Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Nigeria yapambana na ufisadi serikalini

Serikali yataka kila Wizara kuwa na Akaunti moja kupambana na udanganyifu

BBCSwahili

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

BBCSwahili

Benki kuu Nigeria yakumbwa na ufisadi

Maafisa kadhaa kutoka benki kuu ya nchi hiyo wamepelekwa mahakamani kwa tuhuma za ufisadi wa kiasi kikubwa cha fedha za thamani ya mamilioni ya dola.

 

11 years ago

BBCSwahili

TZ yapambana na Homa ya

Tanzania imesema inapambana na mlipuko wa homa ya Dengue iliyozuka mapema mwaka huu.

 

9 years ago

BBCSwahili

Misri yapambana kurudisha watalii

Rais wa Misri Abdel Fattah al-Sisi amewahakikishia watalii wa Uingereza na Urusi kwamba nchi yake ni sehemu salama ya kutembelea.

 

10 years ago

BBCSwahili

Majeshi ya DRC yapambana na waasi

Vikosi vya Jeshi la jamhuri ya kidemokrasia ya kongo vinaudhibiti mji wa Abya ulioko kaskazini mashariki mwa mji wa Beni .

 

10 years ago

StarTV

Serikali yapambana na waingizaji sukari kinyemela.

Na Josephine Mwaiswaga,

Dar es salaam.

 

Waziri wa kilimo na Chakula Stephan Wassira amesema Serikali inafanya jitihada za kukabiliana na tatizo la uingizwaji wa sukari kwa njia zisizo rasmi ambazo zinapelekea kwa kiasi kikubwa kuathiri uwekezaji katika sekta ya kilimo cha muwa na viwanda vya sukari hapa nchini.

 

Aidha, Wassira amesema serikali inatambua na kuthamini uwekezaji na mapato makubwa yanayopatikana kupitia uwekezaji katika kilimo cha muwa hivyo kuna kila sababu ya kubaliana na...

 

10 years ago

Vijimambo

Ufisadi, ufisadi, ufisadi TRL

Sasa yagundulika aliyeleta mabehewa feki alikuwa na bei ya juu kuliko wote, Aliruhusiwa na kufanyia marekebisho zabuni yake kinyemelaMadudu zaidi yameendelea kuibuka katika sakata la mabehewa feki 274 yaliyonunuliwa na Kampuni ya Reli Tanzania (TRL), na sasa imebainika kuwa kampuni iliyopewa zabuni ya kuleta mabehewa hayo ndiyo iliyokuwa ya bei ya juu zaidi kuliko kampuni 10 zilizokuwa zimeomba na haikuweka dhamana yoyote kama sheria ya manunuzi inavyotaka.

Aidha, imebainika pia kuwa ya...

 

11 years ago

BBCSwahili

Mjadala wa Utendakazi Serikalini

Mada: Je, serikali inawahudumia wananchi ipasavyo?

 

9 years ago

Habarileo

Mishahara serikalini kuwiana

WAZIRI wa Nchi, Ofisi ya Rais, Menejimenti ya Utumishi wa Umma na Utawala Bora, Angella Kairuki ameitaka Idara ya Uchambuzi na Ushauri wa Kazi – Utumishi, kuwianisha mishahara ya watumishi wa wakala za Serikali, ili kusiwe na tofauti kubwa kati ya watumishi wa juu na wa chini.

 

9 years ago

BBCSwahili

Wanasiasa 7 wafurushwa serikalini DRC

Wanasiasa saba waandamizi wamefurushwa kutoka kwa serikali ya muungano katika Jamhuri ya kidemokrasia ya Congo baada ya kumuandikia rais wakimtaka kutokwamilia madaraka, kulingana na maafisa.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani