Bahati nasibu yaingiza Sh1.5 trilioni kwenye mzunguko wa fedha nchini
 Shilingi 1.5 trilioni zimeingia kwenye mzunguko wa fedha kupitia michezo ya kubahatisha mwaka jana, ili kusaidia ukuaji uchumi, kuchangia pato la taifa na kutoa ajira kwa zaidi ya watu 3,000.
Mwananchi
Habari Zinazoendana
10 years ago
MichuziKAMPUNI YA MICHEZO YA BAHATI NASIBU YA GIDANI INTERNATIONAL YAJIZATITI KUINGIA NCHINI
10 years ago
Mwananchi06 Nov
Mashine 763 za bahati nasibu zilizokamatwa zaharibiwa
9 years ago
Global Publishers05 Jan
Dar waendelea kuchangamkia bahati nasibu ya Shinda Nyumba
Muuzaji wa magazeti ya Global Publishers (katikati) akiwa na msomaji wa Gazeti la Uwazi eneo la Tandale Sokoni huku akimwelekeza jinsi ya kujaza kuponi ili kushiriki bahati nasibu hiyo.
Msomaji wa Gazeti la Uwazi akiweka kuponi yake baada ya kumaliza kuijaza.
Baadhi ya wakazi wa Tandale Sokoni wakishuhudia msomaji wa Gazeti la Uwazi alivyokuwa akijaza kuponi ili kushiriki bahati nasibu.
Ofisa Usambazaji wa Global Publishers, Yohana Mkanda (wa pili kushoto) akimwelekeza msomaji wa Gazeti...
10 years ago
Vijimambo01 Jul
Sadolin Yakabidhi Gari Kwa Mshindi wa Bahati Nasibu
![Ofisa Mauzo wa Kampuni ya Sadolin, Flora Mapunda (kushoto) akimkabidhi funguo ya gari aliloshinda, Bi. Monica Benedict Haule mfanyabiashara ndogondogo za uuzaji wa nguo mkazi wa Temeke jijini Dar es Salaam.](http://www.thehabari.com/wp-content/uploads/2015/07/IMG_0348.jpg)
![Mshindi wa gari aina ya TATA Pic-UP, Bi. Monica Benedict Haule (kulia) akifungua mlango kuingia katika gari aliloshinda mara baada ya kukabidhiwa. Pembeni yake ni Ofisa Mauzo wa Kampuni ya Sadolin, Flora Mapunda.](http://www.thehabari.com/wp-content/uploads/2015/07/IMG_0350.jpg)
9 years ago
Dewji Blog10 Dec
Paul Makonda azindua Bahati Nasibu ya Shinda Nyumba kutoka Global
Mkuu wa Wilaya ya Kinondoni, Paul Makonda (katikati) akizindua Bahati Nasibu ya Shinda Nyumba inayoendeshwa na Kampuni ya Global Publishers Ltd. Kulia ni Meneja Mkuu wa Global Publishers Ltd, Abdallah Mrisho na kushoto ni Mkurugenzi Mtendaji wa Global Publishers Ltd, Eric James Shigongo.
Paul Makonda akigawa vipeperushi vyenye nyumba na zawadi nyingine zinazoshindaniwa kwa wanahabari.
Meneja Mkuu wa Global Publishers Ltd, Abdallah Mrisho akiwakaribisha wanahabari na Mkuu wa Wilaya ya...
11 years ago
Mwananchi06 May
EU yaipa Tanzania Sh1.4 trilioni
5 years ago
MichuziWAZIRI HASUNGA ABAINISHA TAARIFA YA UZALISHAJI WA KOROSHO, SERIKALI YAINGIZA ZAIDI YA TRILIONI 3.3
Na Mathias Canal, Wizara ya KilimoWAZIRI wa Kilimo, Japhet Hasunga (Mb) ametoa taarifa ya uzalishaji wa zao la Korosho katika kipindi cha miaka minne ya serikali ya awamu ya tano inayoongozwa na Mhe Rais Dkt John Pombe Magufuli ambapo amebainisha kuwa uzalishaji...
11 years ago
Mwananchi08 Jul
Tanzania kupoteza Sh1.6 trilioni za gesi
10 years ago
Mwananchi12 Oct
Mwigulu: Sh1.6 trilioni mishahara hewa