LADY JAYDEE ASHINDA YA TUZO YA WIMBO BORA WA MWAKA
![](http://api.ning.com:80/files/N9SP9Z4W-DclNr69IFO*rIKF984nNAfd-NGx6fXT6Ii3Mg*zSCrB54ejK8lJUa8s1EWKsz-DTMMRNGfgIJypI-f7Ewb-UOUH/JAYDEE620x360.jpg)
Staa wa muziki wa Kizazi Kipya, Judith Wambura 'Lady Jaydee' au 'Jide. Wiki iliyopita zimetolewa tuzo za Bingwa Music Awards nchini Kenya, na Staa wa muziki wa Kizazi Kipya, Judith Wambura 'Lady Jaydee' au 'Jide ndiye msanii pekee wa Tanzania aliyeondoka na tuzo. Wimbo wa ‘Yahaya’ wa Lady Jaydee ulichaguliwa kuwa Wimbo Bora wa Afrika Mashariki. Hii ni orodha kamili ya washindi wa tuzo hizo: Artist of the...
GPL
Habari Zinazoendana
10 years ago
Bongo514 Jan
Lady Jaydee ashinda ya tuzo ya Wimbo Bora wa Mwaka Afrika Mashariki, ‘Yahaya’ kwenye Bingwa Music Awards -Kenya
9 years ago
Bongo506 Jan
Rooney ashinda tuzo ya mchezaji Bora wa Mwaka 2015 Uingereza
![150614192933_wayne_rooney__640x360_reuters](http://www.bongo5.com/wp-content/uploads/2016/01/150614192933_wayne_rooney__640x360_reuters-300x194.jpg)
Mchezaji wa Manchester Wayne Rooney ametwaa Tuzo ya Mchezaji Bora wa Mwaka kwa 2015 nchini Uingereza akitetea tena tuzo ambayo pia aliizoa mwaka 2014.
Hii ni mara ya 4 Rooney kushinda tuzo hii ambayo hupigiwa kura na wanachama wa Chama cha Mashabiki wa Soka England.
Mwezi Desemba Shirikisho la Soka la England liliyaweka hadharani majina ya wagombea wa Tuzo ya Mchezaji Bora wa Mwaka nchini humo.
Mwaka wa 2015 Rooney alii isaidia England kufuzu kuingia fainali za Mataifa ya Ulaya, Euro 2016,...
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/jNrZ7iSqItZO31rwxMJHwLx0UqwIS6yXpp-EDvFV3r6M43SEsO94JM2bLhyrip-V2sUNzoyRLk-K7GpQnXEXC2ZNEKPFFv8W/bbc.jpg?width=650)
BRAHIMI ASHINDA TUZO YA BBC YA MCHEZAJI BORA WA MWAKA 2014 AFRIKA
11 years ago
GPL13 Apr
10 years ago
Bongo517 Nov
Lady Jaydee kuzindua wimbo na video ya ‘Forever’ Nov 28
10 years ago
Vijimambo10 Apr
WIMBO MPYA WA LADY JAYDEE FT MAZET & UHURU "GIVE ME LOVE"
![IMG-20150410-WA0026](http://dewjiblog.com/wp-content/uploads/2015/04/IMG-20150410-WA0026.jpg)
11 years ago
Mtanzania28 Jul
Diamond, Lady Jaydee wanyakua tuzo za kimataifa
![Lady Jaydee](http://mtanzania.co.tz/wp-content/uploads/2014/07/Lad-Jaydee.jpg)
Mwanamuziki Lady Jaydee
NA ZAINAB IDDY, DAR ES SALAAM
MSANII wa muziki wa kizazi kipya nchini anayetamba na wimbo wake wa Mdogomdogo, Nasseb Abdul ‘Diamond Platinumz’, juzi ametwaa tuzo mbili katika tuzo za Afrika Music Magazine Award ‘AFRIMMA 2014’ kupitia kipengele cha mwanamuziki bora wa kiume Afrika Mashariki zilizofanyika Eisemann Center Richardson, Texas, Marekani.
Mkali huyo wa wimbo wa My Number One, alishinda tuzo hizo ikiwemo ya Msanii bora wa Afrika Mashariki na ile ya Wimbo bora...
11 years ago
Bongo530 Jul
Lady Jaydee awashukuru mashabiki baada ya kushinda tuzo ya AFRIMMA, Marekani
11 years ago
Bongo527 Jul
Diamond na Lady Jaydee washinda tuzo za AFRIMMA 2014 zilizofanyika Marekani