Kampuni ya tumbaku yafufua gari la Zimamoto Morogoro
JESHI la Zimamoto na Uokoaji Nchini, limeishukuru Kampuni ya Tumbaku Tanzania (TLTC) kwa kuwezesha matengenezo makubwa ya moja ya gari la uzimaji wa moto lililoharibika kwa muda mrefu katika Mkoa wa Morogoro.
habarileo
Habari Zinazoendana
10 years ago
Habarileo01 Jan
DC: Handeni nunueni gari la zimamoto
MKUU wa wilaya ya Handeni, Muhingo Rweyemamu amewataka madiwani wa halmashauri hiyo, kuanza kuona umuhimu wa kuweka mkakati wa kununua gari la shughuli za Zimamoto na Uokoaji ili kuepusha majanga yasiyo ya lazima.
11 years ago
Tanzania Daima18 Mar
TLTC yakarabati gari la zimamoto Moro
KAMPUNI ya Tumbaku Tanzania (TLTC) imekarabati moja ya magari manne ya zimamoto mkoani Morogoro kwa gharama ya sh milioni 7.8 ili kusaidia idara hiyo kuboresha huduma zake. Akikabidhi gari hilo...
9 years ago
MichuziUMMOJA WA WANANCHI WA KIBADA WAFANYA MATENGENEZO GARI LA JESHI LA ZIMAMOTO
10 years ago
Dewji Blog16 Mar
Taswira ya Bonanza la wafanyakazi wa kiwanda cha Tumbaku mkoani Morogoro
9 years ago
StarTV07 Sep
Lowassa azitaka Kampuni za tumbaku kulipa wakulima
Mgombea Urais kwa tiketi ya Chama cha Demokrasia na Maendeleo CHADEMA inayoungwa mkono na Umoja wa Katiba ya Wananchi UKAWA Edward Lowassa amezitaka kampuni za ununuzi wa tumbaku kuwalipa wakulima fedha wanazodai haraka iwezekanavyo ili waweze kuzitumia kuendesha maisha yao.
Amesema iwapo ataingia Ikulu wakati wakulima hao hawajalipwa fedha zao, kampuni hizo zitalazimika kuwalipa maradufu ili kuhakikisha kila mkulima na mtanzania ananufaika na alicho kigaramikia hivyo kuomba kupewa ridha ya...
10 years ago
Vijimambo19 Apr
KIWANDA CHA TUMBAKU MOROGORO CHAFANYA SHERERE KUFUNGA NA KUFUNGUA MSIMU MPYAâ€
10 years ago
GPLKIWANDA CHA TUMBAKU MOROGORO CHAFANYA SHERERE KUFUNGA NA KUFUNGUA MSIMU MPYA
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-oKdGspez5g0/Xmt5UMlE_FI/AAAAAAALi5Q/xbHCT4-uv0sXoPmKreG7BomvvCJVEOlyQCLcBGAsYHQ/s72-c/a3190650-3984-478c-87e5-2aae7f3a29f4.jpg)
SERIKALI YATHIBITISHA KUVUNJA MKATABA KATI YA JESHI LA ZIMAMOTO NA KAMPUNI YA ROM SOLUTION
Charles James, Michuzi TV
SERIKALI imesema imevunja mkataba baina ya Jeshi la Zimamoto na Uokoaji na Kampuni ya ROM Solution Co. Ltd ambao ulikua wa ununuzi wa vifaa vya jeshi hilo wenye thamani ya zaidi ya Shilingi Trilioni moja.
Hayo yamesemwa na Waziri wa Mambo ya Ndani ya Nchi, Mhe George Simbachawene leo jijini Dodoma ambapo amesema makubaliano hayo yalishavunjwa...
5 years ago
MichuziTAKUKURU YAKAMILISHA UCHUNGUZI WA MAKUBALIANO YA JESHI LA ZIMAMOTO NA UOKOAJI NA KAMPUNI YA ROM SOLUTIONS KWA ASILIMIA 99.9
ALIYEKUWA Waziri wa Mambo ya Ndani ya Nchi Kangi Lugola na aliyekuwa Kamishina wa Jeshi la Zima Moto na Uokoaji Thobias Andengenye pamoja na watumishi wengine wa umma 15 wamekutwa na tuhuma ya makosa, baada ya Taasisi ya Kuzuia na Kupambana na rushwa (TAKUKURU) kukamilisha uchunguzi wa makubaliano ya Jeshi la Zima Moto na Uokoaji na kampuni ya ROM solution kupitia mkataba uliohusu upatikanaji wa mkopo wa Euro 408,416,288.16 ambazo ni sawa shilingi Trilioni...