Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Umoja wa misikiti ya Ilala kumuombea Dua maalum Rais Kikwete

Bismillah Rahman Rahim. Umoja wa misikiti ya Ilala unawaomba/unawaalika kushiriki katika Dua maalum ya kumuombea Mh. Rais Alhaji Jakaya Mrisho Kikwete,ili aweze kupona maradhi yake, siku ya Alhamis tarehe 20/11/2014 saa mbili usiku ( baada ya swalatul isha'a). 
Dua itafanyika masjid TAQWA Ilala-Bungoni. Nyote mnakaribishwa. Imetolewa na Sheikh Abdul Wakati- Mwenyekiti wa umoja wa misikiti ILALA.Rais Kikwete akiendelea na kazi ndogo ndogo,wakati akiwa kwenye matibabu,nchini...

Michuzi

Read more


Habari Zinazoendana

9 years ago

StarTV

Waumini wa Kiislamu Singida wafanya dua maalum kumuombea Magufuli.

Waumini wa dini ya Kiislamu mkoani Singida wamefanya dua maalum ya kumuombea Rais John Pombe Magufuli ili Mungu ampe afya njema, nguvu na ujasiri wa kuendelea kupambana na wezi wa mali za umma, ubadhirifu, matumizi mabaya ya madaraka pamoja na vitendo vya ufisadi nchini.

Lengo ni kuhakikisha kuwa Rais Magufuli anajenga uaminifu na uadilifu miongoni mwa watumishi wa umma kwa kutumia kauli mbiu yake ya kutumbua majipu ili kurejesha imani zaidi kwa wananchi.

Katika Msikiti wa Mhajirina uliopo...

 

5 years ago

Michuzi

WAZIRI MKUU AMUWAKILISHA RAIS MAGUFULI DUA YA KUMUOMBEA RAIS WA KWANZA WA ZANZIBAR MAREHEMU MZEE ABEID AMANI KARUME



Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa, akisalimiana na Waziri wa Nchi Ofisi ya Makamu wa Pili wa Rais wa Zanzibar, Mihayo Juma Nhunga (kushoto), wakati akiwasili kwenye uwanja wa Abeid Amani Karume, kumwakilisha Rais Magufuli, kwenye dua ya kumuombea aliyekua Rais wa kwanza wa Zanzibar, Abeid Amani Karume, katika kumbukizi ya kifo chake, Zanzibar Aprili 7, 2020....

 

10 years ago

GPL

MISS ILALA NO 2 AWAPATIA ZAWADI WATOTO YATIMA, WAMUOMBEA DUA MAALUM

Mkuu wa wilaya, Raymond Moshi ya Ilala akitoa mkono wa heri kwa mrembo kwa ajili ya kupeleka misdaa mbalimbali kwenye jamii. Miss Nasreem Abdul akiwa pamoja na wasichana waliofanyiwa ukatili na kutelekezwa na sasa wanalelewa na TAASISI YA WANAWAKE KATIKAA JITIHADA KIMAENDELE "WAJIKI" Kilichopo Mwananyamala Kinondoni Jijini Dar.…

 

5 years ago

CCM Blog

DIWANI AMUOMBEA DUA NJEMA NA KUMUOMBEA KURA RAIS DKT. MAGUFULI

 Diwani wa Kata ya Kigamboni, Dotto Msawa, akizungumza na wananchi wa kata hiyo wakati akiwashukuru na kuwaaga baada ya kuwatumikia kwa miaka mitano katika uongozi wake katika Uwanja wa Swala uliopo Tuamoyo Dar es Salaam. (Picha zote na Jumanne Gude).

TUSIMAME kwa dakika moja kumuombea Dua njema Rais wetu Dk. John Magufuli, pia wananchi tumpe tena kura nyingi katika uchaguzi unaokuja maana ametuongoza vizuri” alisema Diwani wa Kata ya Kigamboni Dotto Msawa.

Ombi hilo alilitoa Juni 9, 2020....

 

5 years ago

Michuzi

RAIS WA ZANZIBAR DK. SHEIN AONGOZA DUA YA KUMUOMBEA RAIS WA KWANZA WA ZANZIBAR MAREHEMU MZEE ABEID AMANI KARUME ILIOFANYIKA VIWANJA VYA AFISI KUU YA CCM ZANZIBAR

VIONGOZI wa Madhehemu  (kushoto) Askofu wa Kanisa la Anglikana Dayosisi ya Zanzibar. Hafidh Michael na Kiongozi wa Madhehebu ya Hindu Zanzibar. Pramuk  Yoges  wakielekea katika eneo la kaburi la Marehemu Mzee Abeid Amani Karume, kwa ajili ya  kumuombea dua iliofanyika leo katika kaburi la marehemu viwanja vya Afisi Kuu ya CCM Kisiwandui.RAIS wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Mhe. Dk. Ali Mohamed Shein, akihudhuria hafla ya dua ya kumuombea Marehemu Mzee Abeid Amani...

 

9 years ago

Dewji Blog

Maombi maalum ya kumuombea Rais Magufuli kufanyika leo nchini Uingereza!!

5756a1ac-4bb3-4135-b626-84003aa2fca3

Naibu Balozi wa Tanzania nchini Uingereza, Balozi Msafiri Marwa anatarajiwa kuwa mgeni rsmi katika maombi maalum ya kumuombea Rais wa Tanzania, Dk. John Pombe Magufuli maombi yanayotarajiwa kufanyika leo nchini Uingereza. Maombi hayo yataendeshwa na Bishop Francis Sarpong, Pastor Mkuu wa Swahili Bob Baraka na wengineo.

 

9 years ago

Michuzi

Ibada maalum ya kumuombea Dkt. Rais John Pombe Joseph Magufuli yafanyika jijini London

 Askofu Mkuu wa kanisa la CCBC Dr Sarpong (kushoto) kutoka Ghana na Pastor Bob kutoka Kenya wakiongoza Ibada maalum ya kumuombea Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. John Pombe Joseph Magufuli jijini London usiku wa kuamkia leo. Naibu Balozi wa Tanzania nchini Uingereza Mhe. Msafiri Marwa akitoa neno la Shukurani wakati wa ibada hiyo jijini London.Wanakwaya wa kanisa la CCBC wakiimba kwenye Ibada hiyo jijini London Naibu Balozi wa Tanzania nchini Uingereza Mhe. Msafiri Marwa akipata...

 

9 years ago

Michuzi

ASKOFU CHARLES GADI AONGOZA UMOJA WA MAKANISA YA DODOMA KUMUOMBEA RAIS DK.JOHN MAGUFULI NA SERIKALI YA AWAMU YA TANO

 Viongozi wa Makanisa mbalimbali ya mkoani Dodoma wakiwa wameshika picha za Rais Dk.John Magufuli, Waziri Mkuu, Majaliwa Kasimu Majaliwa na Makamu wa Rais Samia Hassan Suluhu wakati wa kufanya maombi ya kuwaombea yaliyofanyika mjini Dodoma juzi. Maombi hayo yaliongozwa na Askofu wa Kanisa la Good News for All Ministry International la jijini Dar es Salaam. Viongozi hao na waumini wakiwa katika picha ya pamoja wakati wa maombi hayo.Picha ya pamoja ndani ya Kanisa la Kiinjili la Kilutheri...

 

10 years ago

Michuzi

MAKAMU WA RAIS DKT. BILAL AHUDHURIA MISA MAALUM YA KUMUOMBEA MAREHEMU EVODIUS WALINGOZI KANISA LA MTAKATIFU JOSEPH DAR

Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt. Mohammed Gharib Bilal, akisaliamia na Askofu Msaidizi wa Kanisa Katoliki Jimbo Kuu la Dar es Salaam, Eusebius Nzigilwa wakati wa Misa maalum ya kumuombea Marehemu Evodius Walingozi, iliyofanyika leo Feb 14 kwenye Kanisa la Mtakatifu Joseph jijini Dar es Salaam. Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt. Mohammed Gharib Bilal, akijumuika na baadhi ya waumini wa dini ya Kikristu wakati wa Misa maalum ya kumuombea Marehemu...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani