Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Ufisadi wa Sh1.4 bil waibuka TFF

Ndoa ya Shirikisho la Soka Tanzania (TFF) na Kampuni ya Bia Tanzania (TBL) sasa iko shakani baada ya kampuni hiyo kubwa nchini kutishia kusitisha udhamini wake wa zaidi ya Sh17 bilioni kutokana na kubaini matumizi mabaya ya mamilioni ya fedha, Mwananchi inaweza kukuthibitishia.

Mwananchi

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Mwananchi

LAAC yabaini ufisadi wa Sh1.7 bil Jiji la D’Salaam

Kamati ya Bunge ya Hesabu za Serikali za Mitaa (LAAC) imebaini ufisadi wa zaidi ya Sh1.7 bilioni katika Jiji la Dar es Salaam, hivyo kuitaka Wizara ya Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa (Tamisemi), kufuatilia kashfa hiyo na kuwachukulia hatua za kinidhamu watendaji wote waliohusika.

 

9 years ago

Habarileo

Ufisadi mwingine waibuka bandarin

MAKONTENA mengine 11,884 na magari 2,019, yamebainika kuwa yametoroshwa katika bandari kavu (ICD) saba jijini Dar es Salaam bila kulipiwa ushuru wa bandari, hivyo kuipotezea Serikali mapato ya Sh bilioni 48.55.

 

11 years ago

Mwananchi

Wachimbaji waingiza Sh1 bil

Mrabaha unaolipwa na wachimbaji wadogo wa dhahabu wanaotumia teknolojia ya VAT Leaching, mikoa ya Mwanza na Geita umeongezeka kutoka Sh7.67 milioni mwaka jana hadi Sh44.51 milioni mwaka huu.

 

10 years ago

Mwananchi

Sh1.5 bil zatumika usajili Bongo

Wakati timu mbalimbali za Ligi Kuu nchini zikiendelea kukamilisha usajili kwa ajili ya kuimarisha vikosi vyao msimu ujao, uchunguzi uliofanywa na gazeti hili umebaini kuwa mpaka sasa zaidi ya Sh1.5 bilioni zimetumiwa kwa wachezaji wao.

 

10 years ago

Mwananchi

Majambazi yapora Sh1 bil Stanbic

Watu 13 wakiwamo wafanyakazi tisa wa Benki ya Stanbic jijini hapa wanashikiliwa na polisi baada ya majambazi kuiba fedha zaidi ya Sh1 bilioni jana jioni.

 

9 years ago

Mwananchi

Miss Tanzania atajwa ufisadi wa Sh1.3 trilioni

Aliyekuwa ofisa mwandamizi wa benki ya Stanbic tawi la Tanzania, Shose Sinare amehusishwa na mipango ya kifisadi ambayo imeisababishia Serikali ya Tanzania hasara ya Sh1.3 trilioni kati ya mwaka 2012 na 2013.

 

9 years ago

Habarileo

Ufisadi bil.5.7/- wazuiwa

MKUU wa Wilaya ya Kinondoni, Paul Makonda (pichani) ameamuru kusitishwa mara moja malipo yanayofanywa kwa makandarasi waliojenga barabara tano za ndani ya wilaya hiyo.

 

10 years ago

Tanzania Daima

CHADEMA yafichua ufisadi wa Bil. 80

CHAMA cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA), kimefichua tuhuma za ufisadi wa zaidi ya sh bilioni 80 zilizotolewa na Benki ya Dunia, kwa ajili ya utekelezaji wa miradi ya maendeleo hapa...

 

10 years ago

Vijimambo

TUCTA WAIBUKA WASEMA LIWALO NA LIWE WAMECHOKA, UFISADI WA ESROW,TUCTA WAIBUKA WASEMA LIWALO NA LIWE WAMECHOKA SEMA HAPA KUJUA



Pichani ni Rais wa mpya chama cha Wafanyakazi nchi TUCTA Gration Mukoba picha na Maktaba
Na karoli Vinsent
CHAMA cha Wafanya kazi nchini (TUCTA) nao wamejitosa Kwa mara ya Kwanza kwenye sakata la Ufisadi wa zaidi ya bilioni 400 za kitanzania kwenye Akaunti ya Escrow na kusema chama hicho hakiwezi kukubaliana na ufisadi huo na kuitaka serikali kuwachukulia hatua kali ya watu wote waliohusika na wizi.
Na kama endapo Bunge pamoja na serikali hawatawachukulia hatua zozote Viongozi...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani