Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Diamond, Lady Jaydee wanyakua tuzo za kimataifa

Lady Jaydee

Mwanamuziki Lady Jaydee

NA ZAINAB IDDY, DAR ES SALAAM

MSANII wa muziki wa kizazi kipya nchini anayetamba na wimbo wake wa Mdogomdogo, Nasseb Abdul ‘Diamond Platinumz’,  juzi ametwaa tuzo mbili katika tuzo za Afrika Music Magazine Award ‘AFRIMMA 2014’ kupitia kipengele cha mwanamuziki bora wa kiume Afrika Mashariki zilizofanyika Eisemann Center Richardson, Texas, Marekani.

Mkali huyo wa wimbo wa My Number One, alishinda tuzo hizo ikiwemo ya Msanii bora wa Afrika Mashariki na ile ya Wimbo bora...

Mtanzania

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

Bongo5

Diamond na Lady Jaydee washinda tuzo za AFRIMMA 2014 zilizofanyika Marekani

Kwa mara nyingine Diamond Platnumz ameendelea kuipeperusha vizuri bendera ya Tanzania kimataifa, baada ya kushinda tuzo ya AFRIMMA 2014 (African Muzik Magazine Awards) zilizofanyika July 26 Dallas, Marekani. Diamond ameshinda kipengele cha mwanamuziki bora wa kiume Afrika mashariki. Mtanzania mwingine aliyeing’arisha Tanzania katika tuzo hizo ni Lady Jaydee, ambaye nae ameshinda tuzo moja ya mwanamuziki […]

 

10 years ago

GPL

LADY JAYDEE ASHINDA YA TUZO YA WIMBO BORA WA MWAKA

Staa wa muziki wa Kizazi Kipya, Judith Wambura 'Lady Jaydee' au 'Jide. Wiki iliyopita zimetolewa tuzo za Bingwa Music Awards nchini Kenya, na Staa wa muziki wa Kizazi Kipya, Judith Wambura 'Lady Jaydee' au 'Jide ndiye msanii pekee wa Tanzania aliyeondoka na tuzo. Wimbo wa ‘Yahaya’ wa Lady Jaydee ulichaguliwa kuwa Wimbo Bora wa Afrika Mashariki.
Hii ni orodha kamili ya washindi wa tuzo hizo:
Artist of the...

 

11 years ago

Bongo5

Lady Jaydee awashukuru mashabiki baada ya kushinda tuzo ya AFRIMMA, Marekani

Lady Jaydee na Diamond July 27 walitangazwa kuwa washindi katika tuzo za AFRIMMA 2014 nchini Marekani. Diamond alishinda kipengele cha mwanamuziki bora wa kiume Afrika mashariki, huku Lady Jaydee alishinda kipengele cha mwanamuziki bora wa kike Afrika mashariki. Tuzo hizo ziliwashindanisha wanamuziki mbalimbali wakubwa wa Afrika wakiwemo Davido, Mafikizolo, Tiwa Savage, Fally Ipupa, Flavour na […]

 

11 years ago

Tanzania Daima

Lady Jaydee, Diamond nani kuvunja rekodi ya 20% KTMA?

KINYANG’ANYIRO cha Tuzo za Muziki za Kilimanjaro (KTMA 2014), kinaelekea katika hatua ya upigiwaji kura wateule ‘Nominees’, mchakato unaotarajiwa kuanza Aprili Mosi na kuhitimishwa Aprili 30, tayari kwa usiku wa...

 

10 years ago

Bongo5

Lady Jaydee ashinda ya tuzo ya Wimbo Bora wa Mwaka Afrika Mashariki, ‘Yahaya’ kwenye Bingwa Music Awards -Kenya

Wiki iliyopita zimetolewa tuzo za Bingwa Music Awards nchini Kenya, na Lady Jaydee ndiye msanii pekee wa Tanzania aliyeondoka na tuzo. Wimbo wa ‘Yahaya’ wa Lady Jaydee ulichaguliwa kuwa Wimbo Bora wa Afrika Mashariki. Hii ni orodha kamili ya washindi wa tuzo hizo: Artist of the Year – Kenrazy Showbiz Personality of the Year – […]

 

10 years ago

Bongo Movies

Wema Sepetu, Ray , Hemedy PHD Wanyakua Tuzo Za ‘Tuzo Za Watu2015’

Mastaa wa Bongo Movies, Wema Sepetu, Vicent Kugosi ‘Ray’ na Hemmedy PHD wameshinda tuzo za TUZO ZA WATU za mwaka huu zilizofanyika usiku wa jana.

Wema sepetu ameshinda tuzo ya muigizaji wa kike anayependwa  wakati Ray ameshinda tuzo ya muongozaji  wa filamu anayependwa huku Hemmed PHD ameibuka mshindi wa wa tuzo ya muigizaji wakiume anayependwa na filamu ya Kigodoro imeibuka kuwa ni filamu inayopendwa.

Hongereni sana washindi wote.

 

10 years ago

Bongo5

Diamond, Alikiba, Vanessa, Jaydee, Ommy Dimpoz, Mpoto watajwa kuwania tuzo za AFRIMMA

Majina ya wasanii watakaowania tuzo za African Muzik Magazine Awards AFRIMMA yametolewa jioni ya Jumatatu. Tuzo hizo zitatolewa October 10 wakati wa Black Academy of Arts and Letters, Dallas nchini Marekani. Diamond ndiye aliyeongoza kwa kutajwa kwenye vipengele vingi zaidi ambavyo ni takriban saba. Hii ndio orodha kamili: 1. Best Male West Africa Davido (Nigeria) […]

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani