Jeshi la Zimamoto jijini Dar latoa mafunzo ya matumizi ya Mtungi wa kuzimia moto kwa wananchi
Sargent Damian Muheya kutoka kitengo cha habari na Elimu kwa Umma Makao Makuu ya Jeshi la Zimamoto na Uokoaji akitoa maelezo ya kutumia vifaa vya kuzimia moto vya huduma yakwanza kwa watumiaji wa Kivuko cha Magogoni jijini Dar es salaam tarehe 05/03/2015,ili kuwajengea uwezo wa kukabiliana na majanga ya moto katika hatua ya awali.
Sargent Damian Muheya kutoka kitengo cha Habari na Elimu kwa Umma Makao Makuu ya Jeshi la Zimamoto na Uokoaji akimuongoza mmoja wa watumiaji wa kivuko cha MV...
Michuzi
Habari Zinazoendana
9 years ago
Dewji Blog14 Dec
Mazoezi ya vitendo wakati wa kuhitimisha mafunzo ya awali kwa wahitimu wa Jeshi la Zimamoto na Uokoaji yaliyofanyika JKT Kimbiji
Askari wa Jeshi la Zimamoto na Uokoaji, wakiwa wamebeba mfano wa majeruhi wa ajali, mara baada ya kumuokoa kutoka eneo la tukio wakati wa maonyesho ya kufunga mafunzo ya kozi ya awali ya Sajini na Askari wa Jeshi hilo,yaliyofanyika Chuo cha Uongozi JKT Kimbiji,jijini Dar es Salaam, mwishoni mwa wiki.
Askari wa Jeshi la Zimamoto na Uokoaji, wakionyesha jinsi ya kuzima moto wakati wa maonyesho ya kufunga mafunzo ya kozi ya awali ya Sajini na Askari wa Jeshi hilo,yaliyofanyika Chuo cha...
9 years ago
MichuziMAZOEZI YA VITENDO WAKATI WA KUHITIMISHA MAFUNZO YA AWALI KWA WAHITIMU WA JESHI LA ZIMAMOTO NA UOKOAJI YALIYOFANYIKA CHUO CHA UONGOZI JKT KIMBIJI
10 years ago
Mwananchi22 Sep
Serikali kuliwezesha vifaa, mafunzo Jeshi la Zimamoto
9 years ago
Dewji Blog12 Dec
Askari 482 wa Jeshi la Zimamoto wahitimu mafunzo ya awali ya fani hiyo
![](http://2.bp.blogspot.com/-m6MQB_x9B2g/VmrpzZWBe6I/AAAAAAAAFsU/1eVexJypV9c/s640/IMG_9136.jpg)
![](http://4.bp.blogspot.com/-ovSMwDKjPac/VmrpxWhfzKI/AAAAAAAAFsI/jyODFy8oEQ4/s640/IMG_9131.jpg)
9 years ago
MichuziUMMOJA WA WANANCHI WA KIBADA WAFANYA MATENGENEZO GARI LA JESHI LA ZIMAMOTO
10 years ago
Mwananchi09 Feb
Zimamoto wajitetea ajali ya moto Dar
10 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-bRnGtcfQLDU/VYPc6Fh-bkI/AAAAAAAHhWE/9IzpbKqHums/s72-c/unnamed%2B%252814%2529.jpg)
MKUU WA JESHI LA POLISI NCHINI, IGP ERNEST MANGU KUFUNGA MAFUNZO YA UONGOZI WA MAGEREZA DARAJA LA PILI, JIJINI DAR
![](http://3.bp.blogspot.com/-bRnGtcfQLDU/VYPc6Fh-bkI/AAAAAAAHhWE/9IzpbKqHums/s400/unnamed%2B%252814%2529.jpg)
Mafunzo hayo ambayo yamechukua muda wa miezi minne yalilenga kuwaandaa Maafisa kuwa viongozi wa kati...
10 years ago
MichuziMAAFISA, ASKARI NA WATUMISHI RAIA WA JESHI LA MAGEREZA WAPATIWA MAFUNZO YA JINSIA, ROMBO GREEN VIEW HOTEL - JIJINI DAR
10 years ago
VijimamboMAAFISA, ASKARI NA WATUMISHI RAIA WA JESHI LA MAGEREZA WAPATIWA MAFUNZO YA JINSIA, ROMBO GREEN VIEW HOTEL - JIJINI DAR ES SALAAM