WATAZAMAJI 59,325 WAINGIZA MILION 545 - TFF
![](https://1.bp.blogspot.com/-WtucYDhsIRE/XmYZObXsynI/AAAAAAALiMc/Z8GpYXBKIY45u2h4-T8IK-7jldtvumqpgCLcBGAsYHQ/s72-c/WhatsApp%2BImage%2B2020-03-09%2Bat%2B13.22.50.jpeg)
Na Zainab Nyamka, Globu ya Jamii
Jumla ya watazamaji 59,325 wameweza kuingia na kuangalia mchezo wa Ligi Kuu Tanzania bara kati ya Yanga na Simba katika Uwanja wa Taifa Jijini Dar es Salaam.
Mapato ya mchezo huo ni Milioni 545.4 (545, 422,000) kwa tiketi za VIPA, B &C , machungwa na Mzunguko.
Shirikisho la Mpira wa Miguu Nchini (TFF) limetoa taarifa ya mapato ya mchezo namba 270 kati ya Yanga na Simba uliochezwa katika Uwanja wa Taifa Jijini Dar es Salaam.
Mchezo huo uliokuwa unasubiriwa kwa...
Michuzi
Habari Zinazoendana
10 years ago
Mtanzania01 Oct
Waliokunywa pombe ya sumy wafikia 325
![Togwa](http://mtanzania.co.tz/wp-content/uploads/2014/10/togwa.jpg)
Togwa
Na Amon Mtega, Songea
IDADI ya wakazi wa Kijiji cha Litapwasi Wilaya ya Songea mkoani Ruvuma waliolazwa hospitalini wakidaiwa kunywa togwa yenye sumu imeongezeka kutoka 246 kufikia 325.
Kamanda wa Polisi Mkoa wa Ruvuma, Mihayo Msikhela, alisema jana wanakijiji hao wamelazwa katika Hospitali ya Peramiho na zahanati ya Lyangweni iliyopo kijijini hapo.
Alisema kutokana na tukio hilo jeshi la polisi linawashikilia watuhumiwa kadhaa huku baadhi ya wagonjwa wakiruhusiwa kurudi makwao...
11 years ago
Mwananchi13 Dec
Wachimbaji waingiza Sh1 bil
10 years ago
MichuziKNCU WAINGIZA MTAMBO MPYA WA KUKOBOLEA KAHAWA
BOFYA HAPA KWA HABARI NA PICHA ZAIDI
10 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-NyWKxri9z-E/VSjNRZnddcI/AAAAAAAHQRc/UNbjryyvIVQ/s72-c/unnamed%2B(85).jpg)
PWANI WAINGIZA MABILIONI YA FEDHA KUPITIA MISITU
Hayo yalisemwa juzi wilayani Bagamoyo na Ofisa Misitu wa mkoa huo Daniel Isara, wakati wa maadhimisho ya upandaji miti kimkoa iliyofanyika kwenye eneo la la Gareza la Kigongoni ambapo ilipandwa zaidi ya miti 3,000.
Isara alisema kuwa fedha hizo zimetokana na kukabiliana na uharibifu wa rasilimali misitu na...
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-Ra9m_RTU9QA/XnJAnoHW-iI/AAAAAAALkO0/vk6kDq8DfjMP6pIhIUj0i2hYFMG806esQCLcBGAsYHQ/s72-c/maxresdefault.jpg)
LIGI TANZANIA KUCHEZWA BILA WATAZAMAJI
![](https://1.bp.blogspot.com/-Ra9m_RTU9QA/XnJAnoHW-iI/AAAAAAALkO0/vk6kDq8DfjMP6pIhIUj0i2hYFMG806esQCLcBGAsYHQ/s640/maxresdefault.jpg)
Taarifa hiyo imetolewa leo na Mtendaji Mkuu wa Bodi ya Ligi, Almas Kasongo mara baada ya kikao hicho ambacho kimehudhuriwa pia na Rais wa TFF, Wallace Karia.
Kasongo amesema pia kuwa wachezaji wote watafanyiwa...
9 years ago
Bongo518 Dec
‘Hello’ ya Adele yafikisha watazamaji zaidi ya Milioni 700 Youtube
![adele-25-cover](http://www.bongo5.com/wp-content/uploads/2015/11/adele-25-cover-300x194.jpg)
Tukiwa tunaelekea kuumaliza mwaka 2015, muimbaji kutoka Uingereza, Adele anaendelea kufanya vizuri kutokana na album yake mpya ‘25’.
Ikiwa zimebaki siku nne video ya hit single yake ‘Hello’ ifikishe mwezi mmoja toka ilipowekwa kwenye mtandao wa Youtube, tayari imetazamwa zaidi ya mara milioni 700.
Mpaka sasa video ya wimbo huo unaopatikana kwenye album yake mpya ‘25’ ina views 739,530,188.
2015 umekuwa ni mwaka mzuri kwa Adele ambaye alikaa kimya kwa miaka mitatu toka alpoachia album yake...
10 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-50IjcHtOrHI/VMjS8ZDYGhI/AAAAAAAG_5M/7AxLpoVDP8g/s72-c/unnamed%2B(3).jpg)
MJASIRIAMALI AJISHINDIA MILION 10 ZA PROMOSHENI YA JAYMILLIONS YA VODACOM
![](http://4.bp.blogspot.com/-50IjcHtOrHI/VMjS8ZDYGhI/AAAAAAAG_5M/7AxLpoVDP8g/s1600/unnamed%2B(3).jpg)
10 years ago
GPL23 Dec
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/f5QbJIEIZ4wTzHcDLclc-oQCciZSr1WFuga*dRrBK9LK4sRrV1k-luMJ9FAnLf4Gn*kIDPaorPMyacQKZIj6CdqkVULIGlzb/001.JAY.jpg)
MJASIRIAMALI AJISHINDIA MILION 10 ZA PROMOSHENI YA JAYMILLIONS YA VODACOM