SHUKURANI TOKA FAMILIA YA MAREHEMU MZEE ANGULILE MWASUMBWE WA TUKUYU
![](http://2.bp.blogspot.com/-XjVtFzsAcjI/VFnx58qeNvI/AAAAAAAGvjw/ILQTBZyakPo/s72-c/unnamed.jpg)
Kwa niaba ya familia ya mzee Angulile Mwasumbwe wa Kanyelele Tukuyu Mbeya, tunawashukuru ndugu, marafiki na jamaa zetu wote walioungana nasi kwa hali na mali katika msiba wa baba yetu uliotokea 23/09/2014. Mungu hatawapungukia wala kuwaacha. Tunamtukuza Bwana awezaye kutufanyia mambo ya ajabu kuliko vile tuwazavyo na tuombavyo (Efeso 3:20); tunamtukuza Mungu kwa kumtwaa Baba yetu katika uzee mwema - Marehemu ameishi miaka 100 kamili (1914 - 2014)Mbarikiwe Mungu aliye Juu na jina la Bwana...
Michuzi
Habari Zinazoendana
10 years ago
MichuziSHUKURANI TOKA FAMILIA YA GONDWE
11 years ago
GPL![](http://4.bp.blogspot.com/-8--S5Tm77ck/UsGGbOnJFqI/AAAAAAAFD_0/LqMDeBvFQjw/s640/unnamed+(2).jpg?width=650)
SHUKURANI TOKA KWA FAMILIA YA MRUMA
10 years ago
VijimamboMisa ya Shukurani Arubaini ya Marehemu Mzee Samuel N. Luangisa
Saturday August 8, 2015.
Familia ya Marehemu Mzee Luangisa na New York Tanzania Community, inawakaribisha kwenye MISA ya Shukurani au Arubaini ya Marehemu Mzee wetu, Baba yetu na Kiongozi wetu Mzee Samuel Ntambala Luangisa (83),
Siku: Saturday August 8th, 2015
Saa: 4pm
Address: Luangisa Residence: 374 Hawthorne Terrace, Mt. Vernon, NY 10552
Misa itaongozwa na Mchungaji Mama Butiku
Mpe taarifa mwenzako...
10 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-kcDHfOz-ffM/VcJOajbrNNI/AAAAAAAHuag/tcdG1bggd4E/s72-c/unnamed%2B%252844%2529.jpg)
RAIS KIKWETE AIFARIJI FAMILIA YA MAREHEMU MZEE PETER KISUMO
![](http://4.bp.blogspot.com/-kcDHfOz-ffM/VcJOajbrNNI/AAAAAAAHuag/tcdG1bggd4E/s640/unnamed%2B%252844%2529.jpg)
11 years ago
GPLGAZETI LA CHAMPIONI LAKABIDHI UBANI KWA FAMILIA YA MAREHEMU MZEE SMALL
11 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-hGRt3BTVqcY/Uvk38Zqh0BI/AAAAAAAFMQU/I03e-Ae_II8/s72-c/unnamed+(51).jpg)
RAIS KIKWETE AIFARIJI FAMILIA YA MAREHEMU MZEE PATRICK QORRO LEO
![](http://1.bp.blogspot.com/-hGRt3BTVqcY/Uvk38Zqh0BI/AAAAAAAFMQU/I03e-Ae_II8/s1600/unnamed+(51).jpg)
Marehemu Qorro ambaye wakati wa Serikali ya awamu ya kwanza aliwahi kushika nyadhifa mbalimbali, ikiwamo Waziri mdogo wa Kilimo na...
11 years ago
GPL![](http://dewjiblog.com/wp-content/uploads/2014/03/DSC_0496.jpg)
FAMILIA YA MAREHEMU MZEE ARNOLD KAMBONAPANI NKHOMA YAENDESHA MISA MAALUM YA SHUKRANI JIJINI DAR
11 years ago
Michuzi11 May
shukurani toka minnesota, marekani
Kwa kweli hakuna maneno yanayoweza kuelezea jinsi tulivyofarijika kwa uwepo wenu kati yetu...