NAPE ATOA SHUKRANI KWA WAKAZI WA MTAMA, AAHIDI KUTOWAANGUSHA
![](http://4.bp.blogspot.com/-rjjH6yJLxI0/VdaFgPgFzdI/AAAAAAAAkkc/6DvOTrTMZDc/s640/1.jpg)
 Katibu wa NEC Itikadi na Uenezi Nape Nnauye ambaye pia ndio mgombea wa ubunge wa Jimbo la Mtama kwa tiketi ya CCM akipokelewa kwa shangwe na wananchi wa kata ya Majengo wakati akiwasili kwenye eneo la mkutano wa kuwashukuru wananchi hao kwa kumpigia kura nyingi kwenye mchakato wa kura za maoni.  Katibu wa NEC Itikadi na Uenezi Nape Nnauye ambaye pia ndio mgombea wa ubunge wa Jimbo la Mtama kwa tiketi ya CCM...
GPL
Habari Zinazoendana
9 years ago
Vijimambo![](http://4.bp.blogspot.com/-rjjH6yJLxI0/VdaFgPgFzdI/AAAAAAAAkkc/6DvOTrTMZDc/s72-c/1.jpg)
NAPE AWASHUKURU WANA CCM MTAMA AAHIDI KUTOWAANGUSHA
![](http://4.bp.blogspot.com/-rjjH6yJLxI0/VdaFgPgFzdI/AAAAAAAAkkc/6DvOTrTMZDc/s640/1.jpg)
![](http://3.bp.blogspot.com/-rMq_p1o__Uk/VdaFigK1ItI/AAAAAAAAkl8/L7d6V8tZQLw/s640/2.jpg)
9 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-rjjH6yJLxI0/VdaFgPgFzdI/AAAAAAAAkkc/6DvOTrTMZDc/s72-c/1.jpg)
NAPE AWASHUKURU WAKAZI WA MAJENGO KATA YA MTAMA
![](http://4.bp.blogspot.com/-rjjH6yJLxI0/VdaFgPgFzdI/AAAAAAAAkkc/6DvOTrTMZDc/s640/1.jpg)
![](http://3.bp.blogspot.com/-rMq_p1o__Uk/VdaFigK1ItI/AAAAAAAAkl8/L7d6V8tZQLw/s640/2.jpg)
ubunge wa Jimbo la Mtama kwa tiketi ya CCM akiwasalimia viongozi mbali mbali wa CCM ngazi za kata na matawi waliojitokeza...
9 years ago
Dewji Blog15 Nov
#HapaKaziTu: Mbunge mteule wa jimbo la Mtama, Nape Nnauye aanza kutekeleza kwa vitendo jimboni
Mbunge mteule wa Jimbo la Mtama, Katibu wa NEC Itikadi na Uenezi Nape akisaini mkataba wa kupata vifaa vya huduma za afya mbele ya Mwambata wa Siasa wa Ubalozi wa China nchini Tanzania Mis Song Rui katika ofisi za Ubalozi wa Jamhuri ya Watu wa China.
Na Andrew Chale, Modewjiblog
Mbunge Mteule wa Jimbo la Mtama Ndugu Nape Nnauye ameanza kazi ya kuwatumikia wakazi wa jimbo hilo baada ya kusaini mkataba maalum na Ubalozi wa China nchini wa kusaidia vifaa vya huduma ya Afya kwa jimbo la...
9 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-UCUcmFxhvhc/Vk8Wh6xtH0I/AAAAAAAIHIM/aCIdooVG_SI/s72-c/IMG-20151109-WA0004.jpg)
MDAU ATOA SHUKRANI KWA MICHANGO YA MATIBABU
![](http://1.bp.blogspot.com/-UCUcmFxhvhc/Vk8Wh6xtH0I/AAAAAAAIHIM/aCIdooVG_SI/s320/IMG-20151109-WA0004.jpg)
Natumaini wote mko salama.Kwa niaba ya Dada yetu Ndugu yetu Mtanzania Mwenzetu AMINA ALLY JUMA na Familia yake yote kwa ujumla, Leo tunarudi kwenu kwa SHUKRANI ZA DHATI kwa Moyo kwa kujitolea kwenu kwa hali na Mali na Sala zenu.
Tangu Mwezi uliopita tulikuja kwenu kwa ajili ya kuomba msaada kwa ajili ya Dada yetu AMINA anayesumbuliwa na maradhi ya Saratani ya Damu (ACUTE AMELOID LEUKEMIA) Ambaye kwa sasa yuko nchini...
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-n6WCy76NYlo/XsrRZCNIvrI/AAAAAAALrb0/BwEHMz86BIEayHjMPsKMJVSqdMTzz0bswCLcBGAsYHQ/s72-c/1-25.jpg)
PROF. KABUDI ATOA SHUKRANI KWA WATANZANIA KWA NIABA YA RAIS
![](https://1.bp.blogspot.com/-n6WCy76NYlo/XsrRZCNIvrI/AAAAAAALrb0/BwEHMz86BIEayHjMPsKMJVSqdMTzz0bswCLcBGAsYHQ/s640/1-25.jpg)
![](https://fullshangweblog.co.tz/wp-content/uploads/2020/05/2-16.jpg)
Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki Prof. Palamagamba John Kabudi (Mb) akitoa salamu za shukrani...
5 years ago
MichuziKIWANDA KURUDISHA SHUKRANI KWA RAIS MAGUFULI KWA KUGAWA CHAKI BURE ...DC JOKATE MWEGELO ATOA NENO
Mkuu wa Wilaya ya Kisarawe mkoani Pwani Jokate Mwegelo(aliyevaa nguo nyekundu),Katibu Tawala wa wilaya hiyo Tella Mwampamba(kulia) wakiwa na baadhi ya wafanyakazi na viongozi wa kiwanda cha kutengeneza chaki cha Mkongoma General Supply Ltd wakishuhudia taa zikiwaka baada ya Shirika la Umeme Tanzania(TANESCO) wilayani humo kupeleka umeme katka kiwanda hicho.
Mkurugenzi Mkuu wa Kiwanda cha Mkongoma General Supply Ltd Geoffrey Mkongoma (kulia) akifafanua jambo kwa Mkuu wa Wilaya ya Kisarawe...
11 years ago
GPL![](http://dewjiblog.com/wp-content/uploads/2014/01/DSC_00191.jpg)
MZEE ARNOLD NKHOMA ATOA SHUKRANI KWA KUTIMIZA MIAKA 100
5 years ago
MichuziSHIRIKA LA NYUMBU WAKABIDHI VICHANJA KWA TPA, JENERALI MABEYO ATOA SHUKRANI
5 years ago
MichuziTICTS YAKABIDHI VIFAA VYA THAMANI YA MILIONI 182/- KWA WIZARA YA AFYA, MGANGA MKUU WA SERIKLI ATOA SHUKRANI KWA SEKTA BINAFSI