Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Ufisadi, ufisadi, ufisadi TRL

Sasa yagundulika aliyeleta mabehewa feki alikuwa na bei ya juu kuliko wote, Aliruhusiwa na kufanyia marekebisho zabuni yake kinyemelaMadudu zaidi yameendelea kuibuka katika sakata la mabehewa feki 274 yaliyonunuliwa na Kampuni ya Reli Tanzania (TRL), na sasa imebainika kuwa kampuni iliyopewa zabuni ya kuleta mabehewa hayo ndiyo iliyokuwa ya bei ya juu zaidi kuliko kampuni 10 zilizokuwa zimeomba na haikuweka dhamana yoyote kama sheria ya manunuzi inavyotaka.

Aidha, imebainika pia kuwa ya...

Vijimambo

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Vijimambo

Ufisadi wa kutisha

CAG afichua Sh. milioni 214/- zilivyolipwa waliofeli UDOM, IFM na mabilioni yanavyoliwa TanescoMsaidizi wa Mkaguzi Mkuu, Benja Majura
Ripoti ya Mdhibiti na Mkaguzi Mkuu wa Hesabu za Serikali (CAG), inayoishia Juni 30, mwaka 2013, imeanika matumizi mabaya ya fedha za umma.

Ripoti hiyo imehusisha mashirika mengi ya umma yakiwamo Shirika la Umeme nchini (Tanesco), Bodi ya Mikopo ya Wanafunzi wa Elimu ya Juu (HESLB), Mamlaka ya Elimu na Mafunzo ya Ufundi Stadi (Veta), Bodi ya Korosho, Mamlaka ya...

 

9 years ago

Mwananchi

Ufisadi: Hawajakoma

Unaweza kusema hawajakoma kutokana na vitendo vya ukwepaji kodi kuzidi kuibuliwa katika Bandari ya Dar es Salaam katika kipindi ambacho Rais John Magufuli na Waziri Mkuu Kassim Majaliwa wanachukua hatua dhidi ya upotevu wa makontena bandarini.

 

9 years ago

Mwananchi

Ufisadi wa makontena

Kama ulikuwa unadhani kupotea kwa makontena 349 bila kulipiwa ushuru ni ukwepaji kodi uliopitiliza unajidanganya, jana Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa alifanya ziara nyingine ya kushtukiza bandarini baada ya kupewa taarifa kwamba kuna makontena 2,431 yametolewa bila kulipiwa ushuru.

 

9 years ago

Habarileo

Ufisadi bil.5.7/- wazuiwa

MKUU wa Wilaya ya Kinondoni, Paul Makonda (pichani) ameamuru kusitishwa mara moja malipo yanayofanywa kwa makandarasi waliojenga barabara tano za ndani ya wilaya hiyo.

 

11 years ago

Tanzania Daima

Ufisadi mbio za Mwenge

PAMOJA na Serikali kupitia kwa Waziri Mkuu, Mizengo Pinda kusisitiza kuwa michango kwa ajili ya mbio za Mwenge wa Uhuru ni hiari na watu wasichangishwe kwa lazima, Tanzania Daima imebaini...

 

9 years ago

Mtanzania

JK: Sihusiki na ufisadi TRA

jk*Asema hajawahi kuagiza mfanyabiashara yeyote asamehewe kulipa kodi
*Aikingia kifua familia yake, awashukia wanaomtuhumu

NA FREDY AZZAH, DAR ES SALAAM
RAIS mstaafu wa awamu ya nne, Jakaya Kikwete, amevunja ukimya na kusema hausiki yeye wala familia yake katika ukwepaji kodi kwa kutorosha makontena bandarini.

Pamoja na hali hiyo, amesema kuwa hajawahi katika utawala wake kuagiza mtu yeyote anayestahili kulipa kodi asilipe na wala haamini kwamba kuna mtu kwenye familia yake anaweza kufanya...

 

10 years ago

Tanzania Daima

Ufisadi Bima ya Afya

MFUKO wa Bima ya Afya (NHIF), umekumbwa na kashfa ya ufisadi ya kutumia zaidi ya sh. milioni 200 kununua gari jipya ambalo wamemkabidhi Waziri wa Afya na Ustawi wa Jamii,...

 

11 years ago

Mwananchi

Uchunguzi wa ufisadi waanza

Timu ya kuchunguza ubadhirifu wa fedha kwa vyama vya ushirika vya tumbaku mkoani Tabora imesema haihusiki na kuwashtaki watuhumiwa, bali kazi yake ni kutoa mapendekezo serikalini.

 

11 years ago

Tanzania Daima

Wabunge wakipalilia ufisadi

HIVI yule Mtanzania aliyetunga wimbo mzuri, mtamu na tuliokuwa tukiuimba kwa ufahari, mbwembwe na maringo ya hali ya juu enzi hizo tukiwa shuleni usemao: “Tanzania, Tanzania. Nakupenda kwa moyo wote,”...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani