India, mteja mkubwa wa mafuta ya Nigeria
Serikali ya Nigeria inasema kuwa India imekuwa nchi inayonunua mafuta ghafi kwa wingi kutoka kwake kuliko Marekani
BBCSwahili
Habari Zinazoendana
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/6xzDXLZEGuv-QblZ68pYsC*8K-xIG*m1UdoEtmsodbHbPj1WQnu*vPva5tRekA25K-wPlQJLZ3wkyxXSAba7GhbREU6W9s3W/Daudi.gif?width=650)
MTEJA: KISA NILIMKOPA CHIPSI, AKANILIPUA KWA MAFUTA YA MOTO!
Shani Ramadhani na Haruni Sanchawa
Nusu kifo! Kijana aliyefahamika kwa jina la Hanafi Daudi (31), mkazi wa Salasala Kilimahewa jijini Dar, yupo katika hali tete kufuatia kumwagiwa mafuta ya moto yaliyokuwa yanakaangia chipsi.Hanafi ambaye amelazwa katika Hospitali ya Taifa Muhimbili Wodi ya Sewa Haji amesema aliyemchoma moto ni muuza chipsi ambaye alikwenda kumkopa chipsi. Hanafi Daudi akiwa na majeraha usoni baada ya kuchomwa...
11 years ago
BBCSwahili07 Apr
Uchaguzi mkubwa zaidi waanza India
Wapiga kura milioni 814 nchini India wameanza kuwachagua wawakilishi 543 katika kipindi cha mwezi mzima.
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/zMJxnqMJKq0N439G9Jp-hRSixV9jKRjex9HJINT6flXFDXrh1QpmSNaTIxXOo0BrzOpGfQytgbkTMdhyA9Wl7q3-5jCUy*io/mguu.jpg)
MUNGU MKUBWA APATA FEDHA KWENDA KUTIBIWA INDIA
Stori: Igenga Mtatiro, TARIME
MUNGU mkubwa! Ndiyo neno linaloweza kusemwa kwa mrembo Zuhura Juma (27), mkazi wa Temeke jijini Dar anayesumbuliwa na uvimbe mguuni hatimaye Mungu amesikia maombi yake baada ya kupata msaada wa shilingi milioni 15 kutoka kwa Watanzania ambao waliochanga fedha hizo kwa ajili ya kwenda kutibiwa nchini India. Mrembo Zuhura Juma (27), mkazi wa Temeke jijini Dar anayesumbuliwa na uvimbe mguuni. ...
11 years ago
BBCSwahili02 May
Mlipuko mkubwa watokea Nigeria
Mlipuko umetokea katika mji mkuu wa Nigeria, Abuja karibu na eneo ambako kulitokea shambulizi baya la bomu mwezi uliopita.
9 years ago
BBCSwahili02 Sep
Nigeria kudhibiti wizi wa Mafuta
Nigeria ina mpango wa kutumia ndege ndogo zisizokuwa na rubani kudhibiti wizi wa mafuta unaofanywa na baadhi ya Meli.
9 years ago
BBCSwahili18 Nov
Nigeria yakumbwa na mzozo wa mafuta
Misururu mirefu imeonekana kwenye vituo vya uuzaji mafuta nchini Nigeria,kutokana na sababu ya kuwepo mgawanyiko baina ya serikali na waagizaji.
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/-7-17Ut3vwp*e-E2og6MNjcG1-dkfdefAwQlSXgG-QHdzs6I-0JMtEv4gPOUnJ4BorqaARGw0IPpmd-fofC5J0EQCJdZDLAn/LOLI.jpg?width=650)
LORI LA MAFUTA LAUA 70 NIGERIA
Lori lililopata ajali, hapa jitihada ya kuzima moto huo zikiendelea. Takribani watu 70 wamefariki dunia huko mashariki mwa Nigeria baada ya lori la kubeba mafuta kushika moto na kuteketea vibaya. Police wanasema huenda kilichosababisha moto huo ni ajali. Walioshuhudia wanasema dereva wa gari hilo alishindwa kulidhibiti ndipo likakosa mwelekeo na kutoka barabarani na kuwagonga watu waliokuwa wakisubiri usafiri katika kituo kimoja...
10 years ago
BBCSwahili01 Jun
Lori la mafuta lawaua watu 70 Nigeria
Karibu watu 70 wamefariki huko mashariki mwa Nigeria baada ya lori la kubeba mafuta kushika moto.
9 years ago
BBCSwahili30 Sep
Rais wa Nigeria kuwa waziri wa mafuta
Rais mpya wa Nigeria Jenerali Muhammadu Buhari atahudumu pia kama waziri wa mafuta.
Top 10
Tanzania Today
Today Breaking News,Tanzania World News
13-February-2025 in Tanzania