Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Miss Tanzania atajwa ufisadi wa Sh1.3 trilioni

Aliyekuwa ofisa mwandamizi wa benki ya Stanbic tawi la Tanzania, Shose Sinare amehusishwa na mipango ya kifisadi ambayo imeisababishia Serikali ya Tanzania hasara ya Sh1.3 trilioni kati ya mwaka 2012 na 2013.

Mwananchi

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

Mwananchi

EU yaipa Tanzania Sh1.4 trilioni

Umoja wa Ulaya (EU), utaipatia Tanzania msaada wa Euro 626 milioni sawa na Sh1.4 trilioni kwa ajili ya kuboresha miradi ya maendeleo na utawala bora katika kipindi cha miaka sita.

 

11 years ago

Mwananchi

Tanzania kupoteza Sh1.6 trilioni za gesi

>Wakati Tanzania inaelezwa itapoteza zaidi ya Sh1.6 trilioni kila mwaka kwa mujibu wa mkataba unaoonyesha mgawanyo wa mapato yatokanayo na gesi asilia (PSA), Serikali imeutetea ikisema unalinufaisha Taifa.

 

10 years ago

Mwananchi

Mwigulu: Sh1.6 trilioni mishahara hewa

Mamilioni ya fedha za umma yanatumika kwenye matamasha ya wizara, badala ya kupelekwa vijijini kuendeleza miradi ya maji.

 

10 years ago

Mwananchi

Sh1.5/- trilioni zahitajika ukarabati wa reli ya kati

Kampuni Hodhi ya Rasilimali za Reli (Rahaco), imesema kiasi cha Sh1.5 trilioni kinahitajika kukarabati reli ya kati ili iweze kurudi katika hali yake ya kawaida.

 

11 years ago

Mwananchi

Facebook kununua WhatsApp kwa Sh1.36 trilioni

Kampuni ya Mtandao wa Jamii ya Facebook imesema itanunua mtandao wa mawasiliano wa ujumbe mfupi wa WhatsApp kwa Dola 19 bilioni za Marekani (Sh1.36 trilioni), ili kuimarisha umaarufu wake hasa miongoni mwa vijana.

 

11 years ago

Mwananchi

Bahati nasibu yaingiza Sh1.5 trilioni kwenye mzunguko wa fedha nchini

 Shilingi 1.5 trilioni zimeingia kwenye mzunguko wa fedha kupitia michezo ya kubahatisha mwaka jana, ili kusaidia ukuaji uchumi, kuchangia pato la taifa na kutoa ajira kwa zaidi ya watu 3,000.

 

9 years ago

Mwananchi

Kamishina wa zamani TRA atajwa ufisadi

Serikali imeanza kuzichunguza benki ya Stanbic (T) na Kampuni ya Egma ya hapa nchini kutokana na kuhusika katika udanganyifu wa riba ya mkopo Dola za Kimarekani 600milioni (Sh1.3 trilioni) iliyopewa Tanzania na benki ya Standard ya Uingereza.

 

9 years ago

Mwananchi

Benki ya Walimu yachangia ongezeko la mauzo ya hisa DSE kufikia Sh1 trilioni

Soko la Hisa la Dar es Salaam (DSE) limeongeza mauzo kutoka Sh383 bilioni mwaka 2014 hadi Sh1 trilioni moja kwa mwaka jana, huku Benki ya Walimu ikichangia ongezeko hilo.

 

10 years ago

Mtanzania

Bunge lanusa ufisadi wa Sh Trilioni 1.5

mpina3NA ARODIA PETER, DODOMA

KAMATI ya Bunge ya Uchumi, Viwanda na Biashara, imeitaka Serikali kulieleza Bunge matumizi ya zaidi ya Sh trilioni 1.5 ambazo hazina maelezo kutoka Hazina ingawa zinaonekana zimetumika kulipa sehemu ya deni la taifa. Deni a Taifa limeongezeka na kufikia zaidi ya Sh trilioni 40 kwa miaka miwili.

Akiwasilisha maoni ya kamati yake kwa mwaka 2015/2016, mwenyekiti wake, Luhaga Mpina alisema kwa mujibu wa vielelezo vilivyotolewa mbele ya kamati, zilionyesha katika kipindi...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani