Kibada walia na urasimu TANESCO
WAKAZI wa Kata ya Kibada, Jimbo la Kigamboni, Dar es Salaam, wamemuomba Mbunge wa Jimbo hilo, Dk. Faustine Ndugulile, aingilie kati urasimu unaodaiwa kufanywa na watendaji wa Shirika la Umeme...
Tanzania daima
Habari Zinazoendana
11 years ago
Tanzania Daima16 Apr
Simbakalia ataka Tanesco kuacha urasimu
MKUU wa Mkoa wa Mtwara, Kanali mstaafu Joseph Simbakalia, amelitaka Shirika la Umeme Tanzania (Tanesco) kuhakikisha wananchi wanaokwenda kuomba huduma ya kuunganishiwa umeme wanapatiwa huduma hiyo kwa wakati. Simbakalia alitoa...
10 years ago
Mwananchi24 Jul
Wafanyabiashara walia na Tanesco
>Kukosekana kwa umeme kwa wakazi wa mjini hapa kwa muda wa wiki mbili sasa, kumezua maswali hali inayosababisha baadhi ya wafanyabiashara kufunga biashara zao.
10 years ago
MichuziAISHA MADINDA AZIKWA LEO KIBADA,KIGAMBONI
WAKURUGENZI wa bendi hasimu za dansi Tanzania, African Stars, Asha Baraka na Extra Bongo, Ali Choki, leo wameongoza mamia ya waombolezaji kumzika aliyekuwa mnenguaji wa zamani wa bendi hizo, Aisha Mohamed Mbegu ‘Aisha Madinda’.
Mazishi ya Aisha Madinda yamefanyika leo kwenye Makaburi ya Kijiji cha Mikwambe, Kigamboni jijini Dar es Salaam, baada ya kukwama kufanyika jana kutokana na zuio la Jeshi la Polisi, kupisha uchunguzi wa sababu za kifo cha ghafla cha mnenguaji huyo.
Baada ya uchunguzi...
Mazishi ya Aisha Madinda yamefanyika leo kwenye Makaburi ya Kijiji cha Mikwambe, Kigamboni jijini Dar es Salaam, baada ya kukwama kufanyika jana kutokana na zuio la Jeshi la Polisi, kupisha uchunguzi wa sababu za kifo cha ghafla cha mnenguaji huyo.
Baada ya uchunguzi...
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/RjUGj58MiaF66vGdvYamCoZRFnZiiUIHVweg2mxkv1sqqJtazE8F19Q5ERPyWBCfKMmfT71F7J82jalBVrjbu6ncjPQWXkNA/ajali2.jpg?width=650)
AJALI ENEO LA KIBADA, KIGAMBONI JIJINI DAR
Magari mawili madogo yakiwa yamegongana eneo la Kibada, Kigamboni jijini Dar es Salaam jana. Wananchi wakiwa eneo la tukio baada ya ajali hiyo.…
9 years ago
MichuziUMMOJA WA WANANCHI WA KIBADA WAFANYA MATENGENEZO GARI LA JESHI LA ZIMAMOTO
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/jF779BPAXfZL-5BJ0OPbb3STk6edKQM-Lq3zfyCvyCw8m1IaHfOOHdLDss96bNV8mEl5WkHFdEFu-0tTAK*9hEGqAKRMWElr/mazikoaisha1.jpg)
MWILI WA AISHA MADINDA WAZIKWA MAKABURI YA KIBADA, KIGAMBONI JIJINI DAR
Maziko ya mwili wa marehemu Aisha Madinda yakifanyika katika makaburi ya Kibada, Kigamboni jioni hii. Mwili wa Aisha Madinda ukishushwa kaburini.…
10 years ago
MichuziKAMPUNI YA AVIC TOWN YAANZA KUUZA NYUMBA ZAKE ILIYOZIJENGA MRADI WA KIBADA JIJINI DAR
BOFYA HAPA KWA PICHA ZAIDI
11 years ago
Mwananchi15 Dec
Serikali imetakiwa kuondoa urasimu
Serikali imetakiwa kuingilia kati urasimu wa upatikanaji masoko kwa wafanyabiashara na wakulima wa mbogamboga na matunda, kufuatia kukithiri kwa vitendo vya rushwa vinavyofanywa na madalali.
11 years ago
BBCSwahili30 Jun
Urasimu bandarini Mombasa kushughulikiwa
Watumiaji wa bandari ya Mombasa nchini Kenya huenda wakawa na afueni, kufuatia mkataba wa kupunguza urasimu utakaosainiwa leo
Top 10
Tanzania Today
Today Breaking News,Tanzania World News
15-February-2025 in Tanzania