Miss Tanzania atajwa ufisadi wa Sh1.3 trilioni
Aliyekuwa ofisa mwandamizi wa benki ya Stanbic tawi la Tanzania, Shose Sinare amehusishwa na mipango ya kifisadi ambayo imeisababishia Serikali ya Tanzania hasara ya Sh1.3 trilioni kati ya mwaka 2012 na 2013.
Mwananchi
Habari Zinazoendana
11 years ago
Mwananchi06 May
EU yaipa Tanzania Sh1.4 trilioni
11 years ago
Mwananchi08 Jul
Tanzania kupoteza Sh1.6 trilioni za gesi
10 years ago
Mwananchi12 Oct
Mwigulu: Sh1.6 trilioni mishahara hewa
10 years ago
Mwananchi09 Jan
Sh1.5/- trilioni zahitajika ukarabati wa reli ya kati
11 years ago
Mwananchi21 Feb
Facebook kununua WhatsApp kwa Sh1.36 trilioni
11 years ago
Mwananchi14 Jan
Bahati nasibu yaingiza Sh1.5 trilioni kwenye mzunguko wa fedha nchini
9 years ago
Mwananchi02 Dec
Kamishina wa zamani TRA atajwa ufisadi
9 years ago
Mwananchi01 Jan
Benki ya Walimu yachangia ongezeko la mauzo ya hisa DSE kufikia Sh1 trilioni
10 years ago
Mtanzania08 Jun
Bunge lanusa ufisadi wa Sh Trilioni 1.5
NA ARODIA PETER, DODOMA
KAMATI ya Bunge ya Uchumi, Viwanda na Biashara, imeitaka Serikali kulieleza Bunge matumizi ya zaidi ya Sh trilioni 1.5 ambazo hazina maelezo kutoka Hazina ingawa zinaonekana zimetumika kulipa sehemu ya deni la taifa. Deni a Taifa limeongezeka na kufikia zaidi ya Sh trilioni 40 kwa miaka miwili.
Akiwasilisha maoni ya kamati yake kwa mwaka 2015/2016, mwenyekiti wake, Luhaga Mpina alisema kwa mujibu wa vielelezo vilivyotolewa mbele ya kamati, zilionyesha katika kipindi...