MTEJA: KISA NILIMKOPA CHIPSI, AKANILIPUA KWA MAFUTA YA MOTO!
![](http://api.ning.com:80/files/6xzDXLZEGuv-QblZ68pYsC*8K-xIG*m1UdoEtmsodbHbPj1WQnu*vPva5tRekA25K-wPlQJLZ3wkyxXSAba7GhbREU6W9s3W/Daudi.gif?width=650)
Shani Ramadhani na Haruni Sanchawa Nusu kifo! Kijana aliyefahamika kwa jina la Hanafi Daudi (31), mkazi wa Salasala Kilimahewa jijini Dar, yupo katika hali tete kufuatia kumwagiwa mafuta ya moto yaliyokuwa yanakaangia chipsi.Hanafi ambaye amelazwa katika Hospitali ya Taifa Muhimbili Wodi ya Sewa Haji amesema aliyemchoma moto ni muuza chipsi ambaye alikwenda kumkopa chipsi. Hanafi Daudi akiwa na majeraha usoni baada ya kuchomwa...
GPL
Habari Zinazoendana
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/pXWI1kxUZH5doByiFTOS2rGNBHOSzWa9KBY2k**9nV-fmSS*Intj8*BEm4xL0hfPvnwpAVGp9SMdR9-4bfSBzHe2dYNZkSQ0/mume.jpg)
AMWAGIWA MAFUTA YA MOTO USONI, KISA MUME WA MTU!
11 years ago
BBCSwahili19 Jun
India, mteja mkubwa wa mafuta ya Nigeria
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/ZlBJL*XyKT2OP20hOaGxue-1eY3gcjHc0d7G1R-6wr2ltjkdei4SFafVVivKv9g5xobzc4jJh*dRziidbkyGdDe0377IC5ik/breakingnews.gif)
WAPOTEZA MAISHA KWA KUTEKETEA KWA MOTO WAKIIBA MAFUTA
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/n9CkP9pTfMMn3l1oEu6XEvr*f4DmzSSTvHxeRt9bjpiVTKayCW7hnYKS1fqRPS33Lb-TBy6DqN*1VIVjUcIadwYSZRMBa5im/6.jpg?width=650)
LORI LA MAFUTA LAANGUKA, LATEKETEA KWA MOTO DAR
11 years ago
GPL10 years ago
Vijimambo![](http://3.bp.blogspot.com/-WhV0YN4Dquo/VDzFrAlZ-RI/AAAAAAAGqaA/1locxe5rtdk/s72-c/IMG-20141014-WA0002.jpg)
LORI LA MAFUTA LATEKETEA KWA MOTO MBAGALA JIJINI DAR USIKU WA KUAMKIA LEO
![](http://3.bp.blogspot.com/-WhV0YN4Dquo/VDzFrAlZ-RI/AAAAAAAGqaA/1locxe5rtdk/s1600/IMG-20141014-WA0002.jpg)
Lori hilo pamoja na kupiga kwake mweleka halikuwa na madhara yeyote wala dalili ya kusema litawaka moto.Baada ya muda likaja kundi la vijana likiwa na madumu na mifuko ya plastiki na kuanza...
11 years ago
Dewji Blog11 Aug
Binti wa kazi ajeruhiwa vibaya kwa kumwagiwa uji wa moto na mke wa bosi wake, kisa wivu wa kimapenzi
Msichana Jackline Lasway akiwa amelazwa katika wodi ya kina mama namba mbili katika hospitali ya Mkoa wa Singida baada ya kujeruhiwa kwa kumwagiwa uji wa moto wakati akiwa dukani kwa bosi wake eneo la soko kuu Manispaa ya Singida.
Na Mwandishi Wetu , Singida.
Msichana mmoja mkazi wa eneo la Minga Manispaa ya Singida amenusurika kifo baada ya kumwagiwa uji wa moto na mke wa tajiri wake wa dukani kutokana na kile kinachosadikiwa kuwa ni wivu wa kimapenzi.
Msichana huyo Jackline Lasway...
10 years ago
Mwananchi29 Aug
VYAKULA NA MAGONJWA: Hadhari kwa watumiaji wa samaki, chipsi
9 years ago
Global Publishers29 Dec
Baba awachoma moto wanaye, kisa samaki
Ester Lucas akiwa na majeraha ya moto mkononi.
NA VICTOR BARIETY, Uwazi
GEITA: Baba mzazi wa watoto wawili, Lucas Petro mwenye umri wa miaka 29, anatafutwa na polisi kwa kosa la kuwachoma moto watoto wake, Denis (5) na Ester Lucas, 3, (pichani) baada ya kuwatuhumu kuiba mboga aina ya samaki kwa jirani yao, tukio lililotokea katika Kijiji cha Msasa, Kata ya Busanda wilayani Geita, mwishoni mwa mwezi Novemba, mwaka huu.
Wakizungumza katika ofisi za mtendaji wa kata kijijini hapo, watoto hao...