PROF. KABUDI ATOA SHUKRANI KWA WATANZANIA KWA NIABA YA RAIS
![](https://1.bp.blogspot.com/-n6WCy76NYlo/XsrRZCNIvrI/AAAAAAALrb0/BwEHMz86BIEayHjMPsKMJVSqdMTzz0bswCLcBGAsYHQ/s72-c/1-25.jpg)
Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki Prof. Palamagamba John Kabudi (Mb) akitoa salamu za shukrani kwa Waumini wa Kanisa Kuu la Mtakatifu Albano,Dayosisi ya Dar Es Salaam kwa niaba ya Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. John Pombe Magufuli ikiwa ni kilele cha siku tatu za shukrani kwa Mungu baada ya maambukizi ya virus vya corona kupungua nchini
Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki Prof. Palamagamba John Kabudi (Mb) akitoa salamu za shukrani...
Michuzi
Habari Zinazoendana
5 years ago
CCM Blog![](https://1.bp.blogspot.com/-mBQb_JUQax0/XmJ3wL833wI/AAAAAAACIP0/p96Stivh4tUc44oiPKApfGVLDxkYaZhJwCLcBGAsYHQ/s72-c/2.jpg)
PROF. KABUDI AWASILISHA UJUMBE MAALUM WA RAIS MAGUFULI KWA RAIS DONALD TRUMP WA MAREKANI
![](https://1.bp.blogspot.com/-mBQb_JUQax0/XmJ3wL833wI/AAAAAAACIP0/p96Stivh4tUc44oiPKApfGVLDxkYaZhJwCLcBGAsYHQ/s320/2.jpg)
Washington, MarekaniTanzania na Benki ya Dunia zimekubaliana kuendelea kushirikiana katika masuala mbalimbali ikiwemo elimu,uendelezaji wa miundo mbinu na masuala ya kijamii kupitia mikopo,ruzuku na misaada inayotolewa na benki hiyo ili...
5 years ago
MichuziKIWANDA KURUDISHA SHUKRANI KWA RAIS MAGUFULI KWA KUGAWA CHAKI BURE ...DC JOKATE MWEGELO ATOA NENO
Mkuu wa Wilaya ya Kisarawe mkoani Pwani Jokate Mwegelo(aliyevaa nguo nyekundu),Katibu Tawala wa wilaya hiyo Tella Mwampamba(kulia) wakiwa na baadhi ya wafanyakazi na viongozi wa kiwanda cha kutengeneza chaki cha Mkongoma General Supply Ltd wakishuhudia taa zikiwaka baada ya Shirika la Umeme Tanzania(TANESCO) wilayani humo kupeleka umeme katka kiwanda hicho.
Mkurugenzi Mkuu wa Kiwanda cha Mkongoma General Supply Ltd Geoffrey Mkongoma (kulia) akifafanua jambo kwa Mkuu wa Wilaya ya Kisarawe...
5 years ago
CCM Blog24 May
PROF. KABUDI: KAULI YA RAIS DK. MAGUFULI KUHIMIZA WATANZANIA KUSALI ILI TAIFA LIONDOKANE NA COVID 19 HAIKUWA IKIMAANISHA KUPUUZA KANUNI ZA KISAYASI KATIKA KUKABILIANA NA UGONJWA HUO
Akitoa salam za Shukrani kwa Mungu na watanzania kwa niaba ya Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. John Pombe Magufuli ikiwa ni hitimisho la siku tatu za...
10 years ago
Michuzi![](http://img.youtube.com/vi/O-q70EuDvck/default.jpg)
5 years ago
MichuziTICTS YAKABIDHI VIFAA VYA THAMANI YA MILIONI 182/- KWA WIZARA YA AFYA, MGANGA MKUU WA SERIKLI ATOA SHUKRANI KWA SEKTA BINAFSI
5 years ago
MichuziVIONGOZI WA DINI WILAYANI KARAGWE WAANDAMANA KUMSHUKURU RAIS MAGUFULI KWA KURUHUSU IBAADA DC AWAPOKEA KWA NIABA YAKE NA KUTOA NENO.
9 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-UCUcmFxhvhc/Vk8Wh6xtH0I/AAAAAAAIHIM/aCIdooVG_SI/s72-c/IMG-20151109-WA0004.jpg)
MDAU ATOA SHUKRANI KWA MICHANGO YA MATIBABU
![](http://1.bp.blogspot.com/-UCUcmFxhvhc/Vk8Wh6xtH0I/AAAAAAAIHIM/aCIdooVG_SI/s320/IMG-20151109-WA0004.jpg)
Natumaini wote mko salama.Kwa niaba ya Dada yetu Ndugu yetu Mtanzania Mwenzetu AMINA ALLY JUMA na Familia yake yote kwa ujumla, Leo tunarudi kwenu kwa SHUKRANI ZA DHATI kwa Moyo kwa kujitolea kwenu kwa hali na Mali na Sala zenu.
Tangu Mwezi uliopita tulikuja kwenu kwa ajili ya kuomba msaada kwa ajili ya Dada yetu AMINA anayesumbuliwa na maradhi ya Saratani ya Damu (ACUTE AMELOID LEUKEMIA) Ambaye kwa sasa yuko nchini...
5 years ago
CCM Blog![](https://1.bp.blogspot.com/-LpsMwifnsfo/XmteqLzQIDI/AAAAAAAC01Y/B50qXbd1T5YjzfIE5213JbAB5qnPhyXXQCLcBGAsYHQ/s72-c/1.jpg)
RAIS MAGUFULI ATOA UJUMBE MZITO KWA WATANZANIA KUHUSU VIRUSI VYA CORONA
![](https://1.bp.blogspot.com/-LpsMwifnsfo/XmteqLzQIDI/AAAAAAAC01Y/B50qXbd1T5YjzfIE5213JbAB5qnPhyXXQCLcBGAsYHQ/s640/1.jpg)
Ametoa tahadhari hiyo leo Ijumaa Machi 13,2020 wakati akizindua karakana ya kisasa ya Jeshi la Wananchi Tanzania (JWTZ) iliyojengwa kwa Sh8.5 bilioni kwa ufadhili wa Serikali ya Ujerumani.
Rais Magufuli amesema ingawa ugonjwa huo umesambaa katika maeneo mbalimbali dunia bado Tanzania...
9 years ago
GPL![](http://4.bp.blogspot.com/-rjjH6yJLxI0/VdaFgPgFzdI/AAAAAAAAkkc/6DvOTrTMZDc/s640/1.jpg)
NAPE ATOA SHUKRANI KWA WAKAZI WA MTAMA, AAHIDI KUTOWAANGUSHA