Nigeria yakumbwa na mzozo wa mafuta
Misururu mirefu imeonekana kwenye vituo vya uuzaji mafuta nchini Nigeria,kutokana na sababu ya kuwepo mgawanyiko baina ya serikali na waagizaji.
BBCSwahili
Habari Zinazoendana
10 years ago
BBCSwahili01 Jun
Benki kuu Nigeria yakumbwa na ufisadi
Maafisa kadhaa kutoka benki kuu ya nchi hiyo wamepelekwa mahakamani kwa tuhuma za ufisadi wa kiasi kikubwa cha fedha za thamani ya mamilioni ya dola.
10 years ago
BBCSwahili17 Jul
Ibada ya Eid yakumbwa na milipuko Nigeria
Jeshi nchini Nigeria linasema kuwa takriban watu 9 wameuawa kwenye mashambulizi mawili ya kujitoa mhanga kwenye mji ulio kaskazini mashariki mwa nchi wa Damaturu.
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/-7-17Ut3vwp*e-E2og6MNjcG1-dkfdefAwQlSXgG-QHdzs6I-0JMtEv4gPOUnJ4BorqaARGw0IPpmd-fofC5J0EQCJdZDLAn/LOLI.jpg?width=650)
LORI LA MAFUTA LAUA 70 NIGERIA
Lori lililopata ajali, hapa jitihada ya kuzima moto huo zikiendelea. Takribani watu 70 wamefariki dunia huko mashariki mwa Nigeria baada ya lori la kubeba mafuta kushika moto na kuteketea vibaya. Police wanasema huenda kilichosababisha moto huo ni ajali. Walioshuhudia wanasema dereva wa gari hilo alishindwa kulidhibiti ndipo likakosa mwelekeo na kutoka barabarani na kuwagonga watu waliokuwa wakisubiri usafiri katika kituo kimoja...
9 years ago
BBCSwahili02 Sep
Nigeria kudhibiti wizi wa Mafuta
Nigeria ina mpango wa kutumia ndege ndogo zisizokuwa na rubani kudhibiti wizi wa mafuta unaofanywa na baadhi ya Meli.
9 years ago
BBCSwahili30 Sep
Rais wa Nigeria kuwa waziri wa mafuta
Rais mpya wa Nigeria Jenerali Muhammadu Buhari atahudumu pia kama waziri wa mafuta.
11 years ago
BBCSwahili19 Jun
India, mteja mkubwa wa mafuta ya Nigeria
Serikali ya Nigeria inasema kuwa India imekuwa nchi inayonunua mafuta ghafi kwa wingi kutoka kwake kuliko Marekani
10 years ago
BBCSwahili01 Jun
Lori la mafuta lawaua watu 70 Nigeria
Karibu watu 70 wamefariki huko mashariki mwa Nigeria baada ya lori la kubeba mafuta kushika moto.
11 years ago
BBCSwahili02 Aug
Mkuu wa mafuta Nigeria afukuzwa kazi
Rais wa Nigeria amfukuza kazi mkuu wa shirika la mafuta la taifa pamoja na manaibu wake watatu
9 years ago
BBCSwahili02 Sep
Mbinu mpya ya kuzuia wizi wa mafuta-Nigeria
Shirika la mafuta la Nigeria litatumia ndege zisizo na rubani kufuatilia safari za meli katika juhudi za kuzuia wizi wa mafuta
Top 10
Tanzania Today
Today Breaking News,Tanzania World News
13-February-2025 in Tanzania