MZEE ARNOLD NKHOMA ATOA SHUKRANI KWA KUTIMIZA MIAKA 100
![](http://dewjiblog.com/wp-content/uploads/2014/01/DSC_00191.jpg)
Birthday Boy...Mzee Arnold Nkhoma akiwasili kwenye Kanisa la Mtakatifu Andrew lililopo Magomeni jijini Dar kuhudhuria Ibada ya kutoa shukrani kwa kutimiza miaka 100 akiwa amesindikizwa na mmoja wa watoto wake wa kiume pamoja na mjukuu wake Sawiche Wamunza (kushoto). Birthday Boy Mzee Arnold Nkhoma akihudhuria Ibada pamoja na kutoa shukrani ya kutimiza miaka 100 kwenye kanisa la… ...
GPL
Habari Zinazoendana
11 years ago
GPL![](http://dewjiblog.com/wp-content/uploads/2014/03/DSC_0496.jpg)
FAMILIA YA MAREHEMU MZEE ARNOLD KAMBONAPANI NKHOMA YAENDESHA MISA MAALUM YA SHUKRANI JIJINI DAR
11 years ago
GPL![](http://dewjiblog.com/wp-content/uploads/2014/01/DSC_00293.jpg)
MZEE ARNOLD WILFRED NKHOMA AFARIKI DUNIA
11 years ago
GPL![](http://dewjiblog.com/wp-content/uploads/2014/01/DSC_0001.jpg)
MZEE ARNOLD WIFRED NKHOMA APUMZISHWA KWENYE NYUMBA YAKE YA MILELE MAKABURI YA KINONDONI JIJINI DAR
10 years ago
VijimamboRais Kikwete ampongeza Mzee Mwinyi kwa kutimiza miaka 90
Rais Mstaafu awamu ya Pili Alhaji Hassan Mwinyi akitoa salamu zake kwa wageni waalikwa wakati wa sherehe yake ya kuzaliwa ambapo jana alitimiza umri wa miaka 90.Sherehe hiyo ilifanyika katika hoteli ya Sea Cliff na kuhudhuriwa na viongozi mbalimbali wa serikali.
9 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-UCUcmFxhvhc/Vk8Wh6xtH0I/AAAAAAAIHIM/aCIdooVG_SI/s72-c/IMG-20151109-WA0004.jpg)
MDAU ATOA SHUKRANI KWA MICHANGO YA MATIBABU
![](http://1.bp.blogspot.com/-UCUcmFxhvhc/Vk8Wh6xtH0I/AAAAAAAIHIM/aCIdooVG_SI/s320/IMG-20151109-WA0004.jpg)
Natumaini wote mko salama.Kwa niaba ya Dada yetu Ndugu yetu Mtanzania Mwenzetu AMINA ALLY JUMA na Familia yake yote kwa ujumla, Leo tunarudi kwenu kwa SHUKRANI ZA DHATI kwa Moyo kwa kujitolea kwenu kwa hali na Mali na Sala zenu.
Tangu Mwezi uliopita tulikuja kwenu kwa ajili ya kuomba msaada kwa ajili ya Dada yetu AMINA anayesumbuliwa na maradhi ya Saratani ya Damu (ACUTE AMELOID LEUKEMIA) Ambaye kwa sasa yuko nchini...