Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Benki kuu Nigeria yakumbwa na ufisadi

Maafisa kadhaa kutoka benki kuu ya nchi hiyo wamepelekwa mahakamani kwa tuhuma za ufisadi wa kiasi kikubwa cha fedha za thamani ya mamilioni ya dola.

BBCSwahili

Read more


Habari Zinazoendana

9 years ago

BBCSwahili

Nigeria yakumbwa na mzozo wa mafuta

Misururu mirefu imeonekana kwenye vituo vya uuzaji mafuta nchini Nigeria,kutokana na sababu ya kuwepo mgawanyiko baina ya serikali na waagizaji.

 

10 years ago

BBCSwahili

Ibada ya Eid yakumbwa na milipuko Nigeria

Jeshi nchini Nigeria linasema kuwa takriban watu 9 wameuawa kwenye mashambulizi mawili ya kujitoa mhanga kwenye mji ulio kaskazini mashariki mwa nchi wa Damaturu.

 

9 years ago

Michuzi

MFUMO WA KIMTANDAO UNAOWEZESHA KUPOKEA NA KUHAMISHA MIAMALA YA KIFEDHA KUTOKA BENKI MOJA KWENDA NYINGINE UNAORATIBIWA NA BENKI KUU YA TANZANIA (BOT)

 MFUMO WA KIMTANDAO UNAOWEZESHA KUPOKEA NA KUHAMISHA MIAMALA YA KIFEDHA KUTOKA BENKI MOJA KWENDA NYINGINE UNAORATIBIWA NA BENKI KUU YA TANZANIA (BOT)  YAANI ‘TANZANIA INTER-BANK SETTLEMENT SYSTEM’ (TISS) WAONGEZA UFANISI KATIKA BANDARI YA DAR ES SALAAM Kaimu Meneja wa Bandari ya Dar es Salaam, Bw. Hebel Mhanga, akibadilishana mawazo na Kaimu Katibu Mkuu wa Wizara ya Uchukuzi, Bw. Gabriel Migire, leo asubuhi kabla Kaimu Katibu Mkuu hajaongea na waandishi wa habari pamoja na wadau kuhusu...

 

9 years ago

Michuzi

MWENYEKITI WA CCM JAKAYA MRISHO KIKWETE AONGOZA KIKAO CHA KAMATI KUU YA HALMASHAURI KUU YA TAIFA CCM, AKUTANA NA MWAKILISHI WA BENKI YA DUNIA

 Mwenyekiti wa CCM na Rais Mstaafu Dkt Jakaya Mrisho Kikwete akiongozana na Rais Dkt John Pombe Joseph Magufuli, Waziri Mkuu Mhe Majaliwa Kassim Majaliwa, Makamu wa Rais Mhe Samia Suluhu Hassan, Makamu Mwenyekiti wa CCM (Bara) Mhe Philip Mangula na Katibu Mkuu wa CCM Ndg. Abdulrahmana Kinana kabla ya kuanza kwa Kikao cha Kamati Kuu ya Halmashauri Kuu ya CCM Taifa jijini Dar es salaam leo Desemba 7, 2015.  Mwenyekiti wa CCM na Rais Mstaafu Dkt Jakaya Mrisho Kikwete akiongoza Kikao cha Kamati...

 

9 years ago

BBCSwahili

Nigeria yapambana na ufisadi serikalini

Serikali yataka kila Wizara kuwa na Akaunti moja kupambana na udanganyifu

 

10 years ago

BBCSwahili

Benki kuu ya Uingereza yachunguzwa

Benki kuu ya Uingereza inachunguzwa kuhusiana na vile ilivyotoa fedha za dharura katika mfumo wa benki wa taifa hilo

 

10 years ago

BBCSwahili

Gavana wa Benki kuu ya Kenya ''Hajaoa''

Wabunge nchini Kenya wazua kihoja baada ya Gavana mteule wa benki kuu ya Kenya kukiri kuwa hajao licha ya kuwa na umri wa miaka 54

 

9 years ago

Mwananchi

Benki Kuu na maendeleo ya uchumi wa nchi

Mtikisiko wa uchumi duniani wa mwaka 2008 umetoa changamoto nzito kuhusu majukumu ya benki kuu katika kusimamia uchumi.

 

11 years ago

Michuzi

TAARIFA KUTOKA BENKI KUU YA TANZANIA

Benki Kuu ya Tanzania inapenda kukanusha habari zinazosambazwa kwenye mitandao kuwa kesho Jumatatu Benki ya FBME itafungwa na shughuli zote za benki hiyo zitakuwa chini ya Benki Kuu.
Habari hizi si za kweli na kwamba benki hiyo haipo chini ya usimamizi wa Benki Kuu na itaendelea kutoa huduma kama kawaida.
IMETOLEWA NA IDARA YA UHUSIANO NA ITIFAKI, BENKI KUU YA TANZANIA.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani