UMMOJA WA WANANCHI WA KIBADA WAFANYA MATENGENEZO GARI LA JESHI LA ZIMAMOTO
Mwenyekiti wa kamati ya maandalizi iliyofanikisha upatikanaji wa Gari la zimamoto, Mussa Bibose akitoa maelekezo kwa wananchi waliohudhuria shughuli ya kukabidhi gari hilo Kibada,Kigamboni Jijini Dar es salaam.
Mwenyekiti wa Umoja wa wananchi wa Kibada, Kigamboni Jijini Dar es salaam Bwana Lagano Mwampetu akizungumza katika hafla ya makabidhiano ya gari moja ya zimamoto iliyopatikana kwa Juhudi za umoja huo na kukabidhi kwa Kamishna wa Operation Jeshi La Zimamoto na uokoaji Tanzania CF,...
Michuzi
Habari Zinazoendana
10 years ago
MichuziJeshi la Zimamoto jijini Dar latoa mafunzo ya matumizi ya Mtungi wa kuzimia moto kwa wananchi
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-Kp9wvPUyiE8/XuO9SxvjPzI/AAAAAAALtow/5Kp0o_aFrp4fD50yPtEgpEbbvvEs250pACLcBGAsYHQ/s72-c/ef8e6d59-cdf1-4858-b153-7f2df0ef3b01.jpg)
KATIBU MKUU KADIO AKAGUA KIWANJA CHA JESHI LA ZIMAMOTO NA UOKOAJI DODOMA KINACHOTARAJIWA KUJENGWA MAKAZI YA MAOFISA NA ASKARI WA JESHI HILO
![](https://1.bp.blogspot.com/-Kp9wvPUyiE8/XuO9SxvjPzI/AAAAAAALtow/5Kp0o_aFrp4fD50yPtEgpEbbvvEs250pACLcBGAsYHQ/s640/ef8e6d59-cdf1-4858-b153-7f2df0ef3b01.jpg)
10 years ago
Habarileo01 Jan
DC: Handeni nunueni gari la zimamoto
MKUU wa wilaya ya Handeni, Muhingo Rweyemamu amewataka madiwani wa halmashauri hiyo, kuanza kuona umuhimu wa kuweka mkakati wa kununua gari la shughuli za Zimamoto na Uokoaji ili kuepusha majanga yasiyo ya lazima.
11 years ago
Tanzania Daima18 Mar
TLTC yakarabati gari la zimamoto Moro
KAMPUNI ya Tumbaku Tanzania (TLTC) imekarabati moja ya magari manne ya zimamoto mkoani Morogoro kwa gharama ya sh milioni 7.8 ili kusaidia idara hiyo kuboresha huduma zake. Akikabidhi gari hilo...
11 years ago
Habarileo15 Mar
Kampuni ya tumbaku yafufua gari la Zimamoto Morogoro
JESHI la Zimamoto na Uokoaji Nchini, limeishukuru Kampuni ya Tumbaku Tanzania (TLTC) kwa kuwezesha matengenezo makubwa ya moja ya gari la uzimaji wa moto lililoharibika kwa muda mrefu katika Mkoa wa Morogoro.
9 years ago
MichuziNAIBU KATIBU MKUU WA WIZARA YA MAMBO YA NDANI YA NCHI ATEMBELEA MAKAO MAKUU YA JESHI LA ZIMAMOTO NA UOKOAJI NA KUWATAKA KUBUNI MIRADI MBALIMBALI YA KUONGEZA MAPATO NDANI YA JESHI HILO.
10 years ago
Uhuru Newspaper08 Apr
Jeshi la Zimamoto lawakumbuka yatima
NA MWANDISHI WETU, IRINGA
JESHI la Zimamoto na Uokoaji mkoani Iringa, limetoa misaada mbalimbali kwa kituo cha kulelea watoto yatima cha Sister Theresia, kilichoko Tosamaganga, mkoani hapa. Akikabidhi msaada huo, Kamanda wa Jeshi la Zimamoto mkoani hapa, Kennedy Komba, alisema lengo la kutoa msaada huo ni kuwa karibu na jamii. Alisema misaada hiyo itawasaidia yatima walioko katika vituo mbalimbali mkoani hapa. Komba alisema watoto yatima wanakabiliana changamoto nyingi katika kupata...
10 years ago
Mwananchi22 Sep
Serikali kuliwezesha vifaa, mafunzo Jeshi la Zimamoto
5 years ago
CCM Blog![](https://1.bp.blogspot.com/-KvN4DGM1hXU/XoXqmk9kIrI/AAAAAAAC2T8/wEPSvZnqyuEJKT6LL0RLgRpGKu9nlPZ6QCLcBGAsYHQ/s72-c/1.jpg)
MKUU WA JESHI LA ZIMAMOTO NA UOKOAJI AFANYA MABADILIKO YA MAKAMANDA
![](https://1.bp.blogspot.com/-KvN4DGM1hXU/XoXqmk9kIrI/AAAAAAAC2T8/wEPSvZnqyuEJKT6LL0RLgRpGKu9nlPZ6QCLcBGAsYHQ/s640/1.jpg)
Makamanda walioguswa na mabadiliko hayo ni Kamishna Msaidizi Mwandamizi wa Zimamoto na Uokoaji (SACF) ABDALLAH MAUNDU anakwenda kuwa (RFO) Kamanda wa Zimamoto na Uokoaji Mkoa wa Kigoma, kabla ya nafasi hiialikuwa Makao Makuu Dodoma.
Aliyekuwa Kamanda wa Zimamoto na Uokoaji Mkoa wa Mara, Kamishna Msaidizi Mwandamizi (SACF) SALUM M. OMARI, anayekwenda kuwa (RFO) Kamanda wa Mkoa wa...