Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Mjadala wa Utendakazi Serikalini

Mada: Je, serikali inawahudumia wananchi ipasavyo?

BBCSwahili

Read more


Habari Zinazoendana

5 years ago

BBCSwahili

Virusi vya corona: Utendakazi wa viongozi wapya Sudan wafichuliwa

Baadhi ya wahudumu wa afya wamekataa kufanya kazi na wazee wamekuwa wakifarika,anasema mwandishi Zeinab Mohammed Salih.

 

9 years ago

Habarileo

Mishahara serikalini kuwiana

WAZIRI wa Nchi, Ofisi ya Rais, Menejimenti ya Utumishi wa Umma na Utawala Bora, Angella Kairuki ameitaka Idara ya Uchambuzi na Ushauri wa Kazi – Utumishi, kuwianisha mishahara ya watumishi wa wakala za Serikali, ili kusiwe na tofauti kubwa kati ya watumishi wa juu na wa chini.

 

11 years ago

Tanzania Daima

BAVICHA wataka uwajibikaji serikalini

BARAZA la Vijana wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo CHADEMA (BAVICHA) limeitaka serikali kuwajibika kwa misingi ya uzalendo dhidi ya wawekezaji nchini kwa kuwa ndio chanzo cha kuwa na wawekezaji...

 

11 years ago

Tanzania Daima

Woiso waomba ushirikiano serikalini

SERIKALI imetakiwa kutoa ushirikiano katika mashirika yasiyo ya kiserikali yanayojishughulisha na utoaji wa elimu ya magonjwa ya ngono, utoaji mimba na mahusiano shuleni ili kupunguza matatizo hayo katika jamii. Wito...

 

9 years ago

BBCSwahili

Wanasiasa 7 wafurushwa serikalini DRC

Wanasiasa saba waandamizi wamefurushwa kutoka kwa serikali ya muungano katika Jamhuri ya kidemokrasia ya Congo baada ya kumuandikia rais wakimtaka kutokwamilia madaraka, kulingana na maafisa.

 

9 years ago

BBCSwahili

Nigeria yapambana na ufisadi serikalini

Serikali yataka kila Wizara kuwa na Akaunti moja kupambana na udanganyifu

 

10 years ago

BBCSwahili

Kabila aingiza wapinzani serikalini

Rais wa Jamhuri ya kidemokrasi ya Congo, Joseph Kabila amebuni serikali ya Muungano ambayo inajumuisha viongozi kadhaa wa upinzani.

 

11 years ago

Tanzania Daima

Jeans, vimini marufuku serikalini

OFISI ya Rais Menejimenti ya Utumishi wa Umma imepiga marufuku uvaaji wa nguo yoyote inayopingana na maadili ya utumishi wa umma. Kwa mujibu wa waraka huo uliosambazwa kwenye ofisi mbalimbali...

 

10 years ago

Habarileo

Kikwete: Urasimu serikalini unatisha

RAIS Jakaya Kikwete amesema urasimu uliopo kwenye sekta mbalimbali nchini ni jambo la kutisha.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani