ago
GPLMISS ILALA NO 2 AWAPATIA ZAWADI WATOTO YATIMA, WAMUOMBEA DUA MAALUM
5 years ago
CCM Blog![](https://1.bp.blogspot.com/-ELGT25fvD80/XuCKGPpYlKI/AAAAAAAAnxI/w_OucKJfX4cu1BM0xlGs7bbNOG4KTPoKwCLcBGAsYHQ/s72-c/2b472a9d-b07a-4722-94c3-1a65ff4116d4.jpg)
DIWANI AMUOMBEA DUA NJEMA NA KUMUOMBEA KURA RAIS DKT. MAGUFULI
![](https://1.bp.blogspot.com/-ELGT25fvD80/XuCKGPpYlKI/AAAAAAAAnxI/w_OucKJfX4cu1BM0xlGs7bbNOG4KTPoKwCLcBGAsYHQ/s400/2b472a9d-b07a-4722-94c3-1a65ff4116d4.jpg)
TUSIMAME kwa dakika moja kumuombea Dua njema Rais wetu Dk. John Magufuli, pia wananchi tumpe tena kura nyingi katika uchaguzi unaokuja maana ametuongoza vizuri” alisema Diwani wa Kata ya Kigamboni Dotto Msawa.
Ombi hilo alilitoa Juni 9, 2020....
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-q8XUDTlp8wU/XoyFypuRDxI/AAAAAAALmYA/2QAFrzlyKTkMcyR7SZkxRkq-UMgC6N4PwCLcBGAsYHQ/s72-c/DSC1422AAA-768x413.jpg)
RAIS WA ZANZIBAR DK. SHEIN AONGOZA DUA YA KUMUOMBEA RAIS WA KWANZA WA ZANZIBAR MAREHEMU MZEE ABEID AMANI KARUME ILIOFANYIKA VIWANJA VYA AFISI KUU YA CCM ZANZIBAR
![](https://1.bp.blogspot.com/-q8XUDTlp8wU/XoyFypuRDxI/AAAAAAALmYA/2QAFrzlyKTkMcyR7SZkxRkq-UMgC6N4PwCLcBGAsYHQ/s640/DSC1422AAA-768x413.jpg)
![](https://fullshangweblog.co.tz/wp-content/uploads/2020/04/DSC1428AAAA-1024x609.jpg)
9 years ago
Dewji Blog28 Dec
Maombi maalum ya kumuombea Rais Magufuli kufanyika leo nchini Uingereza!!
Naibu Balozi wa Tanzania nchini Uingereza, Balozi Msafiri Marwa anatarajiwa kuwa mgeni rsmi katika maombi maalum ya kumuombea Rais wa Tanzania, Dk. John Pombe Magufuli maombi yanayotarajiwa kufanyika leo nchini Uingereza. Maombi hayo yataendeshwa na Bishop Francis Sarpong, Pastor Mkuu wa Swahili Bob Baraka na wengineo.
9 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-5xsWOD1y7Y4/VoKf98eRqWI/AAAAAAAIPPI/N6PnHB07io0/s72-c/1c3ebb06-ce07-49b4-ba12-adac108b3533.jpg)
Ibada maalum ya kumuombea Dkt. Rais John Pombe Joseph Magufuli yafanyika jijini London
![](http://2.bp.blogspot.com/-5xsWOD1y7Y4/VoKf98eRqWI/AAAAAAAIPPI/N6PnHB07io0/s640/1c3ebb06-ce07-49b4-ba12-adac108b3533.jpg)
![](http://3.bp.blogspot.com/-LDdsxYglmTo/VoKf-lSSRuI/AAAAAAAIPPM/UzaXAgauK4k/s640/52344bfa-79bf-4c2c-bcd1-62d672551848.jpg)
![](http://4.bp.blogspot.com/-g32HsUAyi7A/VoKgHqGUogI/AAAAAAAIPPs/idRj1rN3bJY/s640/fa16f618-cdcb-4b34-b480-3235f9e6a7cd.jpg)
![](http://4.bp.blogspot.com/-YhuCsXUAp9U/VoKgRd0MkwI/AAAAAAAIPP4/_SFVJArNzP0/s640/36b95cdb-22ab-4bff-8633-9c1209814e95.jpg)
9 years ago
MichuziASKOFU CHARLES GADI AONGOZA UMOJA WA MAKANISA YA DODOMA KUMUOMBEA RAIS DK.JOHN MAGUFULI NA SERIKALI YA AWAMU YA TANO
10 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-J0BorKjwCZg/VN8majwVYiI/AAAAAAAHDtI/uQzKafvbTm4/s72-c/01.jpg)
MAKAMU WA RAIS DKT. BILAL AHUDHURIA MISA MAALUM YA KUMUOMBEA MAREHEMU EVODIUS WALINGOZI KANISA LA MTAKATIFU JOSEPH DAR
![](http://2.bp.blogspot.com/-J0BorKjwCZg/VN8majwVYiI/AAAAAAAHDtI/uQzKafvbTm4/s1600/01.jpg)
![](http://1.bp.blogspot.com/-H19e48LhcxM/VN8ma1FuosI/AAAAAAAHDtQ/ZhZs4Uv-1LM/s1600/1.jpg)