Wanasiasa 7 wafurushwa serikalini DRC
Wanasiasa saba waandamizi wamefurushwa kutoka kwa serikali ya muungano katika Jamhuri ya kidemokrasia ya Congo baada ya kumuandikia rais wakimtaka kutokwamilia madaraka, kulingana na maafisa.
BBCSwahili
Habari Zinazoendana
11 years ago
BBCSwahili03 May
Raia wa DRC wafurushwa
10 years ago
BBCSwahili04 Aug
Yemen:Waasi wa Houthi wafurushwa kambini
10 years ago
Vijimambo20 Apr
Zanzibar yatibuka.CUF wafurushwa kwa mabomu, Nassoro Moyo afukuzwa CCM.
![](http://www.ippmedia.com/media/picture/large/Idd-20April2015.jpg)
Jeshi la Polisi Zanzibar, limelazimika kutumia mabomu ya machozi kuwatawanya wafuasi wa Chama cha Wananchi (CUF) waliokuwa wakikaidi amri ya kutotoka wilaya moja kwenda nyingine kuhudhuria mkutano wa hadhara. Inakumbukwa kwamba baada ya wafuasi wa CUF kushambuliwa mwishoni wa mwezi uliopita wakitoka katika mkutano uliofanyika katika Kijiji cha Makunduchi, Mkoa wa Kusini Unguja, polisi waliitisha mkutano nabaadhi ya vyama vya siasa na...
11 years ago
BBCSwahili18 May
9 years ago
Habarileo20 Dec
Mishahara serikalini kuwiana
WAZIRI wa Nchi, Ofisi ya Rais, Menejimenti ya Utumishi wa Umma na Utawala Bora, Angella Kairuki ameitaka Idara ya Uchambuzi na Ushauri wa Kazi – Utumishi, kuwianisha mishahara ya watumishi wa wakala za Serikali, ili kusiwe na tofauti kubwa kati ya watumishi wa juu na wa chini.
11 years ago
Tanzania Daima06 Feb
BAVICHA wataka uwajibikaji serikalini
BARAZA la Vijana wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo CHADEMA (BAVICHA) limeitaka serikali kuwajibika kwa misingi ya uzalendo dhidi ya wawekezaji nchini kwa kuwa ndio chanzo cha kuwa na wawekezaji...
9 years ago
BBCSwahili16 Sep
Nigeria yapambana na ufisadi serikalini
11 years ago
Tanzania Daima28 Jan
Jeans, vimini marufuku serikalini
OFISI ya Rais Menejimenti ya Utumishi wa Umma imepiga marufuku uvaaji wa nguo yoyote inayopingana na maadili ya utumishi wa umma. Kwa mujibu wa waraka huo uliosambazwa kwenye ofisi mbalimbali...
10 years ago
Habarileo03 Oct
Kikwete: Urasimu serikalini unatisha
RAIS Jakaya Kikwete amesema urasimu uliopo kwenye sekta mbalimbali nchini ni jambo la kutisha.