Kikwete: Urasimu serikalini unatisha
RAIS Jakaya Kikwete amesema urasimu uliopo kwenye sekta mbalimbali nchini ni jambo la kutisha.
habarileo
Habari Zinazoendana
10 years ago
Mtanzania27 May
Wizi TTCL unatisha
Arodia Peter na Khamis Mkotya, Dodoma
UOZO na ufisadi ulioigubika Kampuni ya Simu Tanzania (TTCL) uliwekwa hadharani bungeni mjini Dodoma jana. Hayo yalielezwa katika hotuba ya Msemaji wa Kambi ya Upinzani wa Wizara ya Mawasiliano,Sayansi na Teknolojia.
Alisema utata katika umiliki na ukodishaji wa hisa za serikali, mikataba mibovu, madeni na baadhi ya vitu vilivyochangia kampuni hiyo kufilisika. Akisoma maoni hayo, Mohamed Habib Mnyaa alisema Serikali ilikodisha hisa 35 za TTCL kwa Kampuni...
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/u325ipbpd7qGzZ2H1w8XbAEK5T0s2ciPRb6PmPlTUvMoXE4WAEOKM-gVDD5iNYCShOTEF7cGYr*L-MzTAodHqaoqI4mIAvir/JACKc.jpg)
MTANDAO WA UNGA WA JACK PATRICK UNATISHA
10 years ago
KwanzaJamii27 Aug
MKAPA: MMOMONYOKO WA MAADILI KWA VIONGOZI WA UMMA UNATISHA
11 years ago
Bongo Movies17 Jun
Hatari tupu! Utajiri wa MSANJA MKANDAMIZAJI UNATISHA! Diamond, Jide tupa kule. Tazama hapa
UTAJIRI wa komediani maarufu nchini Emmanuel Mgaya ‘Masanja Mkandamizaji’ ni kufuru! Tena unatisha na sasa anaonekana kuwa miongoni mwa wasanii wanaomiliki fedha na mali nyingi Bongo, Risasi Mchanganyiko linakupa zaidi.
Emmanuel Mgaya ‘Masanja Mkandamizaji’ akiwa mbele ya usafiri na mjengo wake.
HABARI MEZANI
Awali, habari kuhusu utajiri wa Masanja ilitua mezani mwa gazeti hili kama kidokezo, hapo mwandishi wetu akaingia mzigoni na kuanza kuchunguza kwa kina mali anazomiliki msanii huyo...
11 years ago
BBCSwahili30 Jun
Urasimu bandarini Mombasa kushughulikiwa
10 years ago
Mwananchi08 Oct
DC akemea urasimu miradi ya jamii
10 years ago
Habarileo08 Jun
Urasimu wakwamisha wakimbiza wawekezaji
MKURUGENZI Mtendaji wa Taasisi ya Sekta Binafsi nchini (TPSF), Godfrey Simbeye amesema kuwa urasimu mkubwa uliopo katika kusimamia masuala ya uwekekezaji umechangia kuwakimbiza wawekezaji.
11 years ago
Tanzania Daima21 Jan
Kibada walia na urasimu TANESCO
WAKAZI wa Kata ya Kibada, Jimbo la Kigamboni, Dar es Salaam, wamemuomba Mbunge wa Jimbo hilo, Dk. Faustine Ndugulile, aingilie kati urasimu unaodaiwa kufanywa na watendaji wa Shirika la Umeme...
11 years ago
Mwananchi15 Dec
Serikali imetakiwa kuondoa urasimu