Lady Jaydee, Diamond nani kuvunja rekodi ya 20% KTMA?
KINYANG’ANYIRO cha Tuzo za Muziki za Kilimanjaro (KTMA 2014), kinaelekea katika hatua ya upigiwaji kura wateule ‘Nominees’, mchakato unaotarajiwa kuanza Aprili Mosi na kuhitimishwa Aprili 30, tayari kwa usiku wa...
Tanzania daima
Habari Zinazoendana
9 years ago
Mtanzania19 Aug
Fid Q atamani kuvunja rekodi ya mtoto wa Diamond
NA VICTORIA PATRIC (TSJ)
MSANII wa hip hop, Farid Kubanda (Fid Q), ametamani kuwa na wafuatiliaji wengi katika akaunti yake mpya kama atashindwa kuirudisha akaunti yake ya sasa iliyozuiwa na maharamia wa mtandao.
Akaunti ya msanii huyo kwa sasa inasomeka kwa jina la mrembo wa Tanzania 2007, Wema Sepetu, jambo ambalo linachanganya watu wengi.
“Hawa jamaa wanakatisha tamaa maana mimi nilikuwa natumia mtandao wangu kwa kujitangaza, kutangaza kazi zangu mpya na pia kuwasiliana na wadau wangu...
11 years ago
Mtanzania28 Jul
Diamond, Lady Jaydee wanyakua tuzo za kimataifa
![Lady Jaydee](http://mtanzania.co.tz/wp-content/uploads/2014/07/Lad-Jaydee.jpg)
Mwanamuziki Lady Jaydee
NA ZAINAB IDDY, DAR ES SALAAM
MSANII wa muziki wa kizazi kipya nchini anayetamba na wimbo wake wa Mdogomdogo, Nasseb Abdul ‘Diamond Platinumz’, juzi ametwaa tuzo mbili katika tuzo za Afrika Music Magazine Award ‘AFRIMMA 2014’ kupitia kipengele cha mwanamuziki bora wa kiume Afrika Mashariki zilizofanyika Eisemann Center Richardson, Texas, Marekani.
Mkali huyo wa wimbo wa My Number One, alishinda tuzo hizo ikiwemo ya Msanii bora wa Afrika Mashariki na ile ya Wimbo bora...
11 years ago
Bongo527 Jul
Diamond na Lady Jaydee washinda tuzo za AFRIMMA 2014 zilizofanyika Marekani
10 years ago
Vijimambo![](http://img.youtube.com/vi/9ojQY4a4MGU/default.jpg)
9 years ago
Habarileo18 Sep
Mtanzania apania kuvunja rekodi
MTANZANIA Julio Ludago amesema anatarajia kupanda mlima Kilimanjaro Septemba 27, mwaka huu na kuvunja rekodi ya dunia iliyowekwa na raia wa Uswisi, Karl Egloff mwaka jana kwa kupanda kwa haraka.
10 years ago
VijimamboLady Jaydee - Forever (New Single)
Instagram: @jidejaydee @dabomtanzania
Twitter: @jidejaydee @dabomtanzania
9 years ago
Michuzi01 Dec
Lady JayDee Ndani ya London
![Bango la shoo ya 5 Desemba 2015](https://kitoto.files.wordpress.com/2015/12/bango-la-shoo-ya-5-desemba-2015.jpg)
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/bdOTGlbNKtoru51-3*wTKvOI2nMYKOVO5H16wt3uo5SNkCtApx68EEDmzfoR1r77YrlM5Rc8J04-VTl390qLAvmIoojRRtog/JIDE.jpg)
NDINGA MPYA YA LADY JAYDEE
10 years ago
Mtanzania15 May
Mwasiti: Lady Jaydee ananivutia
NA RHOBI CHACHA
MWASITI Almas kama anavyofahamika katika muziki wa Bongo Fleva, ameibuka na kudai kwamba anavutiwa zaidi na msanii mwenzake, Judith Wambura ‘Lady Jaydee’.
Msanii huyo mwenye sauti nzuri katika nyimbo zake, alisema yeye ni msanii anayevutiwa na wasanii wanaojitambua na wanaofanya vema katika kazi zao za muziki, kama afanyavyo Jaydee ‘Binti Machozi’.
“Yaani mimi huwa sina choyo ya kusifia kama msanii mwenzangu anafanya vema namsifia, sijali nani atasema nini, napenda kazi za...
Magazeti ya Leo
-
1
-
2
-
3
-
4
-
5
-
6
-
7
-
8
-
9
-
10