Waliokunywa pombe ya sumy wafikia 325
Togwa
Na Amon Mtega, Songea
IDADI ya wakazi wa Kijiji cha Litapwasi Wilaya ya Songea mkoani Ruvuma waliolazwa hospitalini wakidaiwa kunywa togwa yenye sumu imeongezeka kutoka 246 kufikia 325.
Kamanda wa Polisi Mkoa wa Ruvuma, Mihayo Msikhela, alisema jana wanakijiji hao wamelazwa katika Hospitali ya Peramiho na zahanati ya Lyangweni iliyopo kijijini hapo.
Alisema kutokana na tukio hilo jeshi la polisi linawashikilia watuhumiwa kadhaa huku baadhi ya wagonjwa wakiruhusiwa kurudi makwao...
Mtanzania
Habari Zinazoendana
10 years ago
GPLVIFO INDIA: IDADI YA WALIOFARIKI KWA POMBE YENYE SUMU WAFIKIA 90
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-WtucYDhsIRE/XmYZObXsynI/AAAAAAALiMc/Z8GpYXBKIY45u2h4-T8IK-7jldtvumqpgCLcBGAsYHQ/s72-c/WhatsApp%2BImage%2B2020-03-09%2Bat%2B13.22.50.jpeg)
WATAZAMAJI 59,325 WAINGIZA MILION 545 - TFF
![](https://1.bp.blogspot.com/-WtucYDhsIRE/XmYZObXsynI/AAAAAAALiMc/Z8GpYXBKIY45u2h4-T8IK-7jldtvumqpgCLcBGAsYHQ/s640/WhatsApp%2BImage%2B2020-03-09%2Bat%2B13.22.50.jpeg)
Jumla ya watazamaji 59,325 wameweza kuingia na kuangalia mchezo wa Ligi Kuu Tanzania bara kati ya Yanga na Simba katika Uwanja wa Taifa Jijini Dar es Salaam.
Mapato ya mchezo huo ni Milioni 545.4 (545, 422,000) kwa tiketi za VIPA, B &C , machungwa na Mzunguko.
Shirikisho la Mpira wa Miguu Nchini (TFF) limetoa taarifa ya mapato ya mchezo namba 270 kati ya Yanga na Simba uliochezwa katika Uwanja wa Taifa Jijini Dar es Salaam.
Mchezo huo uliokuwa unasubiriwa kwa...
10 years ago
Raia Mwema29 Jul
11 years ago
Tanzania Daima09 May
Mfumuko wa bei wafikia 6.3%
OFISI ya Taifa ya Takwimu imesema mfumuko wa bei kwa mwezi Aprili umeongezeka kwa kiwango cha asilimia 6.3. Akizungumza na waandishi wa habari jijini Dar es Salaam jana, Mkurugenzi wa...
9 years ago
BBCSwahili15 Oct
Mahujaji wa TZ waliofariki wafikia 22
11 years ago
Tanzania Daima09 Feb
Mfumuko wa bei wafikia 6%
OFISI ya Takwimu imesema mfumuko wa bei umeongezeka kutoka asilimia 5.6 hadi asilimia 6.0 kwa kipindi kilichoishia Desemba mwaka jana. Akizungumza na waandishi wa habari jijini Dar es Salaam jana,...
10 years ago
Mtanzania01 Jun
Simba, Messi wafikia pabaya
NA ABDUCADO EMMANUEL, DAR ES SALAAM
UTATA wa mkataba wa winga Ramadhan Singano ‘Messi’ na timu yake ya Simba sasa umefikia pabaya, baada ya pande hizo mbili kufikiria kushtakiana ili kusaka suluhu.
Wakati Messi akisaka ufumbuzi wa suala hilo kwenye Chama cha Wachezaji wa Soka Tanzania (Sputanza), uongozi wa Simba unataka kumshtaki kama akiendelea kuichafua klabu hiyo kwenye vyombo vya habari.
Winga huyo bado hajakubaliana na Simba kuhusu kusaini mkataba mpya baada ya kudai mkataba wake wa...
11 years ago
Mwananchi08 May
Wagonjwa wa dengue wafikia 376
10 years ago
Mwananchi21 Oct
Waliokufa sasa wafikia tisa