Ufisadi bil.5.7/- wazuiwa
MKUU wa Wilaya ya Kinondoni, Paul Makonda (pichani) ameamuru kusitishwa mara moja malipo yanayofanywa kwa makandarasi waliojenga barabara tano za ndani ya wilaya hiyo.
habarileo
Habari Zinazoendana
10 years ago
Tanzania Daima16 Nov
CHADEMA yafichua ufisadi wa Bil. 80
CHAMA cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA), kimefichua tuhuma za ufisadi wa zaidi ya sh bilioni 80 zilizotolewa na Benki ya Dunia, kwa ajili ya utekelezaji wa miradi ya maendeleo hapa...
11 years ago
Mwananchi22 Oct
Ufisadi wa Sh1.4 bil waibuka TFF
10 years ago
Mwananchi15 Jan
LAAC yabaini ufisadi wa Sh1.7 bil Jiji la D’Salaam
11 years ago
Tanzania Daima15 May
UFISADI BIL. 200 BoT: Vigogo waunda zengwe kukwepa
MKAKATI wa kuwanasua vigogo wa serikali wanaotuhumiwa kuhusika katika kashfa nzito ya ufisadi wa dola za Marekani milioni 122 (sawa na sh bilioni 200) katika akaunti ya Baraza la Usuluhishi...
11 years ago
Tanzania Daima14 May
UFISADI WA BIL. 200/-BoT: CCM kung’oka kama KANU
KASHFA nzito ya ufisadi wa dola za Marekani milioni 122 (sawa na sh bil. 200) inayowakabili vigogo sita wa serikali, huenda ikaking’oa madarakani Chama Cha Mapinduzi (CCM) kama ilivyotokea kwa...
5 years ago
CCM BlogWAZIRI BITEKO:SEKTA YA MADINI YAONGOZA KWA UKUAJI NCHINI. MAKUSANYO YAPAA KUTOKA BIL. 39 HADI BIL.58 APRILI
Nuru Mwasampeta na Tito Mselem,WM- Dodoma
WAZIRI wa Madini, Doto Biteko amesema ukuaji na mchango wa Sekta ya Madini kwenye pato la taifa unakua kwa kasi na kuwa mwaka 2019 mchango huo umeongezeka na kufikia asilimia 17.7 kutoka ukuaji wa asilimia 1.5 kwa mwaka 2018.
Amesema, kwa ukuaji huo sekta ya madini imeongoza sekta zote kwa ukuaji ikifuatiwa na sekta ya ujenzi ikiwa na ukuaji wa asilimia 14.1.
Ameongeza kuwa, wizara yake imekuwa ikikusanya kiasi cha wastani wa shilingi bilioni 39 kwa...
10 years ago
Vijimambo22 Apr
Ufisadi, ufisadi, ufisadi TRL

Aidha, imebainika pia kuwa ya...
11 years ago
Mwananchi07 Mar
Waandishi wa habari wazuiwa
10 years ago
Habarileo06 Dec
Waandishi wazuiwa kesi ya IPTL
KATIKA hali ya kushangaza, Mahakama Kuu, Kitengo cha Biashara imewazuia waandishi wa habari kuingia mahakamani kusikiliza maombi ya kampuni ya Pan Africa Power Solutions (PAP) na Kampuni ya Independent Power Tanzania (IPTL) kwa Bodi ya Rufaa ya Kodi nchini, kutaka Kamishna Mkuu wa TRA akamatwe na kupelekwa gerezani.