Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


India, mteja mkubwa wa mafuta ya Nigeria

Serikali ya Nigeria inasema kuwa India imekuwa nchi inayonunua mafuta ghafi kwa wingi kutoka kwake kuliko Marekani

BBCSwahili

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

GPL

MTEJA: KISA NILIMKOPA CHIPSI, AKANILIPUA KWA MAFUTA YA MOTO!

Shani Ramadhani na Haruni Sanchawa
Nusu kifo! Kijana aliyefahamika kwa jina la Hanafi Daudi (31), mkazi wa Salasala Kilimahewa jijini Dar, yupo katika hali tete kufuatia kumwagiwa mafuta ya moto yaliyokuwa yanakaangia chipsi.Hanafi ambaye amelazwa katika Hospitali ya Taifa Muhimbili Wodi ya Sewa Haji amesema aliyemchoma moto ni muuza chipsi ambaye alikwenda kumkopa chipsi. Hanafi Daudi akiwa na majeraha usoni baada ya kuchomwa...

 

11 years ago

BBCSwahili

Uchaguzi mkubwa zaidi waanza India

Wapiga kura milioni 814 nchini India wameanza kuwachagua wawakilishi 543 katika kipindi cha mwezi mzima.

 

10 years ago

GPL

MUNGU MKUBWA APATA FEDHA KWENDA KUTIBIWA INDIA

Stori: Igenga Mtatiro, TARIME
MUNGU mkubwa! Ndiyo neno linaloweza kusemwa kwa  mrembo Zuhura Juma (27), mkazi wa Temeke jijini Dar anayesumbuliwa na uvimbe mguuni hatimaye Mungu amesikia maombi yake baada ya kupata msaada wa shilingi milioni 15 kutoka kwa Watanzania ambao waliochanga fedha hizo kwa ajili ya kwenda kutibiwa nchini India. Mrembo Zuhura Juma (27), mkazi wa Temeke jijini Dar anayesumbuliwa na uvimbe mguuni. ...

 

11 years ago

BBCSwahili

Mlipuko mkubwa watokea Nigeria

Mlipuko umetokea katika mji mkuu wa Nigeria, Abuja karibu na eneo ambako kulitokea shambulizi baya la bomu mwezi uliopita.

 

9 years ago

BBCSwahili

Nigeria kudhibiti wizi wa Mafuta

Nigeria ina mpango wa kutumia ndege ndogo zisizokuwa na rubani kudhibiti wizi wa mafuta unaofanywa na baadhi ya Meli.

 

9 years ago

BBCSwahili

Nigeria yakumbwa na mzozo wa mafuta

Misururu mirefu imeonekana kwenye vituo vya uuzaji mafuta nchini Nigeria,kutokana na sababu ya kuwepo mgawanyiko baina ya serikali na waagizaji.

 

10 years ago

GPL

LORI LA MAFUTA LAUA 70 NIGERIA

Lori lililopata ajali, hapa jitihada ya kuzima moto huo zikiendelea. Takribani watu 70 wamefariki dunia huko mashariki mwa Nigeria baada ya lori la kubeba mafuta kushika moto na kuteketea vibaya. Police wanasema huenda kilichosababisha moto huo ni ajali. Walioshuhudia wanasema dereva wa gari hilo alishindwa kulidhibiti ndipo likakosa mwelekeo na kutoka barabarani na kuwagonga watu waliokuwa wakisubiri usafiri katika kituo kimoja...

 

10 years ago

BBCSwahili

Lori la mafuta lawaua watu 70 Nigeria

Karibu watu 70 wamefariki huko mashariki mwa Nigeria baada ya lori la kubeba mafuta kushika moto.

 

9 years ago

BBCSwahili

Rais wa Nigeria kuwa waziri wa mafuta

Rais mpya wa Nigeria Jenerali Muhammadu Buhari atahudumu pia kama waziri wa mafuta.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani