Wachimbaji waingiza Sh1 bil
Mrabaha unaolipwa na wachimbaji wadogo wa dhahabu wanaotumia teknolojia ya VAT Leaching, mikoa ya Mwanza na Geita umeongezeka kutoka Sh7.67 milioni mwaka jana hadi Sh44.51 milioni mwaka huu.
Mwananchi
Habari Zinazoendana
10 years ago
Mwananchi12 Aug
Sh1.5 bil zatumika usajili Bongo
Wakati timu mbalimbali za Ligi Kuu nchini zikiendelea kukamilisha usajili kwa ajili ya kuimarisha vikosi vyao msimu ujao, uchunguzi uliofanywa na gazeti hili umebaini kuwa mpaka sasa zaidi ya Sh1.5 bilioni zimetumiwa kwa wachezaji wao.
10 years ago
Mwananchi24 Oct
Majambazi yapora Sh1 bil Stanbic
Watu 13 wakiwamo wafanyakazi tisa wa Benki ya Stanbic jijini hapa wanashikiliwa na polisi baada ya majambazi kuiba fedha zaidi ya Sh1 bilioni jana jioni.
10 years ago
Mwananchi22 Oct
Ufisadi wa Sh1.4 bil waibuka TFF
Ndoa ya Shirikisho la Soka Tanzania (TFF) na Kampuni ya Bia Tanzania (TBL) sasa iko shakani baada ya kampuni hiyo kubwa nchini kutishia kusitisha udhamini wake wa zaidi ya Sh17 bilioni kutokana na kubaini matumizi mabaya ya mamilioni ya fedha, Mwananchi inaweza kukuthibitishia.
10 years ago
Mwananchi15 Jan
LAAC yabaini ufisadi wa Sh1.7 bil Jiji la D’Salaam
Kamati ya Bunge ya Hesabu za Serikali za Mitaa (LAAC) imebaini ufisadi wa zaidi ya Sh1.7 bilioni katika Jiji la Dar es Salaam, hivyo kuitaka Wizara ya Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa (Tamisemi), kufuatilia kashfa hiyo na kuwachukulia hatua za kinidhamu watendaji wote waliohusika.
10 years ago
MichuziKNCU WAINGIZA MTAMBO MPYA WA KUKOBOLEA KAHAWA
BOFYA HAPA KWA HABARI NA PICHA ZAIDI
10 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-NyWKxri9z-E/VSjNRZnddcI/AAAAAAAHQRc/UNbjryyvIVQ/s72-c/unnamed%2B(85).jpg)
PWANI WAINGIZA MABILIONI YA FEDHA KUPITIA MISITU
Na John Gagarini, BagamoyoMKOA wa Pwani umefanikiwa kukusanya kiasi cha zaidi ya shilingi bilioni nane kupitia Wakala wa Huduma za Misitu Tanzania (TFS) katika kipindi cha mwaka 2013/2014.
Hayo yalisemwa juzi wilayani Bagamoyo na Ofisa Misitu wa mkoa huo Daniel Isara, wakati wa maadhimisho ya upandaji miti kimkoa iliyofanyika kwenye eneo la la Gareza la Kigongoni ambapo ilipandwa zaidi ya miti 3,000.
Isara alisema kuwa fedha hizo zimetokana na kukabiliana na uharibifu wa rasilimali misitu na...
Hayo yalisemwa juzi wilayani Bagamoyo na Ofisa Misitu wa mkoa huo Daniel Isara, wakati wa maadhimisho ya upandaji miti kimkoa iliyofanyika kwenye eneo la la Gareza la Kigongoni ambapo ilipandwa zaidi ya miti 3,000.
Isara alisema kuwa fedha hizo zimetokana na kukabiliana na uharibifu wa rasilimali misitu na...
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-WtucYDhsIRE/XmYZObXsynI/AAAAAAALiMc/Z8GpYXBKIY45u2h4-T8IK-7jldtvumqpgCLcBGAsYHQ/s72-c/WhatsApp%2BImage%2B2020-03-09%2Bat%2B13.22.50.jpeg)
WATAZAMAJI 59,325 WAINGIZA MILION 545 - TFF
![](https://1.bp.blogspot.com/-WtucYDhsIRE/XmYZObXsynI/AAAAAAALiMc/Z8GpYXBKIY45u2h4-T8IK-7jldtvumqpgCLcBGAsYHQ/s640/WhatsApp%2BImage%2B2020-03-09%2Bat%2B13.22.50.jpeg)
Jumla ya watazamaji 59,325 wameweza kuingia na kuangalia mchezo wa Ligi Kuu Tanzania bara kati ya Yanga na Simba katika Uwanja wa Taifa Jijini Dar es Salaam.
Mapato ya mchezo huo ni Milioni 545.4 (545, 422,000) kwa tiketi za VIPA, B &C , machungwa na Mzunguko.
Shirikisho la Mpira wa Miguu Nchini (TFF) limetoa taarifa ya mapato ya mchezo namba 270 kati ya Yanga na Simba uliochezwa katika Uwanja wa Taifa Jijini Dar es Salaam.
Mchezo huo uliokuwa unasubiriwa kwa...
5 years ago
CCM BlogWAZIRI BITEKO:SEKTA YA MADINI YAONGOZA KWA UKUAJI NCHINI. MAKUSANYO YAPAA KUTOKA BIL. 39 HADI BIL.58 APRILI
Nuru Mwasampeta na Tito Mselem,WM- Dodoma
WAZIRI wa Madini, Doto Biteko amesema ukuaji na mchango wa Sekta ya Madini kwenye pato la taifa unakua kwa kasi na kuwa mwaka 2019 mchango huo umeongezeka na kufikia asilimia 17.7 kutoka ukuaji wa asilimia 1.5 kwa mwaka 2018.
Amesema, kwa ukuaji huo sekta ya madini imeongoza sekta zote kwa ukuaji ikifuatiwa na sekta ya ujenzi ikiwa na ukuaji wa asilimia 14.1.
Ameongeza kuwa, wizara yake imekuwa ikikusanya kiasi cha wastani wa shilingi bilioni 39 kwa...
11 years ago
Mwananchi06 May
EU yaipa Tanzania Sh1.4 trilioni
Umoja wa Ulaya (EU), utaipatia Tanzania msaada wa Euro 626 milioni sawa na Sh1.4 trilioni kwa ajili ya kuboresha miradi ya maendeleo na utawala bora katika kipindi cha miaka sita.
Top 10
Tanzania Today
Today Breaking News,Tanzania World News
13-February-2025 in Tanzania