Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Wanasiasa 7 wafurushwa serikalini DRC

Wanasiasa saba waandamizi wamefurushwa kutoka kwa serikali ya muungano katika Jamhuri ya kidemokrasia ya Congo baada ya kumuandikia rais wakimtaka kutokwamilia madaraka, kulingana na maafisa.

BBCSwahili

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

BBCSwahili

Raia wa DRC wafurushwa

Mamlaka ya Jamhuri ya kidemokrasia ya Congo imesema kuwa takriban raia wake elfu sitini wamefurushwa kutoka Congo- Brazaville

 

10 years ago

BBCSwahili

Yemen:Waasi wa Houthi wafurushwa kambini

Vikosi vinavyounga mkono serikali nchini Yemen vimechukua kambi kubwa ya wanahewa katika makabiliano na waasi wa Houthi ,msemaji wa vikosi hivyo ameambia BBC.

 

10 years ago

Vijimambo

Zanzibar yatibuka.CUF wafurushwa kwa mabomu, Nassoro Moyo afukuzwa CCM.

Makamu wa Pili wa Rais wa Zanzibar, Balozi Seif Ali Iddi.
Jeshi la Polisi Zanzibar, limelazimika kutumia mabomu ya machozi kuwatawanya wafuasi wa Chama cha Wananchi (CUF) waliokuwa wakikaidi amri ya kutotoka wilaya moja kwenda nyingine kuhudhuria mkutano wa hadhara. Inakumbukwa kwamba baada ya wafuasi wa CUF kushambuliwa mwishoni wa mwezi uliopita wakitoka katika mkutano uliofanyika katika Kijiji cha Makunduchi, Mkoa wa Kusini Unguja, polisi waliitisha mkutano nabaadhi ya vyama vya siasa na...

 

11 years ago

BBCSwahili

Mjadala wa Utendakazi Serikalini

Mada: Je, serikali inawahudumia wananchi ipasavyo?

 

9 years ago

Habarileo

Mishahara serikalini kuwiana

WAZIRI wa Nchi, Ofisi ya Rais, Menejimenti ya Utumishi wa Umma na Utawala Bora, Angella Kairuki ameitaka Idara ya Uchambuzi na Ushauri wa Kazi – Utumishi, kuwianisha mishahara ya watumishi wa wakala za Serikali, ili kusiwe na tofauti kubwa kati ya watumishi wa juu na wa chini.

 

11 years ago

Tanzania Daima

BAVICHA wataka uwajibikaji serikalini

BARAZA la Vijana wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo CHADEMA (BAVICHA) limeitaka serikali kuwajibika kwa misingi ya uzalendo dhidi ya wawekezaji nchini kwa kuwa ndio chanzo cha kuwa na wawekezaji...

 

9 years ago

BBCSwahili

Nigeria yapambana na ufisadi serikalini

Serikali yataka kila Wizara kuwa na Akaunti moja kupambana na udanganyifu

 

11 years ago

Tanzania Daima

Jeans, vimini marufuku serikalini

OFISI ya Rais Menejimenti ya Utumishi wa Umma imepiga marufuku uvaaji wa nguo yoyote inayopingana na maadili ya utumishi wa umma. Kwa mujibu wa waraka huo uliosambazwa kwenye ofisi mbalimbali...

 

10 years ago

Habarileo

Kikwete: Urasimu serikalini unatisha

RAIS Jakaya Kikwete amesema urasimu uliopo kwenye sekta mbalimbali nchini ni jambo la kutisha.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani