Gadner alitongoza na kuwashika makalio wanawake mbele yangu — Lady Jaydee
Wiki hii Lady Jaydee amewapa nafasi mashabiki wake kumuuliza maswali naye kuyajibu kupitia akaunti yake ya Instagram. Ameulizwa maswali mengi, na miongoni mwa maswali hayo ni la kuhusu ndoa yake na mtangazaji wa Radio E-FM Gadner G. Habash. Haya ni maswali na majibu kama alivyopost Instagram. “Tunasikia umeachana na mume ni kweli au uzushi? JIBU […]
Bongo5
Habari Zinazoendana
10 years ago
Mwananchi14 Feb
Lady Jaydee afunguka, avunja ndoa na Gadner
Mwanamuziki nyota wa kike nchini, Lady Jaydee jana aliamua kuwaburudisha mashabiki wake kwa staili ya kipekee; kuzungumzia kuvunjika kwa ndoa yake na Gadner Habash
10 years ago
Bongo504 May
Exclusive: Gadner azijibu tuhuma za Lady Jaydee (Video)
Kwa mujibu wa Lady Jaydee, Gadner G Habash alikuwa ni mume aliyekuwa akimdhalilisha kwa kutongoza wanawake mbele yake. Jaydee aliyaanika hayo kwenye Instagram March 20. Hata hivyo hadi Ijumaa, Gadner alikuwa hajawahi kuzijibu tuhuma hizo. “Kwa sasa hivi kusema ukweli nimetajihidi na mara nyingi napendelea kutozungumza sana uhusiano wangu uliopita kwasababu nina hofu kwamba nitamnyima […]
10 years ago
Vijimambo![](http://img.youtube.com/vi/9ojQY4a4MGU/default.jpg)
10 years ago
Bongo515 Aug
Lady Jaydee ajibu tetesi za kuachana na Gadner kwa picha ya pete ya ndoa kidoleni
Wanasema picha huongea maneno 1,000. Baada ya kuendelea kwa uvumi kuwa ndoa ya Lady Jaydee na Gadner G Habash imevunjika, muimbaji huyo amepost picha akionesha pete ya ndoa kwenye kidole chake. Kupitia ukurasa wake wa Facebook wa Lady Jaydee ameandika ujumba tofauti na picha lakini mashabiki wake wameelewa kuwa ni ujumbe anaoutoa kufuatia tetesi hizo. […]
10 years ago
Vijimambo![](http://1.bp.blogspot.com/-o2CcB5IFu1Q/VRVDXUbJelI/AAAAAAAAqyI/h8ik8Ozx-Og/s72-c/page8%2B(1).jpg)
Nikifa mazishi yangu nataka yawe ya mwaliko maalum — Lady Jaydee
![](http://1.bp.blogspot.com/-o2CcB5IFu1Q/VRVDXUbJelI/AAAAAAAAqyI/h8ik8Ozx-Og/s640/page8%2B(1).jpg)
Lady Jaydee haogopi kufa na infact anataka mazishi yake yawe na mwaliko kama vile harusi zilivyo.
Katika muendelezo wa post zake ‘controversial’ Lady Jaydee ameweka picha za majeneza mawili ya kifahari ambayo anapenda akifa azikwe.
Hata hivyo ana masharti – mazishi yatakuwa ya mialiko maalum na hatopenda mwili wake ufunuliwe.
“I’ve changed my mind Sitaki tena lile la purple Moja kati ya hayo hapo juu #MsiMind #KilaMtuAtakufa #Msiogope Nilikuwa nafikiria pia iwe invitees only #SitakiKufunuliwa,”...
10 years ago
Bongo531 Aug
Lady Jaydee: Hata ndoa yangu ikivunjika haimaanishi mnitafutie story za kunichafua, ajibu kwa urefu habari iliyoandikwa na gazeti la udaku
Lady Jay Dee, jana (August 30) kupitia Instagram alijibu kwa ufupi habari iliyoandikwa na gazeti la Risasi yenye kichwa cha habari ‘Jide, dogo dogo gumzo mjini’, (Ingia hapa).Leo kupitia ukurasa wake wa Facebook amejibu kwa urefu zaidi juu ya habari hiyo. Hivi ndivyo alivyoandika Jide: Zamani ilikuwa haipo sehemu ya kujitetea, gazeti likishaandika ndio limeandika. […]
9 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/zcg5CJIee4*s-IrcAm*IkqNEZZHowDCVoq0VRl3M9QTP23Vel-TePwRKS2Z-RfKuhmG8opubXQgOsDCKfMXG7js0VQkMDZWo/224c285ccdf511e387450002c9d797d6_8.jpg?width=650)
MASOGANGE: SIISHI KWA MAKALIO YANGU
Video Queen wa Kibongo, Agness Gerald ‘Masogange’. Imelda mtema Kumbe! Video Queen wa Kibongo, Agness Gerald ‘Masogange’ amewabwatukia watu wanamsonga na maneno kuwa anaishi mjini kwa kuyanadi makalio yake mtandaoni. Akizungumza Ijumaa Wikienda hivi karibuni, Masogange alisema kuwa umbo lake amejaliwa na Mungu na halitumii kama vile wengi wanavyodhani kuwa anajinadi kwenye mitandao ili kuwakamata midume....
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/NnMed0rJC6aBJIQTwXqC*yPRVFg1q9PyOqyVT4WBIXVN8OUHS0tAB37fQ7KoauItL7QSrK-eE4rWkxzG0kdhBsvSA16toGSZ/MASOGANGE.jpg?width=650)
MASOGANGE: MAKALIO YANGU NDIYO KILA KITU
Stori: Imelda Mtema
VIDEO QUEEN ‘grade one’ Bongo, Agnes Jerald ‘Masogange’ amefunguka kuwa hakuna kitu anakizimikia kwenye mwili wake kama makalio. Video Queen ‘grade one’ Bongo, Agnes Jerald ‘Masogange’ asogange aliiambia Bongowood kuwa:“Hakuna sehemu ninayoipenda kama makalio, yamekaa vizuri, nayapenda, najidai kupitia sehemu hiyo niliyojaaliwa na Mwenyezi...
Top 10
Tanzania Today
Today Breaking News,Tanzania World News
13-February-2025 in Tanzania